Kevin Nashon fundi wa mpira nina zawadi yako nitafute

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
320
1,203
Hapa nchini kama tukiacha majungu na unafiki kiungo Kevin Nashon hafanani na kiungo yoyote yule mkabaji, kwa wale walioangala semi final leo baina ya Yanga na Ihefu watakubaliana na mimi kuwa dogo huyu ni fundi hasa lakini haheshimiki, hana bahati.

Mzamiru Yasin ambaye ni kiungo punda hakabi kama dogo huyu, huyu dogo na Yussuf Kagoma ni wakabaji hasa sio masihara, cjui kwanini Mecky Mexime alimtoa kipindi cha kwanza, alihakikisha Aziz Ki hazunguki katika maeneo yake, sio ajabu Aziz Ki amefunga goli na amefurahi sana Kevin Nashon alipotolewa, Nashon aliharibu mipango yote ya Yanga leo.

Nimewahi kuwashauri sana Simba kuhusu huyu dogo, huwezi kumsajili Sawadogo au Babacar Sarr halafu una fundi hapa nchini kama huyu tena ana umri mdogo anaachwa halafu wanasajiliwa wachezaji wa hovyo kabisa.

Kevin Nashon, soma ujumbe huu tunaokufuatilia na kukupenda ni wengi sana, unajua boli, leo umethibitisha kuwa wewe ni zaidi ya Kiiungo Punda, unakaba kuliko hata Yahya Zayd, makocha wetu hapa nchini hawana uwezo wa kubaini kipaji chako lakini wewe ni hatari sana.

Unanikumbusha enzi za Method Mogella Fundi au Iddi Seleman Nyigu (Wote marehem), ukitaka kucheza soka la kistaarabu kama akina Mao Mkami au Nico Bambaga unaweza ukitaka kukichafua kama akina Kibode au Nyigu unaweza.

Natafuta mawasiliano yako nikupe vocha kaka, umenikuna sana kwenye gemu ya leo, ulipotolewa tu sikuhangaika kuangalia tena maana nilishajua mipango imeanza.
 
Huyu dogo hata mimi nilimpigia chapuo sana kusajiliwa Yanga wakati anacheza ile Geita Gold ya akina George Mpore. Ila mwisho wa siku aliibukia Mtibwa.

Dogo anakaba sana na ana kipaji kikubwa. Na kwa leo alifanikiwa kumdhibiti Aziz Kii, ingawa mwisho wa siku Kocha Mecky Maxime hakuwa na namna maana tayari alishaonesh kadi ya njano kutokana na kucheza rafu nyingi kwa wachezaji wa Yanga.

Huenda angeachwa mpaka mwisho, angeweza kupewa kadi ya pili ya njano na hivyo kutolewa kwa kadi nyekundu.
 
Huyu dogo hata mimi nilimpigia chapuo sana kusajiliwa Yanga wakati anacheza ile Geita Gold ya akina George Mpore. Ila mwisho wa siku aliibukia Mtibwa.

Dogo anakaba sana na ana kipaji kikubwa. Na kwa leo alifanikiwa kumdhibiti Aziz Kii, ingawa mwisho wa siku Kocha Mecky Maxime hakuwa na namna maana tayari alishaonesh kadi ya njano kutokana na kucheza rafu nyingi kwa wachezaji wa Yanga.

Huenda angeachwa mpaka mwisho, angeweza kupewa kadi ya pili ya njano na hivyo kutolewa kwa kadi nyekundu.
Alimdhibiti kwa rafu saba ndani dak 45 tu....
 
Hapa nchini kama tukiacha majungu na unafiki kiungo Kevin Nashon hafanani na kiungo yoyote yule mkabaji, kwa wale walioangala semi final leo baina ya Yanga na Ihefu watakubaliana na mimi kuwa dogo huyu ni fundi hasa lakini haheshimiki, hana bahati.

Mzamiru Yasin ambaye ni kiungo punda hakabi kama dogo huyu, huyu dogo na Yussuf Kagoma ni wakabaji hasa sio masihara, cjui kwanini Mecky Mexime alimtoa kipindi cha kwanza, alihakikisha Aziz Ki hazunguki katika maeneo yake, sio ajabu Aziz Ki amefunga goli na amefurahi sana Kevin Nashon alipotolewa, Nashon aliharibu mipango yote ya Yanga leo.

Nimewahi kuwashauri sana Simba kuhusu huyu dogo, huwezi kumsajili Sawadogo au Babacar Sarr halafu una fundi hapa nchini kama huyu tena ana umri mdogo anaachwa halafu wanasajiliwa wachezaji wa hovyo kabisa.

Kevin Nashon, soma ujumbe huu tunaokufuatilia na kukupenda ni wengi sana, unajua boli, leo umethibitisha kuwa wewe ni zaidi ya Kiiungo Punda, unakaba kuliko hata Yahya Zayd, makocha wetu hapa nchini hawana uwezo wa kubaini kipaji chako lakini wewe ni hatari sana.

Unanikumbusha enzi za Method Mogella Fundi au Iddi Seleman Nyigu (Wote marehem), ukitaka kucheza soka la kistaarabu kama akina Mao Mkami au Nico Bambaga unaweza ukitaka kukichafua kama akina Kibode au Nyigu unaweza.

Natafuta mawasiliano yako nikupe vocha kaka, umenikuna sana kwenye gemu ya leo, ulipotolewa tu sikuhangaika kuangalia tena maana nilishajua mipango imeanza.
Huyu alistaili kadi nyekundu amshukuru refa. Kiungo gani mkabaji kila ukikaba lazima ucheze faulo. Huyu angeachwa uwanjani kadri alivyokuwa anachoka asingetoboa.
 
Huyu dogo hata mimi nilimpigia chapuo sana kusajiliwa Yanga wakati anacheza ile Geita Gold ya akina George Mpore. Ila mwisho wa siku aliibukia Mtibwa.

Dogo anakaba sana na ana kipaji kikubwa. Na kwa leo alifanikiwa kumdhibiti Aziz Kii, ingawa mwisho wa siku Kocha Mecky Maxime hakuwa na namna maana tayari alishaonesh kadi ya njano kutokana na kucheza rafu nyingi kwa wachezaji wa Yanga.

Huenda angeachwa mpaka mwisho, angeweza kupewa kadi ya pili ya njano na hivyo kutolewa kwa kadi nyekundu.
Shukrani
 
Ukimuangalia game moja moja utamsifia sana, ila fatilia na mechi nyingine ndo utajua kwanini hachezi team kubwa. Kevin ameanza kucheza bado mdogo sana ila kila mwaka anazunguka team ndogo kwa sababu kwa nafasi anayocheza anahitaji consistency, hicho kitu yeye hana.
Upo sahihi sana , na ndiyo tatizo la hizi timu ndogo wakicheza na yanga au simba wanakamia wakicheza wenyewe kwa wenyewe utumbo mtupu .
 
Hapa nchini kama tukiacha majungu na unafiki kiungo Kevin Nashon hafanani na kiungo yoyote yule mkabaji, kwa wale walioangala semi final leo baina ya Yanga na Ihefu watakubaliana na mimi kuwa dogo huyu ni fundi hasa lakini haheshimiki, hana bahati.

Mzamiru Yasin ambaye ni kiungo punda hakabi kama dogo huyu, huyu dogo na Yussuf Kagoma ni wakabaji hasa sio masihara, cjui kwanini Mecky Mexime alimtoa kipindi cha kwanza, alihakikisha Aziz Ki hazunguki katika maeneo yake, sio ajabu Aziz Ki amefunga goli na amefurahi sana Kevin Nashon alipotolewa, Nashon aliharibu mipango yote ya Yanga leo.

Nimewahi kuwashauri sana Simba kuhusu huyu dogo, huwezi kumsajili Sawadogo au Babacar Sarr halafu una fundi hapa nchini kama huyu tena ana umri mdogo anaachwa halafu wanasajiliwa wachezaji wa hovyo kabisa.

Kevin Nashon, soma ujumbe huu tunaokufuatilia na kukupenda ni wengi sana, unajua boli, leo umethibitisha kuwa wewe ni zaidi ya Kiiungo Punda, unakaba kuliko hata Yahya Zayd, makocha wetu hapa nchini hawana uwezo wa kubaini kipaji chako lakini wewe ni hatari sana.

Unanikumbusha enzi za Method Mogella Fundi au Iddi Seleman Nyigu (Wote marehem), ukitaka kucheza soka la kistaarabu kama akina Mao Mkami au Nico Bambaga unaweza ukitaka kukichafua kama akina Kibode au Nyigu unaweza.

Natafuta mawasiliano yako nikupe vocha kaka, umenikuna sana kwenye gemu ya leo, ulipotolewa tu sikuhangaika kuangalia tena maana nilishajua mipango imeanza.
huyo sio fundi alikuwa ana heza rafu tupu
 
Hapa nchini kama tukiacha majungu na unafiki kiungo Kevin Nashon hafanani na kiungo yoyote yule mkabaji, kwa wale walioangala semi final leo baina ya Yanga na Ihefu watakubaliana na mimi kuwa dogo huyu ni fundi hasa lakini haheshimiki, hana bahati.

Mzamiru Yasin ambaye ni kiungo punda hakabi kama dogo huyu, huyu dogo na Yussuf Kagoma ni wakabaji hasa sio masihara, cjui kwanini Mecky Mexime alimtoa kipindi cha kwanza, alihakikisha Aziz Ki hazunguki katika maeneo yake, sio ajabu Aziz Ki amefunga goli na amefurahi sana Kevin Nashon alipotolewa, Nashon aliharibu mipango yote ya Yanga leo.

Nimewahi kuwashauri sana Simba kuhusu huyu dogo, huwezi kumsajili Sawadogo au Babacar Sarr halafu una fundi hapa nchini kama huyu tena ana umri mdogo anaachwa halafu wanasajiliwa wachezaji wa hovyo kabisa.

Kevin Nashon, soma ujumbe huu tunaokufuatilia na kukupenda ni wengi sana, unajua boli, leo umethibitisha kuwa wewe ni zaidi ya Kiiungo Punda, unakaba kuliko hata Yahya Zayd, makocha wetu hapa nchini hawana uwezo wa kubaini kipaji chako lakini wewe ni hatari sana.

Unanikumbusha enzi za Method Mogella Fundi au Iddi Seleman Nyigu (Wote marehem), ukitaka kucheza soka la kistaarabu kama akina Mao Mkami au Nico Bambaga unaweza ukitaka kukichafua kama akina Kibode au Nyigu unaweza.

Natafuta mawasiliano yako nikupe vocha kaka, umenikuna sana kwenye gemu ya leo, ulipotolewa tu sikuhangaika kuangalia tena maana nilishajua mipango imeanza.
Shida yake anapiga sana kiatu. Mechi ya jana kama Refa angekuwa fair ilitakiwa apigwe umeme ndio maana Kocha alimtoa. Ila kiukweli kwa ukabaji dogo anajua. Anatakiwa apate Kocha mzuri kama Gamondi (refer Jonas Mkude) wa kumtengeneza ili asipige viatu holela.
 
Hapa nchini kama tukiacha majungu na unafiki kiungo Kevin Nashon hafanani na kiungo yoyote yule mkabaji, kwa wale walioangala semi final leo baina ya Yanga na Ihefu watakubaliana na mimi kuwa dogo huyu ni fundi hasa lakini haheshimiki, hana bahati.

Mzamiru Yasin ambaye ni kiungo punda hakabi kama dogo huyu, huyu dogo na Yussuf Kagoma ni wakabaji hasa sio masihara, cjui kwanini Mecky Mexime alimtoa kipindi cha kwanza, alihakikisha Aziz Ki hazunguki katika maeneo yake, sio ajabu Aziz Ki amefunga goli na amefurahi sana Kevin Nashon alipotolewa, Nashon aliharibu mipango yote ya Yanga leo.

Nimewahi kuwashauri sana Simba kuhusu huyu dogo, huwezi kumsajili Sawadogo au Babacar Sarr halafu una fundi hapa nchini kama huyu tena ana umri mdogo anaachwa halafu wanasajiliwa wachezaji wa hovyo kabisa.

Kevin Nashon, soma ujumbe huu tunaokufuatilia na kukupenda ni wengi sana, unajua boli, leo umethibitisha kuwa wewe ni zaidi ya Kiiungo Punda, unakaba kuliko hata Yahya Zayd, makocha wetu hapa nchini hawana uwezo wa kubaini kipaji chako lakini wewe ni hatari sana.

Unanikumbusha enzi za Method Mogella Fundi au Iddi Seleman Nyigu (Wote marehem), ukitaka kucheza soka la kistaarabu kama akina Mao Mkami au Nico Bambaga unaweza ukitaka kukichafua kama akina Kibode au Nyigu unaweza.

Natafuta mawasiliano yako nikupe vocha kaka, umenikuna sana kwenye gemu ya leo, ulipotolewa tu sikuhangaika kuangalia tena maana nilishajua mipango imeanza.
Jiasili Mzamiru hakuwa kiungo mkabaji alikuwa namba nane huko mtibwa na hata mechi nyingi Simba hachezi kama kiungo mkabaji.

Kevin Nashon ni DM asilia ni mchezaji mzuri sana alielekea kupotea ila ameanza kurudisha kiwango chake bado ni kijana mdogo hata peak hajafikia.
 
Huyu alistaili kadi nyekundu amshukuru refa. Kiungo gani mkabaji kila ukikaba lazima ucheze faulo. Huyu angeachwa uwanjani kadri alivyokuwa anachoka asingetoboa.
Tatizo lake ni kucheza faulo nyingi zisizo na sababu yuko aggressive sana.
 
Hapa nchini kama tukiacha majungu na unafiki kiungo Kevin Nashon hafanani na kiungo yoyote yule mkabaji, kwa wale walioangala semi final leo baina ya Yanga na Ihefu watakubaliana na mimi kuwa dogo huyu ni fundi hasa lakini haheshimiki, hana bahati.

Mzamiru Yasin ambaye ni kiungo punda hakabi kama dogo huyu, huyu dogo na Yussuf Kagoma ni wakabaji hasa sio masihara, cjui kwanini Mecky Mexime alimtoa kipindi cha kwanza, alihakikisha Aziz Ki hazunguki katika maeneo yake, sio ajabu Aziz Ki amefunga goli na amefurahi sana Kevin Nashon alipotolewa, Nashon aliharibu mipango yote ya Yanga leo.

Nimewahi kuwashauri sana Simba kuhusu huyu dogo, huwezi kumsajili Sawadogo au Babacar Sarr halafu una fundi hapa nchini kama huyu tena ana umri mdogo anaachwa halafu wanasajiliwa wachezaji wa hovyo kabisa.

Kevin Nashon, soma ujumbe huu tunaokufuatilia na kukupenda ni wengi sana, unajua boli, leo umethibitisha kuwa wewe ni zaidi ya Kiiungo Punda, unakaba kuliko hata Yahya Zayd, makocha wetu hapa nchini hawana uwezo wa kubaini kipaji chako lakini wewe ni hatari sana.

Unanikumbusha enzi za Method Mogella Fundi au Iddi Seleman Nyigu (Wote marehem), ukitaka kucheza soka la kistaarabu kama akina Mao Mkami au Nico Bambaga unaweza ukitaka kukichafua kama akina Kibode au Nyigu unaweza.

Natafuta mawasiliano yako nikupe vocha kaka, umenikuna sana kwenye gemu ya leo, ulipotolewa tu sikuhangaika kuangalia tena maana nilishajua mipango imeanza.
Wanaojua mpira wamekusaidia

mwisho wa siku Kocha Mecky Maxime hakuwa na namna maana tayari alishaonesh kadi ya njano kutokana na kucheza rafu nyingi kwa wachezaji wa Yanga.

Huenda angeachwa mpaka mwisho, angeweza kupewa kadi ya pili ya njano na hivyo kutolewa kwa kadi nyekundu.
 
Niliwahi kusema siku moja huyu dogo ana kitu mguuni mwake. Kinachomfanya asisogee mbele zaidi anakosa training au wakufunzi muhimu kufanikisha safari yake. Anatimiza kazi yake vizuri ila ana makosa mengi ya kijinga yanayomgharimu yeye na timu yake.

Kevin Nashon ni kipaji haswa anakosa tu proper team ya kuinua game yake. Ile U17 ya kina Job, Sopu, Kibabage, Kabwili, Mkomola, Kibwana na huyu Nashon(wengine siwakumbuki) sasa ndio ina click vyema.
 
Back
Top Bottom