Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,340
- 1,660
Hali ya uchumi inaimarika sana nchini. Pamoja na lawama za mfumuko wa bei, hiyo ni mojawapo ya growing economy hatuezi ikwepa.
Kariakoo kuna uvunjaji na ujenzi wa majengo ya ghorofa karibia 100. Hii ni idadi kubwa sana.
Tafsiri ya haraka pia mazingira ya biashara eneo hilo kitovu cha Afrika Mashariki imeimarika sana. Kariakoo pana hela.
DP World nao wakiboresha pale bandarini, mambo yatakuwa mazuri zaidi.
Serikali ijitahidi kuweka miundombinu hasa ya barabara katika viwango makini.
Kijana usilale, fursa zipo nyingi.
Kariakoo kuna uvunjaji na ujenzi wa majengo ya ghorofa karibia 100. Hii ni idadi kubwa sana.
Tafsiri ya haraka pia mazingira ya biashara eneo hilo kitovu cha Afrika Mashariki imeimarika sana. Kariakoo pana hela.
DP World nao wakiboresha pale bandarini, mambo yatakuwa mazuri zaidi.
Serikali ijitahidi kuweka miundombinu hasa ya barabara katika viwango makini.
Kijana usilale, fursa zipo nyingi.