Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,958
- 28,073
Muungano OYEEE!!
Wakuu!
Kumekuwa na wimbi la wanaoitwa wataalamu wa afya na lishe kukosoa karibia kila aina za vyakula tunavyotumia kila siku.
Utasikia ugali ni chakula hatari sana kwa afya zetu. Wengine wanaenda mbali zaidi na kusema ugali ni chakula cha mifugo!
Profesa Janabi naye hayupo nyuma, kila kitu anapondea tu.
Lakini sasa hawasemi tunapaswa kula nini kwa matumizi ya kila siku.
Hebu tusaidieni ili na sisi tujiepushe na vyakula vya mifugo na kuboresha afya zetu.
Wasalaam....!!
Wakuu!
Kumekuwa na wimbi la wanaoitwa wataalamu wa afya na lishe kukosoa karibia kila aina za vyakula tunavyotumia kila siku.
Utasikia ugali ni chakula hatari sana kwa afya zetu. Wengine wanaenda mbali zaidi na kusema ugali ni chakula cha mifugo!
Profesa Janabi naye hayupo nyuma, kila kitu anapondea tu.
Lakini sasa hawasemi tunapaswa kula nini kwa matumizi ya kila siku.
Hebu tusaidieni ili na sisi tujiepushe na vyakula vya mifugo na kuboresha afya zetu.
Wasalaam....!!