Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,478
- 29,193
Hili hata mimi nililiona,Riwaya ya ujasusi unajaza mavisa ya kufikirika mara Majini,mara mashtani
Hii riwaya haikupaswa kabisa kuitwa ya Ujasusi hata kidogo. Yaani sio riwaya mbaya ila haina ujasusi wowote ule.
Ingeitwa SIMULIZI YA KIJINI, NIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA