SoC04 Maisha Halisi

Tanzania Tuitakayo competition threads

Leticia shija

New Member
Aug 16, 2022
2
1
♦️Binadamu ni viumbe wa ajabu sana. Watu wakikuona una uwezo wa kufanya jambo fulani, au pengine wewe ni miongoni mwa watu ambao una ushawishi fulani kwenye Jamii, watataka kukutumia ili kufanikisha mambo yao, na baada ya kufanikisha hayo mambo yao wewe uliekua nyuma ya hayo mafanikio yao kamwe hawatokutambua wala hawatokupa ile thamani ambayo ulipaswa upewe.

Tujifunze kuheshimu kila mmoja, maisha haya yako na siri kubwa sana. Leo unaweza ukawa sehemu fulani ukamdharau yule alieko chini yako bila kujua hatima ya maisha ya huyo unaemdharau. Mwenyezi Mungu atupe Hekima na Utashi wa kutambua na kuelewa fumbo linaloitwa, "MAISHA".......
 
♦️Binadamu ni viumbe wa ajabu sana. Watu wakikuona una uwezo wa kufanya jambo fulani, au pengine wewe ni miongoni mwa watu ambao una ushawishi fulani kwenye Jamii, watataka kukutumia ili kufanikisha mambo yao, na baada ya kufanikisha hayo mambo yao wewe uliekua nyuma ya hayo mafanikio yao kamwe hawatokutambua wala hawatokupa ile thamani ambayo ulipaswa upewe.
Ni nini kinachofanya ujione kustahili kupewa thamani. Je ni kweli unastahili wewe kupewa hiyo thamani tu na sio wao?

Je tukiligeuza swali na kuuliza je wewe hao uliowafanikisha umewapatia thamani wanayoistahili. Maana unaelewa kuwa bila wao usingeweza kufanikisha chochote? Yaani hata kama ni msaada, bila ya kuwepo wa kusaidiwa mtoa msaada hana thamani. Kila upande tu uwe nyenyekevu na utoe thamani stahiki dada
 
Back
Top Bottom