Kwanini Mwigulu akiwa na cheo Serikalini lazima awe na timu ligi kuu?

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,963
6,109
Kipindi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Nchi, alikuwa anamiliki timu ya Singida Utd ya pale mkoani Singida. Akajaza wachezaji wa kigeni kibao kama vile Michel Rusheshagonga, Shafik Batambuze, Tafazwa Kutinyu nk

Wadhamini nao wakajitokeza wa kutosha mpaka jezi ikawa imechafuka kwa matangazo ya wadhamini.

Miaka michache baadae akatumbuliwa na hayati Magufuli, hatimae na mrija wa pesa ukapungua, wadhamini wakajitoa Singida ikashuka na kusahaulika ligi kuu bara.

Aliporudishwa kwenye Baraza la Mawaziri enzi ya Magufuli, akakaa kwa adabu bila kujihusisha na umiliki wa timu.

Baada ya kifo cha hayati Magufuli, Mama Samia akawa Rais na kumchagua Mwigulu kuwa Waziri wa Fedha. Ndani ya mwaka mmoja tu, tayari timu yake mpya aliyoinunua ya DTB imepanda daraja huku baadhi ya wachezaji waliopandisha timu hiyo wakiwa ni wale wale waliotumika enzi ya Singida Utd.

Japo amekuwa akikanusha kuwa yeye sio mmiliki, lakini ukweli siku zote haujifichi. DTB ina mastaa kibao kama Juma Abdul, Amis Tambwe, David Mwantika, Nicholaus Gyan, Tafazwa Kutinyu, na wengineo wengi.

Hizi fedha huwa anatoa wapi? Ni kwanini huwa anamiliki akiwa na cheo tu Serikalini?
 
Kinachonikera sio suala la yeye kumiliki timu.

Ila ni jinsi DTB ilivyotumia rushwa kwa kuhonga marefa na baadhi ya timu zisizojielewa ili ipande ligi kuu.

Kuna haja ya ligi daraja la kwanza kumulikwa kwa ukaribu.
 
Kinachonikera sio suala la yeye kumiliki timu.

Ila ni jinsi DTB ilivyotumia rushwa kwa kuhonga marefa na baadhi ya timu zisizojielewa ili ipande ligi kuu.

Kuna haja ya ligi daraja la kwanza kumulikwa kwa ukaribu.
Kama ushahidi unao peleka TAKUKURU
 
Kipindi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Nchi, alikuwa anamiliki timu ya Singida Utd ya pale mkoani Singida. Akajaza wachezaji wa kigeni kibao kama vile Michel Rusheshagonga, Shafik Batambuze, Tafazwa Kutinyu nk

Wadhamini nao wakajitokeza wa kutosha mpaka jezi ikawa imechafuka kwa matangazo ya wadhamini.

Miaka michache baadae akatumbuliwa na hayati Magufuli, hatimae na mrija wa pesa ukapungua, wadhamini wakajitoa Singida ikashuka na kusahaulika ligi kuu bara.

Aliporudishwa kwenye Baraza la Mawaziri enzi ya Magufuli, akakaa kwa adabu bila kujihusisha na umiliki wa timu.

Baada ya kifo cha hayati Magufuli, Mama Samia akawa Rais na kumchagua Mwigulu kuwa Waziri wa Fedha. Ndani ya mwaka mmoja tu, tayari timu yake mpya aliyoinunua ya DTB imepanda daraja huku baadhi ya wachezaji waliopandisha timu hiyo wakiwa ni wale wale waliotumika enzi ya Singida Utd.

Japo amekuwa akikanusha kuwa yeye sio mmiliki, lakini ukweli siku zote haujifichi. DTB ina mastaa kibao kama Juma Abdul, Amis Tambwe, David Mwantika, Nicholaus Gyan, Tafazwa Kutinyu, na wengineo wengi.

Hizi fedha huwa anatoa wapi? Ni kwanini huwa ana miliki akiwa na cheo tu serikalini?
Na home ground yake ni uwanja wa LIT (Namfua)
 
Kipindi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Nchi, alikuwa anamiliki timu ya Singida Utd ya pale mkoani Singida. Akajaza wachezaji wa kigeni kibao kama vile Michel Rusheshagonga, Shafik Batambuze, Tafazwa Kutinyu nk

Wadhamini nao wakajitokeza wa kutosha mpaka jezi ikawa imechafuka kwa matangazo ya wadhamini.

Miaka michache baadae akatumbuliwa na hayati Magufuli, hatimae na mrija wa pesa ukapungua, wadhamini wakajitoa Singida ikashuka na kusahaulika ligi kuu bara.

Aliporudishwa kwenye Baraza la Mawaziri enzi ya Magufuli, akakaa kwa adabu bila kujihusisha na umiliki wa timu.

Baada ya kifo cha hayati Magufuli, Mama Samia akawa Rais na kumchagua Mwigulu kuwa Waziri wa Fedha. Ndani ya mwaka mmoja tu, tayari timu yake mpya aliyoinunua ya DTB imepanda daraja huku baadhi ya wachezaji waliopandisha timu hiyo wakiwa ni wale wale waliotumika enzi ya Singida Utd.

Japo amekuwa akikanusha kuwa yeye sio mmiliki, lakini ukweli siku zote haujifichi. DTB ina mastaa kibao kama Juma Abdul, Amis Tambwe, David Mwantika, Nicholaus Gyan, Tafazwa Kutinyu, na wengineo wengi.

Hizi fedha huwa anatoa wapi? Ni kwanini huwa ana miliki akiwa na cheo tu serikalini?
Kaa kwa upole ma gap ya upigaji ni mengi sana kwa wateule wachache.
Hata yanga sasa hivi huwaambii kitu.

Ukisikia symbion analipwa bilioni 350 ujue hizi hizi pesa ndio zinatumika kwenye starehe za wateule.

Katika mambo yote,sitamuelewa mama kabisa kwa kumteua Mwigulu kwa waziri wa fedha.
 
Kipindi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Nchi, alikuwa anamiliki timu ya Singida Utd ya pale mkoani Singida. Akajaza wachezaji wa kigeni kibao kama vile Michel Rusheshagonga, Shafik Batambuze, Tafazwa Kutinyu nk

Wadhamini nao wakajitokeza wa kutosha mpaka jezi ikawa imechafuka kwa matangazo ya wadhamini.

Miaka michache baadae akatumbuliwa na hayati Magufuli, hatimae na mrija wa pesa ukapungua, wadhamini wakajitoa Singida ikashuka na kusahaulika ligi kuu bara.

Aliporudishwa kwenye Baraza la Mawaziri enzi ya Magufuli, akakaa kwa adabu bila kujihusisha na umiliki wa timu.

Baada ya kifo cha hayati Magufuli, Mama Samia akawa Rais na kumchagua Mwigulu kuwa Waziri wa Fedha. Ndani ya mwaka mmoja tu, tayari timu yake mpya aliyoinunua ya DTB imepanda daraja huku baadhi ya wachezaji waliopandisha timu hiyo wakiwa ni wale wale waliotumika enzi ya Singida Utd.

Japo amekuwa akikanusha kuwa yeye sio mmiliki, lakini ukweli siku zote haujifichi. DTB ina mastaa kibao kama Juma Abdul, Amis Tambwe, David Mwantika, Nicholaus Gyan, Tafazwa Kutinyu, na wengineo wengi.

Hizi fedha huwa anatoa wapi? Ni kwanini huwa ana miliki akiwa na cheo tu serikalini?
Hii si inamilikiwa na benki ya DIAMOND TRUST?..... Sidhani kama anahusika nayo.....Hata Singida United, Mwigulu hakuwa mmiliki wake.. Walikuwepo wakina Yusufu na Mo nao waliisaidia kupanda daraja... Mo alivyopata dili la kuinunua Simba, Ndio akaitelekeza Singida United... Si tuliokuwa Singida tunaelewa kilichokuwa kinaendelea pale Singida United.
 
Hii si inamilikiwa na benki ya DIAMOND TRUST?..... Sidhani kama anahusika nayo.....Hata Singida United , Mwigulu hakuwa mmiliki wake.. Walikuwepo wakina Yusufu na Mo nao waliisaidia kupanda daraja...Mo alivyopata dili la kuinunua Simba, Ndio akaitelekeza Singida United...Si tuliokuwa Singida tunaelewa kilichokuwa kinaendelea pale Singida United.
Hiyo haimilikiwa na bank, ilishauzwa iko chini ya watu binafsi, inasemekana kina hao hao mleta mada aliowataja. Hata assets wanazotumia kwa sasa kama basi ni lile lile la Singida united wame re-rebland tu.

Screenshot_20220518-070322_Twitter.jpg

Singida united ilikuwa timu ya Mwigulu, Mo alikuwa anasaidia tu. Ndio maana Mwigulu alikuwa anaamua tu kufanya anachotaka, kuna siku alimtoa Faisal Salum kama zawadi kwenda yanga, the fall of Mwigulu Nchemba ikawa the fall of Singida united hauwezi hata kurelate?
 
Kinachonikera sio suala la yeye kumiliki timu.

Ila ni jinsi DTB ilivyotumia rushwa kwa kuhonga marefa na baadhi ya timu zisizojielewa ili ipande ligi kuu.

Kuna haja ya ligi daraja la kwanza kumulikwa kwa ukaribu.
Kama hupeleki ushahidi TAKUKURU basi utaendelea kukereka tu
 
Hiyo haimilikiwa na bank, ilishauzwa iko chini ya watu binafsi, inasemekana kina hao hao mleta mada aliowataja. Hata assets wanazotumia kwa sasa kama basi ni lile lile la singida united wame re-rebland tu.

View attachment 2228771
Songida united ilikuwa timu ya mwigulu, mo alikuwa anasaidia tu. Ndio maana mwigulu alikuwa anaamua tu kufanya anachotaka, kuna siku alimtoa faisal salum kama zawadi kwenda yanga, the fall of mwigulu mchemba ikawa the fall of singida united hauwezi hata kurelate?
Si kweli, Singida United ilikuwa ya MO, Hata ilo basi walipewa na MO,... MO aliporudi Simba akaitelekeza Singida United, Ndio chanzo cha anguko lake....
 
Hii si inamilikiwa na benki ya DIAMOND TRUST?..... Sidhani kama anahusika nayo.....Hata Singida United , Mwigulu hakuwa mmiliki wake.. Walikuwepo wakina Yusufu na Mo nao waliisaidia kupanda daraja...Mo alivyopata dili la kuinunua Simba, Ndio akaitelekeza Singida United...Si tuliokuwa Singida tunaelewa kilichokuwa kinaendelea pale Singida United.
Wamiliki wa hiyo Benk unawajua?. Kazi ya mke wa Mwigullu unaijua?.
Kwa taarifa yako, Baada ya Singida utd kushuka daraja. Mwigulu ndio alieinunua Mawenzi Market ya Morogoro na kuihamishia Singida na sasa ndio imebadilishwa jina ndio hiyo inaitwa DTB. Inshu nyingine ya uendeshaji wa timu anajua kamkabidhi nani.
 
Naunga hoja mkuu
Hii si inamilikiwa na benki ya DIAMOND TRUST?..... Sidhani kama anahusika nayo.....Hata Singida United , Mwigulu hakuwa mmiliki wake.. Walikuwepo wakina Yusufu na Mo nao waliisaidia kupanda daraja...Mo alivyopata dili la kuinunua Simba, Ndio akaitelekeza Singida United...Si tuliokuwa Singida tunaelewa kilichokuwa kinaendelea pale Singida United
 
Back
Top Bottom