Kuna hasara mashirika ya umma kwa kuwa hakuna uwajibikaji

Nov 13, 2020
9
3
Kitu kikubwa nilichogundua ni kuwa, Namna pekee ya Kuyaokoa mashirika ya serikali yanayo andamwa na hasara kubwa ni namna ya kupata waendeshaji wawajibikaji.

Imekuwa ni kawaida sana Kipindi hiki cha Uongozi wa Rais Samia Watu kubadilishiwa vitengo tu badala ya kuwajibishwa.

Utakuta Kiongozi kaharibu Tanesco afu kesho unamkuta ATCL, Hii inawafanya wasiogope chochote cha kupoteza maana hakuna uwajibishwaji.

Tukirudi enzi za utawala wa JPM Utagundua viongozi/Wafanyakazi wengi wa umma walikuwa na ile kitu ya kuwajibika sana maana utumbuliwaji ulikuwa nje nje. Hii iliwapa Hofu sana watumishi wa umma na kuwafanya wawajibike kweli kweli kulinda nafsi zao.

Hivyo basi namna pekee ya kuokoa hasara zisizo na ulazima kwa mashirika ya umma na kuyafanya yalete tija kwa maendeleo ya nchi yetu ni lazima tupate watumishi sahihi wanaoweza kulinda rasilimali za nchi vizuri, na hawa watapatikana kwa njia pekee ya uwajibishwaji pale inapotokea dosari na sio kuhamishwa Vitengo tu.
 
Mawakala na Vibaraka wa wafujaji na wabadirifu wa mali za Umma kwa utayari wameshafunika mjadala huu.

Ukitaka kujua kuwa CHADEMA(Mbowe na Waunga mkono wa Maridhiano) wameishiwa nguvu baada ya kupokea TShs bilioni 2.7, basi fuatilia Nyuzi za Makonda na teua tengua ya Rais.
Wengi wa mawakala-Wamwnunuliwa

Kiufupi ni kwamba, Upinzani unanunulika.

Ripoti ya CAG, kwa mara nyingine tena, imeshindwa kupata Headline na mijadala stahiki kwa sababu tu, wapinzani na wakosoaji wananunulika
fb_img_1680258242993-jpg.2572153


Umoja party iko wapi?

Uwajibikaji wa upande zote, yaani CCM na vyama vya Upinzani upo wapi?

Kumbuka wakati wakijaribu kuufunika mjadala kama huu ambao ni muhimu kwa Taifa la kesho, kwamba Uwajibikaji sio bidhaa ya kuuzwa.
 
Human beings are capitalist by nature, mali ya serikali ni kama mali ya bure, haya mashirika wanufaika ni wafanya kazi
 
Mawakala na Vibaraka wa wafujaji na wabadirifu wa mali za Umma kwa utayari wameshafunika mjadala huu.

Ukitaka kujua kuwa CHADEMA(Mbowe na Waunga mkono wa Maridhiano) wameishiwa nguvu baada ya kupokea TShs bilioni 2.7, basi fuatilia Nyuzi za Makonda na teua tengua ya Rais.
Wengi wa mawakala-Wamwnunuliwa

Kiufupi ni kwamba, Upinzani unanunulika.

Ripoti ya CAG, kwa mara nyingine tena, imeshindwa kupata Headline na mijadala stahiki kwa sababu tu, wapinzani na wakosoaji wananunulika
fb_img_1680258242993-jpg.2572153


Umoja party iko wapi?

Uwajibikaji wa upande zote, yaani CCM na vyama vya Upinzani upo wapi?

Kumbuka wakati wakijaribu kuufunika mjadala kama huu ambao ni muhimu kwa Taifa la kesho, kwamba Uwajibikaji sio bidhaa ya kuuzwa.
Wewe siufanye wajibu wako hao wakosoaji simliwapora ubunge nendeni mkaijadili lumumba pale kwenye cocas, wewe kama ni raia mzalendo umefanya nini kujadili hayo madudu nani kasema kukosoa ndio kazi inapaswa ifanye na wapinzani? Kwa hiyo notion ndio mana hatupigi hatua kwakua kama raia hatuwajibiki kwa nchi yetu tukiamini kuna watu wanapaswa kufanya kwa niaba ya wengine!!! CHUKUA HATUA KAMA UNAIPENDA NCHI YAKO AU KAA KIMYA TU
 
Wewe siufanye wajibu wako hao wakosoaji simliwapora ubunge nendeni mkaijadili lumumba pale kwenye cocas, wewe kama ni raia mzalendo umefanya nini kujadili hayo madudu nani kasema kukosoa ndio kazi inapaswa ifanye na wapinzani? Kwa hiyo notion ndio mana hatupigi hatua kwakua kama raia hatuwajibiki kwa nchi yetu tukiamini kuna watu wanapaswa kufanya kwa niaba ya wengine!!! CHUKUA HATUA KAMA UNAIPENDA NCHI YAKO AU KAA KIMYA TU
Usinipangie-itoshe, umehemuka tu Kwasababu nimemtaja Mbowe-
fb_img_1680258242993-jpg.2572153
Unasumbuliwa na masumbuko.

Kama umeshindwa kudadavua haya "Uwajibikaji wa upande zote, yaani CCM na vyama vya Upinzani upo wapi?

Huna hoja.
 
Kitu kikubwa nilichogundua ni kuwa, Namna pekee ya Kuyaokoa mashirika ya serikali yanayo andamwa na hasara kubwa ni namna ya kupata waendeshaji wawajibikaji.

Imekuwa ni kawaida sana Kipindi hiki cha Uongozi wa Rais Samia Watu kubadilishiwa vitengo tu badala ya kuwajibishwa.

Utakuta Kiongozi kaharibu Tanesco afu kesho unamkuta ATCL, Hii inawafanya wasiogope chochote cha kupoteza maana hakuna uwajibishwaji.

Tukirudi enzi za utawala wa JPM Utagundua viongozi/Wafanyakazi wengi wa umma walikuwa na ile kitu ya kuwajibika sana maana utumbuliwaji ulikuwa nje nje. Hii iliwapa Hofu sana watumishi wa umma na kuwafanya wawajibike kweli kweli kulinda nafsi zao.

Hivyo basi namna pekee ya kuokoa hasara zisizo na ulazima kwa mashirika ya umma na kuyafanya yalete tija kwa maendeleo ya nchi yetu ni lazima tupate watumishi sahihi wanaoweza kulinda rasilimali za nchi vizuri, na hawa watapatikana kwa njia pekee ya uwajibishwaji pale inapotokea dosari na sio kuhamishwa Vitengo tu.
Mataifa yanayotawaliwa na vyama vya kipuuzi ,vilivyozeeka na vyenye itikadi ya kijamaa kama hili ni ya kishenzi
Mfumo wa kijamaa unaua uwajibikaji , na badala yake ni kuzalisha utegemezi , uchawa , wizi , udikteta , rushwa , umasikini na ushenzi wa kila aina

CCM ni filth , hili taifa bila kufumua mfumo huu mzima na kung'oa hizi takataka , kila siku wimbo utakuwa ni ule ule

Leo kila mtu anawaza uchawa na uteuzi ili aingie kwenye system na kupora ,
Tanzania ni taifa la watu wapumbavu na wasio na akili
 
CCM are a bunch of crooks and subhuman pigs
CCM pale hakuna chama kama ilivyo CDM Tu, hata Watu wenye akili wanaelewa hivyo wote wapo kimaslahi ndiyo maana ikikuwa rahisi hata ACT kupata raia mapema maana wananchi wenyewe wamechoka dana dana za hivi vyama vikubwa. Wengi wapo kwa ajili ya kula keki ya Taifa na sio kuitengeneza ikawe chachu ya maendeleo ya Taifa kiujumla.
 
Mataifa yanayotawaliwa na vyama vya kipuuzi ,vilivyozeeka na vyenye itikadi ya kijamaa kama hili ni ya kishenzi
Mfumo wa kijamaa unaua uwajibikaji , na badala yake ni kuzalisha utegemezi , uchawa , wizi , udikteta , rushwa , umasikini na ushenzi wa kila aina

CCM ni filth , hili taifa bila kufumua mfumo huu mzima na kung'oa hizi takataka , kila siku wimbo utakuwa ni ule ule

Leo kila mtu anawaza uchawa na uteuzi ili aingie kwenye system na kupora ,
Tanzania ni taifa la watu wapumbavu na wasio na akili
Kikubwa ndiyo ni kufumua yaani kupata nafasi ya kutengua kila kitu, shida ni hawa ambao wapo kwenyr system ndo hawatki kabisa mtu anayeonekana wamaana aingilie mambo yao, ndiyo maana wanafanya kila kitu kuweza kujilinda zaidi kila siku katika nafasi zao
 
Wewe siufanye wajibu wako hao wakosoaji simliwapora ubunge nendeni mkaijadili lumumba pale kwenye cocas, wewe kama ni raia mzalendo umefanya nini kujadili hayo madudu nani kasema kukosoa ndio kazi inapaswa ifanye na wapinzani? Kwa hiyo notion ndio mana hatupigi hatua kwakua kama raia hatuwajibiki kwa nchi yetu tukiamini kuna watu wanapaswa kufanya kwa niaba ya wengine!!! CHUKUA HATUA KAMA UNAIPENDA NCHI YAKO AU KAA KIMYA TU
Kiukweli Suala la maendeleo ya Taifa ni jukumu la hao viongozi walio katika nyazifa sisi kama raia ni suala la maendeleo binafsi tu, kama kuhakikisha unapata maisha mazuri kwa namna yoyote na uhakikishe familia haikosi kitu, ila tukija upande wa maendeleo kwa level ya kitaifa huwezi sema ni jukumu la mwanachi hapana.
 
Matatizo yanaanzia juu
Kama juu wakubwa hawawajibiki
Hata huku chini lazima uwajibikaji
Uwe ovyooo

Ova
Na hio iko wazi, ni mara chache sana uikute familia iko na misingi bora kama wazazi hawajasimama kidete kutengeneza misingi hiyo.
 
Back
Top Bottom