Makombora mengi ya Iran yatua na yapiga vituo vya kijeshi nchini Israel

licha ya ndege zisizo na rubani za Iran yaani drones kudunguliwa kabla ya kulenga shabaha imegundulika idadi kubwa ya makombora ya masafa marefu ya Hypersonic ya Iran yameteketeza vibaya kambi kadhaa za kijeshi nchini Israel
View attachment 2965501

What Are Israel’s Options for Retaliating Against Iran’s Drone and Missile Strike?​

Prime Minister Benjamin Netanyahu says the country will respond, but hasn’t given any details about how or when. His government says a failure to act would signal weakness and encourage further attacks by its arch-enemy.

Here are some options:

A strike on Iran’s nuclear facilities

This would be among the riskiest and most aggressive of the choices, and could force Iran to lash out at Israel again, potentially triggering a regional war the US, Europe and Arab states are so keen to avoid.

Israel, which bombed an Iraqi reactor in 1981 and a Syrian atomic site in 2007, has long considered Iran’s nuclear program a threat to its existence. Most of Tehran’s nuclear facilities — which Iran says are for peaceful purposes but Israel says are for building bombs — are hidden deep underground, making them hard to reach. In the view of many strategists, Israel would require US help.

Mark Dubowitz, head of the Foundation for Defense of Democracies, a US research group with a hawkish view on Iran, disagrees and says Israel can do it alone. “They’ve been striking targets inside Iran for years,” he said.

Another target could be Iran’s Bonab Atomic Research Center, the closest site to Israel and 500 kilometers (310 miles) south of Azerbaijan, an Israeli ally. While it’s one of Iran’s less important nuclear facilities, hitting it would send a strong signal about Israel’s military capabilities.

Strikes or cyberattacks on military infrastructure in Iran

Israel could target Iranian military facilities or other important infrastructure within the Islamic Republic, either via a direct strike or a cyberattack. That would send a message of deterrence by hitting Iranian soil while minimizing casualties, according to Sima Shine, who formerly headed the Mossad intelligence agency’s research division.
Israel has for years been blamed for cyberattacks on both civilian and military sites in Iran — as well as assassinations of Iranian nuclear scientists and other intelligence operations — but has never claimed responsibility.

Any missile or drone strike on Iranian soil, no matter the target, would be major for Israel. But it wouldn’t necessarily be the first attack in Iran by Israel. Former Prime Minister Naftali Bennett said Israeli forces destroyed a drone base in Iran in 2022 under his orders.

Hitting Iranian proxies in the Middle East

Israel could also choose to strike some of Iran’s proxy militias such as Hezbollah in Lebanon or the Houthis in Yemen. There are also groups in Iraq and Syria. These are funded by Tehran and target Israel on its behalf.

Israel has exchanged daily fire with Hezbollah since the war against Hamas began in Gaza in October. And it’s fended off missiles and drones from the Houthis, who have also attacked Israeli-linked ships around the Red Sea. Still, the fighting has been kept below the threshold of all-out war.

In addition, Iran has its own military personnel embedded with those groups, many of them belonging to the Islamic Revolutionary Guard Corps. Israel could choose to target them specifically, as Iran said it did on April 1 when two IRGC generals were killed by a strike on Tehran’s embassy compound in Damascus. Iran said its attack on Israel over the weekend was a legitimate response to that incident.

Focus on Gaza

Some urge Israel to focus on its six-month-old war in Gaza and destroying Hamas, including in the city of Rafah where the Israeli government says around 8,000 of the group’s fighters are lodged.

Defeating Hamas, which receives training and funding from Iran, would mark a victory for Israel against Iran, said Yossi Kuperwasser, a former research head of military intelligence. “This entire war, from day one, is a war against Iran,” he said. “We have to finish the job in Gaza in order to cause much damage to the Iranian axis.”
 
licha ya ndege zisizo na rubani za Iran yaani drones kudunguliwa kabla ya kulenga shabaha imegundulika idadi kubwa ya makombora ya masafa marefu ya Hypersonic ya Iran yameteketeza vibaya kambi kadhaa za kijeshi nchini Israel
View attachment 2965501
Na bado wairan wanapiga matizi makali kama hayo lazima mazayuni wakae
1000005087.jpg
1000005087.jpg
 
Wale chawa wao wanadai mabwana zao wamezuia makombora yote hakuna liloleta madhara.
Ilikuwa ni propaganda.

Porojo za kisiasa.

Manake huko kwao tayari Wananchi wanaweweseka na Ulinzi wao.

Yaani washakuwa na mashaka mashaka ya Uwezo halisi wa Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama kuwalinda raia.

Walishindwa, sio tu kutabiri, bali walishindwa hata kudadavua Uwezo wa Hamas na mashambulizi yao dhidi ya Israel ya 7 October. Jambo hili linamfanya BN kukaa katika wakati mgumu, kisiasa. Halikadhalika,

Makombora yametua, na hiyo ni baada ya juhudi za Nchi karibia nane wakishirikiana na Israel kujaribu kuzuia mashambulizi.
 
Ilikuwa ni propaganda.

Porojo za kisiasa.

Manake huko kwao tayari Wananchi wanaweweseka na Ulinzi wao.

Yaani washakuwa na mashaka mashaka ya Uwezo halisi wa Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama kuwalinda raia.

Walishindwa, sio tu kutabiri, bali walishindwa hata kudadavua Uwezo wa Hamas na mashambulizi yao dhidi ya Israel ya 7 October. Jambo hili linamfanya BN kukaa katika wakati mgumu, kisiasa. Halikadhalika,

Makombora yametua, na hiyo ni baada ya juhudi za Nchi karibia nane wakishirikiana na Israel kujaribu kuzuia mashambulizi.
Ina maana israel angekuwa peke yake tungesahau kuhusi taifa la Israel
Mikwala mingi kumbe wachumba tu
 
nilicho penda Marekan anachezeshwa singeli asa hivi amsaidie nani sijajua kama ndo putin anachezesha mchezo au mchezo umemwendea upande wake wakat akicheza
 
Ina maana israel angekuwa peke yake tungesahau kuhusi taifa la Israel
Mikwala mingi kumbe wachumba tu
Twaifa tweule limepigwa na kitu kizito walokole wa kwa mpalange wanahaha huku! Alaf Israel ikisimama yenyewe hata Rwanda land anamnyuka jiulize misaada mingapi amepewa kupigana na hamas kikundi cha watu wanne na jangwa ndo watano wao leo wanakaribia mwaka
 
Twaifa tweule limepigwa na kitu kizito walokole wa kwa mpalange wanahaha huku! Alaf Israel ikisimama yenyewe hata Rwanda land anamnyuka jiulize misaada mingapi amepewa kupigana na hamas kikundi cha watu wanne na jangwa ndo watano wao leo wanakaribia mwaka
Hamas pekee yake iliwatosha Israel kujifunza kuwa hawako vizur kukabiliana na kundi hilo,,, lkn wakajifanya kichwa ngumu kuchokoza Iran kana kwamba iran ni kama panya road wa manzese

Waache wale jeuri yao
 
Ina maana israel angekuwa peke yake tungesahau kuhusi taifa la Israel
Mikwala mingi kumbe wachumba tu
Kwa miaka mingi wamekuwa wakihadaa Dunia na ukuu wao wa Kiintelijensi na Uwezo wa Kivita.

Nani asiyekumbuka Entebbe Raid? Wali shadadia sana uwezo wao wa Kiintelijensia... Itoshe, vile vita vya siku sita navyo havikustishwa kwasababu Waisraeli walishinda vita, ila kwasababu Waarabu hawakuwa na uwezo wa kiUchumi wa kupigana vita endelevu. It was more of economic reasons.

Mikwara mingi haswa.
 
Kwa miaka mingi wamekuwa wakihadaa Dunia na ukuu wao wa Kiintelijensi na Uwezo wa Kivita.

Nani asiyekumbuka Entebbe Raid? Wali shadadia sana uwezo wao wa Kiintelijensia... Itoshe, vile vita vya siku sita navyo havikustishwa kwasababu Waisraeli walishinda vita, ila kwasababu Waarabu hawakuwa na uwezo wa kiUchumi wa kupigana vita endelevu. It was more of economic reasons.

Mikwara mingi haswa.
Entebe wanamgambo wa nduli walikua wamelewa
 
Ilikuwa ni propaganda.

Porojo za kisiasa.

Manake huko kwao tayari Wananchi wanaweweseka na Ulinzi wao.

Yaani washakuwa na mashaka mashaka ya Uwezo halisi wa Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama kuwalinda raia.

Walishindwa, sio tu kutabiri, bali walishindwa hata kudadavua Uwezo wa Hamas na mashambulizi yao dhidi ya Israel ya 7 October. Jambo hili linamfanya BN kukaa katika wakati mgumu, kisiasa. Halikadhalika,

Makombora yametua, na hiyo ni baada ya juhudi za Nchi karibia nane wakishirikiana na Israel kujaribu kuzuia mashambulizi.
Waliambiwa hilo ni taifa la Mungu. Linalindwa na mungu.
Unadhani watawaambia nini waumini wao waliodanganya miaka yote hiyo!?
Mungu asieiweza hata Iran!!?

Ndio tumejua sasa kumbe wanaposema taifa la Mungu. Taifa teule kumbe wanakusudia Mungu mwenyewe ni Marekani. Na ndie aliewateuaa!!
 
licha ya ndege zisizo na rubani za Iran yaani drones kudunguliwa kabla ya kulenga shabaha imegundulika idadi kubwa ya makombora ya masafa marefu ya Hypersonic ya Iran yameteketeza vibaya kambi kadhaa za kijeshi nchini Israel
View attachment 2965501
Hiyo video ulioweka ni video ya janga la moto huko nchi ya chile mnatumia eti kama propaganda kuonyesha eti iran iliteketeza kambi za israel acheni unafiki na uwongo ninayo hiyo video ni nchi ya chile ilizuka janga la moto
 
Back
Top Bottom