NEMC mko wapi wakati Mwamposa anatupigia kelele usiku kucha?

Huihui2

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
5,431
8,239
IMG_7939.jpeg


Usiku wa kuamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.

Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.

Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
 
Mkuu siku zote huwa anapiga kelele za namna hiyo? Huwa kuna vibali vya matamasha ya namna hiyo rejea mziki mnene,fiesta na mikesha mingne iwe ya dini au ya kijamiii huwa ipo na wanapewa kibali kabisa cha uendeshaji wa shughuli hiyo na haiwezi kiwa mwezi mzima mara nying haizid siku 7
 
View attachment 2681679

Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.

Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.

Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am ded up with this hooliganism and indoctrination.
Uko sahihi kabisa. Hawa watu wana makelele mno na kwabahati mbaya sana ni matapeli kama matapeli wengine.
 
Back
Top Bottom