Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,831
- 4,586
Familia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. Wazazi wadai Serikali ya Mtaa na kituo cha polisi hakiwapi ushirikiano.
Wakifafanua sakata hilo Wazazi wanadai kuwa walipata mashaka baada ya kuona mtoto wao wa miaka 6 anajinyea mara kwa mara na baadaye mwendo wa mtoto huyo ubadilika.
Aidha, wanasema walipomhoji mtoto huyo alidokeza kuwa Mwalimu Imma anampaga soda na Biskuti lakini mtoto hakuweza kueleza vitendo vya mwalimu huyo.
Baada ya kwenda Polisi na Hospitali alipopimwa ilibainika mtoto huyo ameharibiwa sehemu yake ya haja kubwa.
Wazazi wanaomba mamlaka husika kutoa msaada ili kupata haki kwa mtoto wao.
UPDATE
- Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko amesema Watu 2 akiwemo Mwalimu Emmanuel Mbigili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kulawiti mtoto
Wakifafanua sakata hilo Wazazi wanadai kuwa walipata mashaka baada ya kuona mtoto wao wa miaka 6 anajinyea mara kwa mara na baadaye mwendo wa mtoto huyo ubadilika.
Aidha, wanasema walipomhoji mtoto huyo alidokeza kuwa Mwalimu Imma anampaga soda na Biskuti lakini mtoto hakuweza kueleza vitendo vya mwalimu huyo.
Baada ya kwenda Polisi na Hospitali alipopimwa ilibainika mtoto huyo ameharibiwa sehemu yake ya haja kubwa.
Wazazi wanaomba mamlaka husika kutoa msaada ili kupata haki kwa mtoto wao.
- Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko amesema Watu 2 akiwemo Mwalimu Emmanuel Mbigili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kulawiti mtoto