Maeneo gan unatakNatanguliza salam kwenu Wana jukwaa
Kama kichwa kinavyojieleza nitakua na KAZI ya mwezi mzima hapa Daresalaam natafta Furnished 1 bed room. natafta budget yangu ni 450k
Kama kuna MTU anaweza nisaidia nitahskuru sana
Sehem yoyote olio jaribu na Huduma ya mwendo kasiMaeneo gan unatak
Njoo nikupangishe kwangu me nikakae kwa rafiki angu 🥰🥰Natanguliza salam kwenu Wana jukwaa. Kama kichwa kinavyojieleza, nitakua na KAZI ya mwezi mzima hapa Dar es Salaam natafuta Furnished 1 bed room. Natafuta budget yangu ni 450k.
Kama kuna MTU anaweza nisaidia nitashkuru sana
Haha npe addressNjoo nikupangishe kwangu me nikakae kwa rafiki angu 🥰🥰
Ila hakuna tvHaha npe address