Kuna tatizo mahali, dola hakuna sekta binafsi zinakufa

Mkuu,

Kuna watu wanaitafuta sana nje hawaipati.

Ni wewe tu hujui wine halafu una tabia ya kudharau vitu vya nyumbani.

Na Watanzania wengi wako kama wewe.

Ndiyo maana hamu export.

Halafu uchumi unakuwa mbovu, mnakosa dollars.

Mnatafuta mchawi wenu nani.
Haujui kitu wewe.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Haujui kitu wewe.
Wewe hata Kiswahili tu hujui.

Hujafika kiwango cha kuongea wine na mimi.

I drank Chilean whites, which are very close to Dodoma whites due to the soil.

Chilean whites are selling like hot cakes in the USA.

What do you know about that?

Some wines are acquired taste to some people, maybe you don't have the taste.

Ndiyo nyie mnakunywa bia halafu mnalalamika bia chungu.
 
Wewe hata Kiswahili tu hujui.

Hujafika kiwango cha kuongea wine na mimi.

I drank Chilean whites, which are very close to Dodoma whites due to the soil.

Chilean whites are selling like hot cakes in the USA.

What do you know about that?

Some wines are acquired taste to some people, maybe you don't have the taste.

Ndiyo nyie mnakunywa bia halafu mnalalamika bia chungu.
Whites ndio nini?
 
Pumba tupu
Dola kukosekana ni ishara ya nchi kukosa exports kwenye biashara ya kimataifa na sheria ngumu za kudhibiti dola.

Ukiwa na bidhaa za ku export na sheria nzuri, dola zipo nyingi tu soko la kimataifa zinatafuta bidhaa.

Watu wanatafuta jinsi ya kupata Konyagi na Dodoma wine, lakini hawazioni katika soko la kimataifa.

Kwa nini? Watanzania hawajajipanga katika exports.

Halafu wanalia dola hazipo.

Dola zitakuwapo vipi wakati kila kitu mna import, mpaka toothpicks?

Hamjui kuwa hivyo vitu mnavyo import ndiyo dola hizo mnatoa nje?

Dola itakuwapo vipi wakati exports ni ndogo sana?
 
Si ukosefu wa doa tu .
Na thamani ya tshs inazidi kuporomoka kwa kasi .
Huu ni mdororo wa uchumi.
Serikali ya wachumia tumbo hii ,hili lazima litokee
 
Kwenye benki hupati zaidi ya dolar 200 ,sasa imagine dollar 200 ndiyo limit .
Yaani dollar 200.
Na huipati Kwa chini ya 2900 hadi 3000
Kutoka kwa rate ya 2200-3000 ndani ya miezi michache tu .
Hii si indicator ya economic failure ?
 
Kwenye benki hupati zaidi ya dolar 200 ,sasa imagine dollar 200 ndiyo limit .
Yaani dollar 200.
Na huipati Kwa chini ya 2900 hadi 3000
Kutoka kwa rate ya 2200-3000 ndani ya miezi michache tu .
Hii si indicator ya economic failure ?
 
Tupunguze uagizaji wa vitu visivyo vya ulazima..

Kwa tuagize furniture nje?
Kwa nini tuagize toothpick china?
Kwa nini tuagize mapambo ya plastic nje?
Kwa nini tuagize mchele toka nje?
Kwa nini tuagize vitu tunavyoweza kufanya uzalishaji hapa ndani?
Kwa nini tufanye matumizi makubwa kuliko uwezo wetu?
Tupunguze ukubwa wa Serikali yetu-Tupunguze Wizara,Tu fanye merging ya idara,Kurugenzi.
Tupunguze safari zisizo za lazima
 
Pumba tupu
Hujaeleza pumba tupu kwa nini. Point gani ni pumba, kwa nini, kisicho pumba ni nini.

Pia, hujui kwamba pumba ni source nzuri sana ya virutubisho kama protini, wewe ndiye mjinga unakoboa na kuchujua wanga mtupu usio na protini na kuacha pumba tupu zenye protini.
 
Back
Top Bottom