jina langu
Member
- Jul 16, 2017
- 54
- 97
Vijana wengi tumekuwa wavivu na waoga hasa linapokuja suala lautafutaji watu wengi wanaamini kufanikiwa kupitia njia za ndugu zao au walizotumia jamaa zao
Kuna kitu nataka nikushauri kijana mwenzangu japo kwa uchache tu.
Binadamu tumeletwa duniani ili tuishi na tufurahie maisha lakini huwezi kuyafurahia maisha Kama huna amani au muda wote una mawazo na vyote hivi huja Kama mtu huna pesa, naweza sema pesa Ina nafasi kubwa Sana katika maisha ya kila mtu, na mtu akishika pesa au akiwa na mfumo mzuri wa kumpatia pesa basi huyo mtu kuwa na amani ni rahisi zaidi kuliko ambaye Hana pesa, utaheshimiwa Kama unapesa,utakula unachohitaji kwa muda huo, itasaidia ndugu na wazazi kupitia pesa lakini ni namna gani tunaweza kujijengea tabia ya kupata pesa.
1. Epuka makundi ya watu yote ambayo hayana mpango wala malengo katika maisha
2. Nenda au hamia sehemu ambayo hawakujui ambako utakuwa unaweza uza hata mishikaki bila aibu ogopa kuishi sehemu ulipokulia Kama hujafanikiwa hutaweza kuendelea
3. Unapoamka asubuhi usithubutu kwenda kazini kama hujapangilia ratiba ya hio siku na matumizi Wala usitembee na pesa mfuko Kama haipo kwenye bajeti kwa kizingizio cha dharura
4. Usiwe mtu wa kawaida (yaani usifanye mambo kimazoea au kikawaida fanya vitu ambavyo hata wengine wanakushangaa, usije kukatishwa na hofu ili mradi hicho kitu hakitoi uhai wako lakini kina msaada wa kukuingizia pesa fanya lolote liwezekanalo upate mtaji kama huna, unaweza kuomba kwa mtu ,kopa,uza chochote,nenda hata kwa waziri ndani kwake lia Sana akusaidie hata kianzio kwa ufupi fanya chochote kinachokuja mbele yako ili mradi upate pesa kamwe kwako mtaji usiwe kikwazo)
5. Watumie watu wengine kukuingizia faida mfano Kuna vijana wengi mtaani hata kupata buku kwa siku shida watumie hao tafuta laki au laki mbili na majiko ya kuazima au kukopa anzisha vigenge vitatu au vinne vya kuchoma mishikaki waajiri vijana hao wamtaani walipe kwa kamisheni au buku mbili mbili baada ya mauzo n.k
6. Fanya hata kazi ya udalali boresha kwa kiwango unachokihitaji ikiwezekana sajiri ili kuongeza uaminifu kwa watu panga ofisi upande unakuwa unalala hapohapo Anza kutafuta connection n.k
7. Tafuta Jambo lolote ambako unalijua nje ndani Anza kufundisha watu Hilo Jambo watu kwa pesa n.k
Hapa chini nitaenda kueleza kazi ambazo unaweza kufanya kwa kutumia simu au computer ambazo ni online job
I) Kazi ya kwanza inaitwa picoworkers
Hii ni site ambayo unajisajiri na kuona kazi ndogondogo ambazo unakuwa unafanya mfano kulike page za Facebook, kufollow mtu Twitter, kuretweet post za watu, kusign up n.k kila kazi unaweza fanya na ukalipwa Dola 0.10$ na unakamaliza kwa dakika 2 kwa siku ukifanya vikazi 100 tayari umeingiza chochote.
II) Kazi ya pili inaitwa adsterra
Hii ni kazi nzuri Sana na hii naifanya mpaka Sasa maana yenyewe unatengeneza link ambayo hio link unakuwa unasambaza kwenye page za Facebook na kokote unakotaka yaani mtu akiclick tu hio link wewe unalipwa yaani mtu ni kuclick tu haina haja ya kufanyaje ko utakachofanya wewe ni kutafuta maneno ambayo yatamshawishi tu mtu a click tu hio link haina haja ya kuwa na website au blog ni wewe na simu yako basi na haihitaji mtaji wowote kuanza. Malipo yanalipwa kutokana na CPM mfano siku hio CPM ikiwa 130 Ina maana waki click watu 1000 katika hio link basi utalipwa Dola 130 hesabu yake ni cpm×viewers gawanya kwa 1000 na CPM huongezeka au kupungua kutokana na nchi unazoshare na idadi ya viewers kwa siku
III) AFFLIATE MARKET
hii hapa ni kazi ambayo inahitaji mtu awe na uwezo wa kushawishi Sana na imegawanyika sehemu kuu mbili sehemu ya kwanza unaweza ukatumia ku reffer watu wanunue bidhaa au wajiunge katika huduma Fulani
Mfano wa site ambazo MTU unaweza ukajiunga kwa ajiri ya kuuza bidhaa ni
Ushauri Kama una pc au simu fanya online business
kwa usaidizi nicheki WhatsApp 0656958801
Hapa chini nimeweka screenshot ya vipesa nilivyolipwa usiku wa kuamkia Leo zaidi ya dola 9
Na siku zingine huwa nalipwa Hadi dola 30 kwa siku
Japo wapo wengine hulipwa zaidi ya hapo
Kuna kitu nataka nikushauri kijana mwenzangu japo kwa uchache tu.
Binadamu tumeletwa duniani ili tuishi na tufurahie maisha lakini huwezi kuyafurahia maisha Kama huna amani au muda wote una mawazo na vyote hivi huja Kama mtu huna pesa, naweza sema pesa Ina nafasi kubwa Sana katika maisha ya kila mtu, na mtu akishika pesa au akiwa na mfumo mzuri wa kumpatia pesa basi huyo mtu kuwa na amani ni rahisi zaidi kuliko ambaye Hana pesa, utaheshimiwa Kama unapesa,utakula unachohitaji kwa muda huo, itasaidia ndugu na wazazi kupitia pesa lakini ni namna gani tunaweza kujijengea tabia ya kupata pesa.
1. Epuka makundi ya watu yote ambayo hayana mpango wala malengo katika maisha
2. Nenda au hamia sehemu ambayo hawakujui ambako utakuwa unaweza uza hata mishikaki bila aibu ogopa kuishi sehemu ulipokulia Kama hujafanikiwa hutaweza kuendelea
3. Unapoamka asubuhi usithubutu kwenda kazini kama hujapangilia ratiba ya hio siku na matumizi Wala usitembee na pesa mfuko Kama haipo kwenye bajeti kwa kizingizio cha dharura
4. Usiwe mtu wa kawaida (yaani usifanye mambo kimazoea au kikawaida fanya vitu ambavyo hata wengine wanakushangaa, usije kukatishwa na hofu ili mradi hicho kitu hakitoi uhai wako lakini kina msaada wa kukuingizia pesa fanya lolote liwezekanalo upate mtaji kama huna, unaweza kuomba kwa mtu ,kopa,uza chochote,nenda hata kwa waziri ndani kwake lia Sana akusaidie hata kianzio kwa ufupi fanya chochote kinachokuja mbele yako ili mradi upate pesa kamwe kwako mtaji usiwe kikwazo)
5. Watumie watu wengine kukuingizia faida mfano Kuna vijana wengi mtaani hata kupata buku kwa siku shida watumie hao tafuta laki au laki mbili na majiko ya kuazima au kukopa anzisha vigenge vitatu au vinne vya kuchoma mishikaki waajiri vijana hao wamtaani walipe kwa kamisheni au buku mbili mbili baada ya mauzo n.k
6. Fanya hata kazi ya udalali boresha kwa kiwango unachokihitaji ikiwezekana sajiri ili kuongeza uaminifu kwa watu panga ofisi upande unakuwa unalala hapohapo Anza kutafuta connection n.k
7. Tafuta Jambo lolote ambako unalijua nje ndani Anza kufundisha watu Hilo Jambo watu kwa pesa n.k
Hapa chini nitaenda kueleza kazi ambazo unaweza kufanya kwa kutumia simu au computer ambazo ni online job
I) Kazi ya kwanza inaitwa picoworkers
Hii ni site ambayo unajisajiri na kuona kazi ndogondogo ambazo unakuwa unafanya mfano kulike page za Facebook, kufollow mtu Twitter, kuretweet post za watu, kusign up n.k kila kazi unaweza fanya na ukalipwa Dola 0.10$ na unakamaliza kwa dakika 2 kwa siku ukifanya vikazi 100 tayari umeingiza chochote.
II) Kazi ya pili inaitwa adsterra
Hii ni kazi nzuri Sana na hii naifanya mpaka Sasa maana yenyewe unatengeneza link ambayo hio link unakuwa unasambaza kwenye page za Facebook na kokote unakotaka yaani mtu akiclick tu hio link wewe unalipwa yaani mtu ni kuclick tu haina haja ya kufanyaje ko utakachofanya wewe ni kutafuta maneno ambayo yatamshawishi tu mtu a click tu hio link haina haja ya kuwa na website au blog ni wewe na simu yako basi na haihitaji mtaji wowote kuanza. Malipo yanalipwa kutokana na CPM mfano siku hio CPM ikiwa 130 Ina maana waki click watu 1000 katika hio link basi utalipwa Dola 130 hesabu yake ni cpm×viewers gawanya kwa 1000 na CPM huongezeka au kupungua kutokana na nchi unazoshare na idadi ya viewers kwa siku
III) AFFLIATE MARKET
hii hapa ni kazi ambayo inahitaji mtu awe na uwezo wa kushawishi Sana na imegawanyika sehemu kuu mbili sehemu ya kwanza unaweza ukatumia ku reffer watu wanunue bidhaa au wajiunge katika huduma Fulani
Mfano wa site ambazo MTU unaweza ukajiunga kwa ajiri ya kuuza bidhaa ni
- Clickbank.com
- Amazon
- Alibaba
- Jvzoo
- Commission junction n.k
Ushauri Kama una pc au simu fanya online business
kwa usaidizi nicheki WhatsApp 0656958801
Hapa chini nimeweka screenshot ya vipesa nilivyolipwa usiku wa kuamkia Leo zaidi ya dola 9
Na siku zingine huwa nalipwa Hadi dola 30 kwa siku
Japo wapo wengine hulipwa zaidi ya hapo