Masharti ya Hamas kuanza kutekelezwa mwanzo.Malori 200 ya misaada kila siku kwa siku nne kuingia Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,472
11,455
Katika orodha ya masharti ya kusitisha vita ni kuruhusiwa kuingia Gaza kwa malori 200 ya misaada mbali mbali yakiwemo kwa uchache malori 4 ya mafuta kila siku.

Masharti hayo yatakayoanza kutekelezwa kesho Ijumaa saa moja asubuhi za Gaza itaanza kwa kutosikika risasi yoyote hewani halafu malori hayo yaanze kuingia kupitia kituo cha Rafah mpakani na Misri.

Wapalestina wakisha kula na kunywa na kushiba na kuchaji simu zao ifikapo jioni saa 10 mateka 13 tu wa mwanzo wataachiwa.

Zoezi hilo litaendelea kama hivyo kwa siku 4 na huenda likaendelea ili kuachiwa kwa mateka zaidi ambao Israel ilishindwa kuwapata kwa njia ya mapigano.

Katikati ya mjadala wa kutekelezwa kwa masharti hayo ya kusitisha vita Israel iliwahi kusema katika kipindi hicho cha siku nne wale wote waliolazimika kuhama kuelekea kusini hawataruhusiwa kurudi eneo la kaskazini.

Sharti jengine Hamas walilokuwa wakilishikilia mwanzoni mwa mazungumzo hayo ni kuwa misaada iingie Gaza nzima bila kubagua kusini na kaskazini.Pia haijajulikana iwapo sharti hilo nalo lilikubaliwa.

Hata hivyo leo wapalestina kadhaa walio kusini wamesikika wakisema kwa furaha kwamba watapata nafasi ya kurudi majumbani kwao huko kuchukua nguo za kuwabadilisha watoto wao,Wakasema japo majumba mengi yamebomolewa lakini itawapa furaha kuyaona kwa mara nyengine.

Kwa kauli hizo za wapalestina haijajulikana iwapo Israel ilibanwa na kukubali kuacha kikwazo cha watu walioko kusini kurudi kaskazini japo kwa muda mdogo.

Kwa hakika kesho itakuwa ni siku ya furaha sana kwa ulimwengu mzima kwa kuona picha za mateka na msururu mirefu ya malori yakiingia Gaza.
 
Baada ya siku 4 mateka wote watakuwa wameachiwa na hiyo misaada iliyoingia Gaza inapigwa Tena na mabomu na Hali ya njaa unarudi tena kama mwanzo.
Sioni faida Hamas watapata kwasababu hata hao wafungwa wa kipalestina watauawa tena baada kuachiwa huru
Haitokuwa hivyo.Ngoja utaona.
Hilo la Israel kukubali masharti ya Hamas ni dalili Israel kuna hasara kubwa kaipata katika hivi vita ambayo hakutarajia
 
Katika orodha ya masharti ya kusitisha vita ni kuruhusiwa kuingia Gaza kwa malori 200 ya misaada mbali mbali yakiwemo kwa uchache malori 4 ya mafuta kila siku.
Masharti hayo yatakayoanza kutekelezwa kesho Ijumaa saa moja asubuhi za Gaza itaanza kwa kutosikika risasi yoyote hewani halafu malori hayo yaanze kuingia kupitia kituo cha Rafah mpakani na Misri.
Wapalestina wakisha kula na kunywa na kushiba na kuchaji simu zao ifikapo jioni saa 10 mateka 13 tu wa mwanzo wataachiwa.
Zoezi hilo litaendelea kama hivyo kwa siku 4 na huenda likaendelea ili kuachiwa kwa mateka zaidi ambao Israel ilishindwa kuwapata kwa njia ya mapigano.
Katikati ya mjadala wa kutekelezwa kwa masharti hayo ya kusitisha vita Israel iliwahi kusema katika kipindi hicho cha siku nne wale wote waliolazimika kuhama kuelekea kusini hawataruhusiwa kurudi eneo la kaskazini.Sharti jengine Hamas walilokuwa wakilishikilia mwanzoni mwa mazungumzo hayo ni kuwa misaada iingie Gaza nzima bila kubagua kusini na kaskazini.Pia haijajulikana iwapo sharti hilo nalo lilikubaliwa.
Hata hivyo leo wapalestina kadhaa walio kusini wamesikika wakisema kwa furaha kwamba watapata nafasi ya kurudi majumbani kwao huko kuchukua nguo za kuwabadilisha watoto wao,Wakasema japo majumba mengi yamebomolewa lakini itawapa furaha kuyaona kwa mara nyengine.
Kwa kauli hizo za wapalestina haijajulikana iwapo Israel ilibanwa na kukubali kuacha kikwazo cha watu walioko kusini kurudi kaskazini japo kwa muda mdogo.

Kwa hakika kesho itakuwa ni siku ya furaha sana kwa ulimwengu mzima kwa kuona picha za mateka na msururu mirefu ya malori yakiingia Gaza

Ila HAMAS atakuwa kajiamini vipi kwenye hili?
 
Hii itakuwa ni habari mbaya mno kwa wale ma Rabbi uchwara.

Cc: MK254

Israel wamekubali kuwapa hizo siku nne baada ya makelele ya dunia, kwamba watoto wenu walikua wanakosa chakula, maji na madawa na hii ilikua inasababisha chuki dhidi ya Israel, hivyo pumzikeni hizo siku nne, ila kipodo kitarudi pale pale na raundi hii hata yule huwa mnaita akbar akbar hatawasaidia kitu maana Mungu wa Israel ni mkuu kuzidi wenu muarabu ambaye huongozwa na chuki za kigaidi.
 
Israel wamekubali kuwapa hizo siku nne baada ya makelele ya dunia, kwamba watoto wenu walikua wanakosa chakula, maji na madawa na hii ilikua inasababisha chuki dhidi ya Israel, hivyo pumzikeni hizo siku nne, ila kipodo kitarudi pale pale na raundi hii hata yule huwa mnaita akbar akbar hatawasaidia kitu maana Mungu wa Israel ni mkuu kuzidi wenu muarabu ambaye huongozwa na chuki za kigaidi.

Hujawaskia Biden au Natenyahu wakishukuru mno kwenye hili la kuachia mateka?
 
Hujawaskia Biden au Natenyahu wakishukuru mno kwenye hili la kuachia mateka?

Mateka tulijua mumewaua wote baada ya Israel kuisambaratisha Gaza na kuifanya irudi nyuma miaka kumi na kuua mazombi yenu 15,000 na pia dah kuua watoto, nilidhani hasira ya yule 'mungu' wenu muarabu akbar akbar imewafanya mchinje hao mateka, nashangaa eti bado wako hai...khaa
 
Baada ya siku 4 mateka wote watakuwa wameachiwa na hiyo misaada iliyoingia Gaza inapigwa Tena na mabomu na Hali ya njaa unarudi tena kama mwanzo.
Sioni faida Hamas watapata kwasababu hata hao wafungwa wa kipalestina watauawa tena baada kuachiwa huru
Musrael mweusi wa Kimara Temboni anakuambia baada ya siku 4 mateka wote watakwa wameachiwa wewe ujui chochote Hamas wana akili kubwa kuzidi mabwana zako wanaanza na wagonjwa na watoto 50
 
Israel wamekubali kuwapa hizo siku nne baada ya makelele ya dunia, kwamba watoto wenu walikua wanakosa chakula, maji na madawa na hii ilikua inasababisha chuki dhidi ya Israel, hivyo pumzikeni hizo siku nne, ila kipodo kitarudi pale pale na raundi hii hata yule huwa mnaita akbar akbar hatawasaidia kitu maana Mungu wa Israel ni mkuu kuzidi wenu muarabu ambaye huongozwa na chuki za kigaidi.
Kiko wapi sasa Israel wanakaa meza moja na Magaidi na kuwaomba😂
 

Attachments

  • IMG_6552.jpeg
    IMG_6552.jpeg
    42.5 KB · Views: 2
Mateka tulijua mumewaua wote baada ya Israel kuisambaratisha Gaza na kuifanya irudi nyuma miaka kumi na kuua mazombi yenu 15,000 na pia dah kuua watoto, nilidhani hasira ya yule 'mungu' wenu muarabu akbar akbar imewafanya mchinje hao mateka, nashangaa eti bado wako hai...khaa
Jeshi la mashoga Gaza kaeneo kadogo sana kama kigambani miezi 3 Israel wanachezea kichapo Magari 335 ya kijeshi ya Kizayuni yalilengwa kwa jumla, tangu uvamizi huo uanze. Hapa mashoga wenzako waonyeshe hata maiti moja ya Hamas Gaza.
 

Attachments

  • twidown.mp4
    1.7 MB
Mateka tulijua mumewaua wote baada ya Israel kuisambaratisha Gaza na kuifanya irudi nyuma miaka kumi na kuua mazombi yenu 15,000 na pia dah kuua watoto, nilidhani hasira ya yule 'mungu' wenu muarabu akbar akbar imewafanya mchinje hao mateka, nashangaa eti bado wako hai...khaa
Hapo ndio utajua waislamu ni nani na kwamba si watu kuhemkwa wala si magaidi.
Israel imebinywa kidogo tu imekurupuka na kuua watu karibu 20000 kwani walio kwenye kifusi itakuwa na wao ni marehemu tayari.
Waislamu wakipigana wanafuata mafundisho ya dini yao ya kutokuua wanawake na watoto wala kuharibu vitu vye heshima kwa watu wengine.Israel kinyume chake inapiga mahospitali na misikiti.
Israel imepatwa na hofu kila mtu inamuona kama ni adui.Akiwa mtoto,mzee na hata mgonjwa.
 
Katika orodha ya masharti ya kusitisha vita ni kuruhusiwa kuingia Gaza kwa malori 200 ya misaada mbali mbali yakiwemo kwa uchache malori 4 ya mafuta kila siku.
Masharti hayo yatakayoanza kutekelezwa kesho Ijumaa saa moja asubuhi za Gaza itaanza kwa kutosikika risasi yoyote hewani halafu malori hayo yaanze kuingia kupitia kituo cha Rafah mpakani na Misri.
Wapalestina wakisha kula na kunywa na kushiba na kuchaji simu zao ifikapo jioni saa 10 mateka 13 tu wa mwanzo wataachiwa.
Zoezi hilo litaendelea kama hivyo kwa siku 4 na huenda likaendelea ili kuachiwa kwa mateka zaidi ambao Israel ilishindwa kuwapata kwa njia ya mapigano.
Katikati ya mjadala wa kutekelezwa kwa masharti hayo ya kusitisha vita Israel iliwahi kusema katika kipindi hicho cha siku nne wale wote waliolazimika kuhama kuelekea kusini hawataruhusiwa kurudi eneo la kaskazini.Sharti jengine Hamas walilokuwa wakilishikilia mwanzoni mwa mazungumzo hayo ni kuwa misaada iingie Gaza nzima bila kubagua kusini na kaskazini.Pia haijajulikana iwapo sharti hilo nalo lilikubaliwa.
Hata hivyo leo wapalestina kadhaa walio kusini wamesikika wakisema kwa furaha kwamba watapata nafasi ya kurudi majumbani kwao huko kuchukua nguo za kuwabadilisha watoto wao,Wakasema japo majumba mengi yamebomolewa lakini itawapa furaha kuyaona kwa mara nyengine.
Kwa kauli hizo za wapalestina haijajulikana iwapo Israel ilibanwa na kukubali kuacha kikwazo cha watu walioko kusini kurudi kaskazini japo kwa muda mdogo.

Kwa hakika kesho itakuwa ni siku ya furaha sana kwa ulimwengu mzima kwa kuona picha za mateka na msururu mirefu ya malori yakiingia Gaza
Naona anguko la hao Hamas
Yaani wakiachia tu jamaa wanaanza kuwauliza wale waliotekwa na siri itafichuka
 
Jeshi la mashoga Gaza kaeneo kadogo sana kama kigambani miezi 3 Israel wanachezea kichapo Magari 335 ya kijeshi ya Kizayuni yalilengwa kwa jumla, tangu uvamizi huo uanze. Hapa mashoga wenzako waonyeshe hata maiti moja ya Hamas Gaza.
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom