BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,482
- 8,337
Mikoa ya Arusha na Manyara imetajwa kuwa na Kiwango kikubwa cha Ukeketaji nchini Tanzania ikiwa na Wastani wa 43% ya Vitendo hivyo ikifuatiwa na Mikoa ya Mara 28%, Singida 20% na Tanga 19%
Mikoa mingine Dodoma (18%), Iringa (12%), Morogoro (10%), Kilimanjaro (9%), Njombe (7%) Pwani (5%) na Mbeya (3%). Mikoa inayosalia kiwango kiko chini ya 1%
Kwa mujibu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Serikali inaendelea na utekelezaji wa Mkakati wa kupunguza Vitendo vya Ukeketaji hadi 5% ifikapo mwaka 2025
Pia Soma Mkutano wa kimataifa wa kutokomeza ukeketaji 09- 11 Okt, 2023 Dar, JNICC
Mikoa mingine Dodoma (18%), Iringa (12%), Morogoro (10%), Kilimanjaro (9%), Njombe (7%) Pwani (5%) na Mbeya (3%). Mikoa inayosalia kiwango kiko chini ya 1%
Kwa mujibu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Serikali inaendelea na utekelezaji wa Mkakati wa kupunguza Vitendo vya Ukeketaji hadi 5% ifikapo mwaka 2025
Pia Soma Mkutano wa kimataifa wa kutokomeza ukeketaji 09- 11 Okt, 2023 Dar, JNICC