Kitu chenye baraka wengi hukiombea wakipate, kinyume chake watu huomba kiwaepuke
Kwa imani zetu huwa tunaamini Mungu anahusika kwenye uumbaji hivyo hata mlemavu ni kazi yake, akipanga uwe na mtoto mlemavu kuna tatizo ?
Naleta hii mada sababu inafikia kipindi wazazi wanafungia watoto wao wenye ulemavu, hawapendi watu wajue, wanahisi mtoto karogwa wanazunguka kwa wachungaji, maustadh, waganga.