Ndugu nisaidieni kujua aina hizi za fence ya nyumba

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,329
4,056
e3c2f6efdf2ec2b779861ea11afd122d.jpg

f9bb263dfe9cb356b1e43cb0c86d9b73.jpg

82ee70d042ad595d686667537618d51a.jpg


Ningependa kujua kama nahitaji kuweka fence kama hii nitumie mmea/mti/maua ya aina ila ambayo itaweza kuni guarantee usalama dhidi ya kupenyeka kwa urahisi.

Karibuni wenye ueledi juu ya hili
 
Zinaitwa hedge, na hizo ulizoweka uoto huo haupo Tanzania

Kwa kukusaidia tu, kama bougainvillea inastawi hapo ulipo, aina ile wanayotumia Moshi kwa ajili ya hedge, weka hiyo. Itakupa the same effect. Ila lazima iwe inachongwa on a regular basis. Tena ina miiba mikali

1715345851360.jpeg
 
View attachment 2986683
View attachment 2986684
View attachment 2986685

Ningependa kujua kama nahitaji kuweka fence kama hii nitumie mmea/mti/maua ya aina ila ambayo itaweza kuni guarantee usalama dhidi ya kupenyeka kwa urahisi.

Karibuni wenye ueledi juu ya hili
Nakushauri fanya yafutayo kupata unacho kitaka.


1. Nunua zile nguzo za zege, urefu wa futi tano au sita, simika kwa zege.

2. Chukua fencing Wire, zungushia.

3. Nunua zile sengenge zungushia mkabala

Hapo umepata uzio Cheap na inaweza kukupa amani kidgo. Sasa panda michongoma kwa nje ya hiyo fensi ili kuziba ndani usionekane au Panda mapension kuziba ndani.


Kumbuka fensi ni jambo moja na Usalama ni jambo jingine, maana kama fensi ya ukuta tu wadau wanaingia na kupiga tukio sembuse hiyo?

La msing weka na ulinzi au fuga wanyama wa ulinzi kamq mbwa.
 
Zinaitwa hedge, na hizo ulizoweka uoto huo haupo Tanzania

Kwa kukusaidia tu, kama bougainvillea inastawi hapo ulipo, aina ile wanayotumia Moshi kwa ajili ya hedge, weka hiyo. Itakupa the same effect. Ila lazima iwe inachongwa on a regular basis. Tena ina miiba mikali

View attachment 2986750
Ahsate mkuu, je kuna aina nyingine ambayo inanyooka zaidi kwenda juu bila kutawanyika sana ili kupunguza kurekbishq mara kwa mara
 
Nakushauri fanya yafutayo kupata unacho kitaka.


1. Nunua zile nguzo za zege, urefu wa futi tano au sita, simika kwa zege.

2. Chukua fencing Wire, zungushia.

3. Nunua zile sengenge zungushia mkabala

Hapo umepata uzio Cheap na inaweza kukupa amani kidgo. Sasa panda michongoma kwa nje ya hiyo fensi ili kuziba ndani usionekane au Panda mapension kuziba ndani.


Kumbuka fensi ni jambo moja na Usalama ni jambo jingine, maana kama fensi ya ukuta tu wadau wanaingia na kupiga tukio sembuse hiyo?

La msing weka na ulinzi au fuga wanyama wa ulinzi kamq mbwa.
AHsante mkuu
 
N
Nakushauri fanya yafutayo kupata unacho kitaka.


1. Nunua zile nguzo za zege, urefu wa futi tano au sita, simika kwa zege.

2. Chukua fencing Wire, zungushia.

3. Nunua zile sengenge zungushia mkabala

Hapo umepata uzio Cheap na inaweza kukupa amani kidgo. Sasa panda michongoma kwa nje ya hiyo fensi ili kuziba ndani usionekane au Panda mapension kuziba ndani.


Kumbuka fensi ni jambo moja na Usalama ni jambo jingine, maana kama fensi ya ukuta tu wadau wanaingia na kupiga tukio sembuse hiyo?

La msing weka na ulinzi au fuga wanyama wa ulinzi kamq mbwa.
Nimekutumia namba ya wtsapp kwenye dp yako ili unitumie picha
 
Back
Top Bottom