Mbona hizo zote zinapenyeka kwa kiwembe tuu🤣View attachment 2986683
View attachment 2986684
View attachment 2986685
Ningependa kujua kama nahitaji kuweka fence kama hii nitumie mmea/mti/maua ya aina ila ambayo itaweza kuni guarantee usalama dhidi ya kupenyeka kwa urahisi.
Karibuni wenye ueledi juu ya hili
Inavutia!View attachment 2986683
View attachment 2986684
View attachment 2986685
Ningependa kujua kama nahitaji kuweka fence kama hii nitumie mmea/mti/maua ya aina ila ambayo itaweza kuni guarantee usalama dhidi ya kupenyeka kwa urahisi.
Karibuni wenye ueledi juu ya hili
Nakushauri fanya yafutayo kupata unacho kitaka.View attachment 2986683
View attachment 2986684
View attachment 2986685
Ningependa kujua kama nahitaji kuweka fence kama hii nitumie mmea/mti/maua ya aina ila ambayo itaweza kuni guarantee usalama dhidi ya kupenyeka kwa urahisi.
Karibuni wenye ueledi juu ya hili
Ahsate mkuu, je kuna aina nyingine ambayo inanyooka zaidi kwenda juu bila kutawanyika sana ili kupunguza kurekbishq mara kwa maraZinaitwa hedge, na hizo ulizoweka uoto huo haupo Tanzania
Kwa kukusaidia tu, kama bougainvillea inastawi hapo ulipo, aina ile wanayotumia Moshi kwa ajili ya hedge, weka hiyo. Itakupa the same effect. Ila lazima iwe inachongwa on a regular basis. Tena ina miiba mikali
View attachment 2986750
AHsante mkuuNakushauri fanya yafutayo kupata unacho kitaka.
1. Nunua zile nguzo za zege, urefu wa futi tano au sita, simika kwa zege.
2. Chukua fencing Wire, zungushia.
3. Nunua zile sengenge zungushia mkabala
Hapo umepata uzio Cheap na inaweza kukupa amani kidgo. Sasa panda michongoma kwa nje ya hiyo fensi ili kuziba ndani usionekane au Panda mapension kuziba ndani.
Kumbuka fensi ni jambo moja na Usalama ni jambo jingine, maana kama fensi ya ukuta tu wadau wanaingia na kupiga tukio sembuse hiyo?
La msing weka na ulinzi au fuga wanyama wa ulinzi kamq mbwa.
Nimetaka ku post picha za sample uone demonstration but Jf app inaznguaaAHsante mkuu
Haya maua nawez kupata picha ya karibu?Zinaitwa hedge, na hizo ulizoweka uoto huo haupo Tanzania
Kwa kukusaidia tu, kama bougainvillea inastawi hapo ulipo, aina ile wanayotumia Moshi kwa ajili ya hedge, weka hiyo. Itakupa the same effect. Ila lazima iwe inachongwa on a regular basis. Tena ina miiba mikali
View attachment 2986750
Nimekutumia namba ya wtsapp kwenye dp yako ili unitumie pichaNakushauri fanya yafutayo kupata unacho kitaka.
1. Nunua zile nguzo za zege, urefu wa futi tano au sita, simika kwa zege.
2. Chukua fencing Wire, zungushia.
3. Nunua zile sengenge zungushia mkabala
Hapo umepata uzio Cheap na inaweza kukupa amani kidgo. Sasa panda michongoma kwa nje ya hiyo fensi ili kuziba ndani usionekane au Panda mapension kuziba ndani.
Kumbuka fensi ni jambo moja na Usalama ni jambo jingine, maana kama fensi ya ukuta tu wadau wanaingia na kupiga tukio sembuse hiyo?
La msing weka na ulinzi au fuga wanyama wa ulinzi kamq mbwa.
Mkuu sipo Mosho kwa sasa. Kama una jamaa yako Moshi omba picha, zipo nyingi sana hizi hedgeHaya maua nawez kupata picha ya karibu?