Nsubhi
Senior Member
- Jan 27, 2015
- 159
- 51
Kwenye report ya CAG imeonekana kuna mabilioni yamepotea kila secta lakini pia kuna mabilioni kwenye mifuko ya jamii wamekopeshana wafanyakazi wa mifuko ya jamii na mabilioni mengine serikali imekopa na haitaki kulipa.
Hivyo danadana zote hizi wanajua tatizo liko wapi hivyo wanaangalia mdhaifu (mfanyakazi) wao ili alipe deni lako kwa shuruti. Kwani katika hili hamna mfanyakazi mwenye akili nzuri anaweza kuli-support kwani halina faida kwa mfanyakazi ila machungu na kuongeza chuki dhidi ya serkali.
Kumekua na wabunge wa hovyo na hawajitambui kwasababu wanadai eti kikokotoo hiki kipya kinafaida kwa wastaafu na kama kina faida wao pia wabunge wanaenda kustaafu, swali hizo 250M wanazopewa zikatwe nao wapewe 33% yani 82.5M watakubali au hizi sheria wanatunga kwa ajili kuwa-fever yao siyo watanzania wote?
Ifike sehemu watanzania tuseme no. Laa hawa jamaa wanatengeneza tatizo ili mkuu wa majizi aje kusema hadharani tumetatua changamoto ya kikokotoo na vile wasivyo na uelewa walio wengi watampigia makofi na kusema kuupiga mwingi.
Hizi siasa zinazolenga kubinya masilahi yetu tena harari tuzikatae kabisa kwani zimelenga kutunyanyasa kisaikolojia na kiuchumi.
Hivyo danadana zote hizi wanajua tatizo liko wapi hivyo wanaangalia mdhaifu (mfanyakazi) wao ili alipe deni lako kwa shuruti. Kwani katika hili hamna mfanyakazi mwenye akili nzuri anaweza kuli-support kwani halina faida kwa mfanyakazi ila machungu na kuongeza chuki dhidi ya serkali.
Kumekua na wabunge wa hovyo na hawajitambui kwasababu wanadai eti kikokotoo hiki kipya kinafaida kwa wastaafu na kama kina faida wao pia wabunge wanaenda kustaafu, swali hizo 250M wanazopewa zikatwe nao wapewe 33% yani 82.5M watakubali au hizi sheria wanatunga kwa ajili kuwa-fever yao siyo watanzania wote?
Ifike sehemu watanzania tuseme no. Laa hawa jamaa wanatengeneza tatizo ili mkuu wa majizi aje kusema hadharani tumetatua changamoto ya kikokotoo na vile wasivyo na uelewa walio wengi watampigia makofi na kusema kuupiga mwingi.
Hizi siasa zinazolenga kubinya masilahi yetu tena harari tuzikatae kabisa kwani zimelenga kutunyanyasa kisaikolojia na kiuchumi.