kevoomarcus
Member
- Dec 3, 2023
- 44
- 57
Bayer Leverkusen heshima Yao Kwa kweli Yani nmechek gemu mpka nmekata tamaa lkn we hatariii Hawa jamaa Wana upepo na magoli ya dk za mwisho
Pole sana mkuu. Mimi bado mmoja tu.RASMI: NIMECHANA MIKEKA YOTE🥹
Jamani tubeti kistaarabu
kaka mechi 5,odds 2.05 ah sijawah kujaribuII603VU kwa wale wanaotafuta odds mbili hizo hapo Betpawa
Sio EPL tu mkuu. Mimi nadhani tangu makampuni ya kubeti yajikite kwenye udhamini wa timu, kuna uwezekano mkubwa wa match fixing. Hivi Le Have ni timu ya kuifunga PSG kama sio match fixing?Epl haisomeki. Mara magoli yapatikane..mara yapotee..mara timu zikamiane..yaani tafrani
Match fixing hiyo mkuu.Dahh..Man U is another curse. Kizeembe wanatoa suluhu.
Hahhh Kwa jinsi nlivoichek gemu fighting spirit ya PSG na vile wachezaji wamepaniki kama mbappe mpka kapewa kadi analalama jinsi walivokua wanashambulia asee mpka wakapata ata Ile draw weeee hakuna Cha fixing . Hzo fixing labda vi ligi vya ajabu uko chini havijulkaniSio EPL tu mkuu. Mimi nadhani tangu makampuni ya kubeti yajikite kwenye udhamini wa timu, kuna uwezekano mkubwa wa match fixing. Hivi Le Have ni timu ya kuifunga PSG kama sio match fixing?
Match fixing inafanyika sana tu mkuu. Matukio ya wachezaji kuonyesha wako serious ni mbinu ya kuficha uovu unaofanyika kwenye mpira.Hahhh Kwa jinsi nlivoichek gemu fighting spirit ya PSG na vile wachezaji wamepaniki kama mbappe mpka kapewa kadi analalama jinsi walivokua wanashambulia asee mpka wakapata ata Ile draw weeee hakuna Cha fixing . Hzo fixing labda vi ligi vya ajabu uko chini havijulkani
Sijajua labda una ushahidi mwenzangu sizani Kwa ligi kubwa kama mechi zinapangwa 🤔Match fixing inafanyika sana tu mkuu. Matukio ya wachezaji kuonyesha wako serious ni mbinu ya kuficha uovu unaofanyika kwenye mpira.
Anyway ata kama mechi imepangwa le Havre ameshinda afu we umeeka zako over 2.5 si ushakula mzeeSijajua labda una ushahidi mwenzangu sizani Kwa ligi kubwa kama mechi zinapangwa 🤔
Harafu kwenye No GG ameweka 1.40 harafu Yes GG ameweka 2.30 double chance ipo 1x 1.04 yani Punjab ni konyo🤣Sio EPL tu mkuu. Mimi nadhani tangu makampuni ya kubeti yajikite kwenye udhamini wa timu, kuna uwezekano mkubwa wa match fixing. Hivi Le Have ni timu ya kuifunga PSG kama sio match fixing?
Hujawahi kusikia huko Italy timu zimashushwa madraja kwa sababu ya match fixing au Serie A sio ligi kubwa mkuu?.Sijajua labda una ushahidi mwenzangu sizani Kwa ligi kubwa kama mechi zinapangwa 🤔
Anhaa kweli mechi fixing zipo ila mfano Leo spurs na arsenal imepangwa matokeo manake we hujui matokeo yaliyopangwa BDO una nafasi ya kubashiri matokeo mfano wamepanga watoke 0-0 afu we umeeka double ya çhance ya draw apo ushakula au wamepanga spurs ashinde mana weng wamefata arsenal ko we umeeka home/away inakua unyama mana uzuri hakuna bet yenye uhakika 100% mana ata ikiwa 90% BDO inaweza ika lost ko tuendelee kubahatishaHujawahi kusikia huko Italy timu zimashushwa madraja kwa sababu ya match fixing au Serie A sio ligi kubwa mkuu?.