johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,071
- 143,885
Unaweza kufanya utafiti mdogo wewe mwenyewe na utagundua kundi la Viongozi wa Chadema waliounga Juhudi na wale walioenda NCCR mageuzi, CUF na ACT Wazalendo wote wanamkubali sana Tundu Antipas Lisu Katika Uongozi wa Chama Kikuu Cha Upimzani
Lakini Wabunge wa Chadema walioapishiwa Nje ya Ukumbi wa Bunge wanamkubali na kumuunga mkono mwenyekiti Mbowe
Hata Dr Slaa na BAK wako upande wa Tundu Lisu
Naendelea kutafiti zaidi...
Mlale Unono ๐๐
Lakini Wabunge wa Chadema walioapishiwa Nje ya Ukumbi wa Bunge wanamkubali na kumuunga mkono mwenyekiti Mbowe
Hata Dr Slaa na BAK wako upande wa Tundu Lisu
Naendelea kutafiti zaidi...
Mlale Unono ๐๐