Mchezo wa Azam FC vs Simba SC tutegemee kuona makosa ya kibinadamu kwa marefa, kadi za michongo na penati ili Simba SC wachukue Kombe la Muungano

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,382
12,950
Simba sc ipo katika wakati mgumu sana inayochangiwa na presha ya mashabiki wanaopiga kelele kuwa timu yao inakiwango kibovu.

Ikumbukwe Simba SC imetolewa katika kombe la shirikisho linalozaminiwa na CRDB na kwenye ligi wanashika nafasi ya tatu kwa kuachwa point kadhaa na mtani wake Yanga SC.

Simba SC itaitumia michuano ya Muungano Cup ili kurudisha Imani kwa mashabiki wao kwa hiyo piga ua galagaza afe kipa au afe beki lazima simba sc wachukue Kombe la Muungano Cup

Tutegemee kuona makossa ya kibinadamu kwa refa na kadi za mchongo watakazopewa wachezaji wa azam pamoja na zawadi ya penati kwa Simba SC ili tu apate ushindi ma kurudisha Imani kwa mashabiki.

Maoni yangu; Marefa tunataka fair play na endapo mchezo utaegemea upande mmoja kama hesabu zilivyopigwa itakua ni kudidimiza ukuaji wa mpora wetu huu, mpira wa miguu ni mchezo wa wazi kabisa kama timu haitaki kusajili quality players hata ibebwe vip ni ngumu sana kudeliver mpira bora na kuwin trophies.
 
Simba sc ipo katika wakati mgumu sana inayochangiwa na presha ya mashabiki wanaopiga kelele kuwa timu yao inakiwango kibovu.

Ikumbukwe Simba SC imetolewa katika kombe la shirikisho linalozaminiwa na CRDB na kwenye ligi wanashika nafasi ya tatu kwa kuachwa point kadhaa na mtani wake Yanga SC.

Simba SC itaitumia michuano ya Muungano Cup ili kurudisha Imani kwa mashabiki wao kwa hiyo piga ua galagaza afe kipa au afe beki lazima simba sc wachukue Kombe la Muungano Cup

Tutegemee kuona makossa ya kibinadamu kwa refa na kadi za mchongo watakazopewa wachezaji wa azam pamoja na zawadi ya penati kwa Simba SC ili tu apate ushindi ma kurudisha Imani kwa mashabiki.

Maoni yangu; Marefa tunataka fair play na endapo mchezo utaegemea upande mmoja kama hesabu zilivyopigwa itakua ni kudidimiza ukuaji wa mpora wetu huu, mpira wa miguu ni mchezo wa wazi kabisa kama timu haitaki kusajili quality players hata ibebwe vip ni ngumu sana kudeliver mpira bora na kuwin trophies.
Hiyo lazima watapewa.
 
Kila Ukilala unaiota Simba, ukiamka Simba imejaa Kichwani.

Mimi ndo naomba Mungu hiyo mipenati ya mchongo na mikadi itokee ili Simba awe Bingwa ili Kiranga kikutoke...!

Timu itabeba kombe kwa uwezo Wake na sio Kubebwa kama nyie..
 
Mchezo wa Azam FC vs Simba SC tutegemee kuona
  1. makosa ya kibinadamu kwa marefa .................... ❌
  2. kadi za michongo ................................................................ ❌
  3. na penati..................................................................................... ❌
  4. ili Simba SC wachukue Kombe la Muungano .. ✔️
UBUNTU BOTHO
SIMBA BINGWA WA TANZANIA BARA NA VISIWANI
 
Simba sc ipo katika wakati mgumu sana inayochangiwa na presha ya mashabiki wanaopiga kelele kuwa timu yao inakiwango kibovu.

Ikumbukwe Simba SC imetolewa katika kombe la shirikisho linalozaminiwa na CRDB na kwenye ligi wanashika nafasi ya tatu kwa kuachwa point kadhaa na mtani wake Yanga SC.

Simba SC itaitumia michuano ya Muungano Cup ili kurudisha Imani kwa mashabiki wao kwa hiyo piga ua galagaza afe kipa au afe beki lazima simba sc wachukue Kombe la Muungano Cup

Tutegemee kuona makossa ya kibinadamu kwa refa na kadi za mchongo watakazopewa wachezaji wa azam pamoja na zawadi ya penati kwa Simba SC ili tu apate ushindi ma kurudisha Imani kwa mashabiki.

Maoni yangu; Marefa tunataka fair play na endapo mchezo utaegemea upande mmoja kama hesabu zilivyopigwa itakua ni kudidimiza ukuaji wa mpora wetu huu, mpira wa miguu ni mchezo wa wazi kabisa kama timu haitaki kusajili quality players hata ibebwe vip ni ngumu sana kudeliver mpira bora na kuwin trophies.

Tupe mrejesho....Yale Makosa ya Kibinadamu yalijitokeza Leo kwa mujibu wa jicho lako..?

Maana Simba Kashaua mtu huko Zenji..!
 
Tutegemee kuona makossa ya kibinadamu kwa refa na kadi za mchongo watakazopewa wachezaji wa azam pamoja na zawadi ya penati kwa Simba SC ili tu apate ushindi ma kurudisha Imani kwa mashabiki.

1714248254890.png
 
Hivi Simba bado ipo tu
Simba ipo mkuu leo imeibukia Zenji nasikia imebeba kwa mara ya sita kombe la TFF na kupaa rank za CAF na Fifa hadi 3 bora maana lile ndilo kombe kubwa zaidi kwa TZ.
Sasa kina Mr Karai watatulia huko Karume angalau wameipa kolowizard Manundu FC kombe la mchongo!!
 
Ila Ubuntu Botho! Wanashangilia kabisa kombe la muungano!!! Kukosa aibu ni ulemavu mbaya sana.
 
Jana niliona Simba ikionesha sifa za timu ya ndondo kama Abajalo na Faru Dume , ilikuwa aibu sana Simba aka Manundu FC (nundu 7 za Yanga na nundu mbili za Mbangula) kugeuka timu ya maninja , undava undava, mguu wa shingo mguu wa roho liwalo na liwe hatujali tena sijui soka burudani, kidogo waue wachezaji wa Azam. Jana yaliyojiri

1. Simba kuomba mpira uishe , ni aibu sana timu inayojiona kubwa kuiogopa Azam
2. Simba Kucheza rafu kila Azam walipoanza safari , kama vile waliambiwa na kocha, iliboa Sana, hawa jamaa mpira ushawashinda kabisa, watambulike tu ni timu ndogo kama mtibwa for now
3. Wachezaji wa Simba kupiga mipira mbali ili kupoteza muda wa Azam kuanza kucheza tena baada ya simba kucheza faulo , iliboa sana maana timu nzima ilifanya hivyo ilionekana ni mbinu ya Benchika
4. Wachezaji wa Simba kuzuia faulo zisipigwe ili kupoteza muda hasa Mzamiru alikera sana , muda mwingi ulipotea tukapoteza chenji vibanda umiza
5. Kipa Ayubu kupoteza muda hadi inaboa hapigi Mpira aisee noma sana ikawa kama Simba queen
6. Saidoo kulazimisha mashabiki kujaa uwanjani kuangalia simba wakitolewa manundu na wakistruggle hata kupasiana tu,
7. simba kucheza boli tu ilimradi kila mtu kivyake bila mipango ya kufunga
8. TFF kutulia sasa baada ya kuipa kolowizard Manundu FC kombe la mchongo ili kuhamasisha boli bongo maana ubabe wa Yanga umezidi football imepoteza msisimko!
9. Yanga tuitambue Azam kama mpinzani Mkuu na si Simba tena ishakuwa mdebwedo!!
10. Wachezaji wa Simba hawakuwa na ule mzuka wa timu inayobeba kombe kubwa maana Yanga haikushiriki ni kombe la kupewa live!
 
Simba sc ipo katika wakati mgumu sana inayochangiwa na presha ya mashabiki wanaopiga kelele kuwa timu yao inakiwango kibovu.

Ikumbukwe Simba SC imetolewa katika kombe la shirikisho linalozaminiwa na CRDB na kwenye ligi wanashika nafasi ya tatu kwa kuachwa point kadhaa na mtani wake Yanga SC.

Simba SC itaitumia michuano ya Muungano Cup ili kurudisha Imani kwa mashabiki wao kwa hiyo piga ua galagaza afe kipa au afe beki lazima simba sc wachukue Kombe la Muungano Cup

Tutegemee kuona makossa ya kibinadamu kwa refa na kadi za mchongo watakazopewa wachezaji wa azam pamoja na zawadi ya penati kwa Simba SC ili tu apate ushindi ma kurudisha Imani kwa mashabiki.

Maoni yangu; Marefa tunataka fair play na endapo mchezo utaegemea upande mmoja kama hesabu zilivyopigwa itakua ni kudidimiza ukuaji wa mpora wetu huu, mpira wa miguu ni mchezo wa wazi kabisa kama timu haitaki kusajili quality players hata ibebwe vip ni ngumu sana kudeliver mpira bora na kuwin trophies.
Binafsi sijaona kadi za mchongo, makosa ya kibinadamu wala penalt
 
Back
Top Bottom