Aramun
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 232
- 1,008
Maajabu hayatakaa yaishe Tanzania. Dhirika linalokusanya mabilioni kwa mwezi ndilo linaongoza kutengeneza pia hasara kwenye nchi.
Kwa hali hii bima kwa wote ni ndoto za mchana. Sheria imeshatungwa lakini kwa kufosi sana. Tetesi ni kwamba feasibility study ya wataalamu ya bima kwa wote ilionesha HAIWEZEKANI.
Ndicho kilichomtoa katibu mkuu wa wizara ya afya mwaka juzi kwa sababu alisimamia uhalisia.
Ila kwa sababu hili jambo linapelekwa kisiasa, basi wakalipush mpaka ikawa sheria.
Namba zinaongea. Zikiongea namba hata mjinga anaelewa. Shirika lilikshindwa kuwahudumia wateja laki 8 litaweza kuhudumia watu milioni 70? HAIWEZEKANI.
Mahospitali makubwa hasa MNH, BMH, JKCI, MOI, KCMC, BUGANDO, MBEYA ZONAL nasikia yana hali mbaya sana kwa sababu NHIF hawajapeleka michango ya wanachama kwa miezi karibu 6 sasa.
Na hizi hospitali kubwa za umma zinajiendesha kwa 90% kwa kutumia pesa za NHIF. Kwa sasa wakuu wa hizi hospitali wanahaha kutokana na package mpya ya NHIF.
Hiyo package mpya inaenda kuzifanya hizi hospitali kubwa za umma zisiweze kujiendesha. Kwa hiyo ni either wizara ndiyo ibebe hilo gap litakalotokea, au warudishe package ya zamani kama ilivyokuwa..
TOP LOSS MAKING PUBLIC INSTITUTION IN TANZANIA
(Losses in Tanzanian shillings)
1. National Health Insurance Fund (NHIF), πππ πππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
2. Tanzania Railways Corporation (TRC), πππ πππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
3. TANOIL Investment Limited, πππ ππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
4. Air Tanzania Company Limited (ATCL), πππ ππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
5. Kariakoo Market Corporation, πππ ππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
6. University of Dar es Salaam (UDSM), πππ ππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
7. Tanzania Biotech Products Limited, πππ π.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
8. Kilimanjaro International Leather Industries, πππ π.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
9. Mbeya Water Supply and Sanitation Authority, πππ π.ππ ππ’π₯π₯π’π¨π§
10. Petroleum Upstream Regulatory Authority (PURA), πππ π.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
βͺοΈ CAG report, fiscal year 2022/23.
Kwa hali hii bima kwa wote ni ndoto za mchana. Sheria imeshatungwa lakini kwa kufosi sana. Tetesi ni kwamba feasibility study ya wataalamu ya bima kwa wote ilionesha HAIWEZEKANI.
Ndicho kilichomtoa katibu mkuu wa wizara ya afya mwaka juzi kwa sababu alisimamia uhalisia.
Ila kwa sababu hili jambo linapelekwa kisiasa, basi wakalipush mpaka ikawa sheria.
Namba zinaongea. Zikiongea namba hata mjinga anaelewa. Shirika lilikshindwa kuwahudumia wateja laki 8 litaweza kuhudumia watu milioni 70? HAIWEZEKANI.
Mahospitali makubwa hasa MNH, BMH, JKCI, MOI, KCMC, BUGANDO, MBEYA ZONAL nasikia yana hali mbaya sana kwa sababu NHIF hawajapeleka michango ya wanachama kwa miezi karibu 6 sasa.
Na hizi hospitali kubwa za umma zinajiendesha kwa 90% kwa kutumia pesa za NHIF. Kwa sasa wakuu wa hizi hospitali wanahaha kutokana na package mpya ya NHIF.
Hiyo package mpya inaenda kuzifanya hizi hospitali kubwa za umma zisiweze kujiendesha. Kwa hiyo ni either wizara ndiyo ibebe hilo gap litakalotokea, au warudishe package ya zamani kama ilivyokuwa..
TOP LOSS MAKING PUBLIC INSTITUTION IN TANZANIA
(Losses in Tanzanian shillings)
1. National Health Insurance Fund (NHIF), πππ πππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
2. Tanzania Railways Corporation (TRC), πππ πππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
3. TANOIL Investment Limited, πππ ππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
4. Air Tanzania Company Limited (ATCL), πππ ππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
5. Kariakoo Market Corporation, πππ ππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
6. University of Dar es Salaam (UDSM), πππ ππ.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
7. Tanzania Biotech Products Limited, πππ π.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
8. Kilimanjaro International Leather Industries, πππ π.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
9. Mbeya Water Supply and Sanitation Authority, πππ π.ππ ππ’π₯π₯π’π¨π§
10. Petroleum Upstream Regulatory Authority (PURA), πππ π.π ππ’π₯π₯π’π¨π§
βͺοΈ CAG report, fiscal year 2022/23.