Mikoa ya Arusha na Manyara inaongoza kwa Ukeketaji Tanzania

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,482
8,337
Mikoa ya Arusha na Manyara imetajwa kuwa na Kiwango kikubwa cha Ukeketaji nchini Tanzania ikiwa na Wastani wa 43% ya Vitendo hivyo ikifuatiwa na Mikoa ya Mara 28%, Singida 20% na Tanga 19%

Mikoa mingine Dodoma (18%), Iringa (12%), Morogoro (10%), Kilimanjaro (9%), Njombe (7%) Pwani (5%) na Mbeya (3%). Mikoa inayosalia kiwango kiko chini ya 1%

Kwa mujibu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Serikali inaendelea na utekelezaji wa Mkakati wa kupunguza Vitendo vya Ukeketaji hadi 5% ifikapo mwaka 2025

Pia Soma Mkutano wa kimataifa wa kutokomeza ukeketaji 09- 11 Okt, 2023 Dar, JNICC
 
Mikoa ya Arusha na Manyara imetajwa kuwa na Kiwango kikubwa cha Ukeketaji nchini Tanzania ikiwa na Wastani wa 43% ya Vitendo hivyo ikifuatiwa na Mikoa ya Mara 28%, Singida 20% na Tanga 19%

Mikoa mingine Dodoma (18%), Iringa (12%), Morogoro (10%), Kilimanjaro (9%), Njombe (7%) Pwani (5%) na Mbeya (3%). Mikoa inayosalia kiwango kiko chini ya 1%

Kwa mujibu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Serikali inaendelea na utekelezaji wa Mkakati wa kupunguza Vitendo vya Ukeketaji hadi 5% ifikapo mwaka 2025

Pia Soma Mkutano wa kimataifa wa kutokomeza ukeketaji 09- 11 Okt, 2023 Dar, JNICC
Kina Ole Sendeka, wapuuzi, halafu anajifanya mjaanja wakujiteka mwenyewe...
 
Back
Top Bottom