Je, mlitumia hoja gani kumpeleka mtu mwenye elimu ndogo Bungeni?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
18,722
47,513
Unapozungumzia Mbunge anabidi kuwa na sifa tofauti na hizi zilizopo za kujua kusoma na kuandika tu. Ubunge ni Kazi ya muhimu sana haiwezekani mtu mwenye Elimu ya kuunga unga apewe ubunge?

Vigezo viwe:
~ Mtu msomi aliye na Degree Safi kutoka katika chuo kizuri na sio lasaba au form four au Diploma sijui six na mambo kama hayo

Tangia tupate uhuru Tanzania hatujapata Bunge mathubuti la kukaa na kusikiliza hoja zilizo Shiba. Eti mtu la saba au diploma form four ya mchongo anataka ubunge? Hii haifai kabisa.
 
Kwahiyo Akiwa na masters ndo anakuwa na akili kuliko wengine?

Ukisikia immature post ndo hizi ..

Unamjua Abraham Lincoln? The best USA president ever?alikuwa Hana degree... kusoma na kuelimika vitu viwili tofauti...wewe hujaelimika bado
 
Kwahiyo Akiwa na masters ndo anakuwa na akili kuliko wengine?

Ukisikia immature post ndo hizi ..

Unamjua Abraham Lincoln? The best USA president ever?alikuwa Hana degree... kusoma na kuelimika vitu viwili tofauti...wewe hujaelimika bado
Nioneshe Mtu ambaye yupo smart upstairs na yupo na Elimu ya lasaba au degree na yupo smart Bungeni hapa Tz
 
Unapozungumzia Mbunge anabidi kuwa na sifa tofauti na hizi zilizopo za kujua kusoma na kuandika tu. Ubunge ni Kazi ya muhimu sana haiwezekani mtu mwenye Elimu ya kuunga unga apewe ubunge?

Vigezo viwe:
~ Mtu msomi aliye na Degree Safi kutoka katika chuo kizuri na sio lasaba au form four au Diploma sijui six na mambo kama hayo

Tangia tupate uhuru Tanzania hatujapata Bunge mathubuti la kukaa na kusikiliza hoja zilizo Shiba. Eti mtu la saba au diploma form four ya mchongo anataka ubunge? Hii haifai kabisa.
KUSOMA NA KUANDIKA HATA UKIJUA UKIWA DARASA LA 2 NA KUISHABIKIA CCM utapata Ubunge
 
Kwahiyo Akiwa na masters ndo anakuwa na akili kuliko wengine?

Ukisikia immature post ndo hizi ..

Unamjua Abraham Lincoln? The best USA president ever?alikuwa Hana degree... kusoma na kuelimika vitu viwili tofauti...wewe hujaelimika bado
Mfano wa Lincoln hauna mashiko hapa.. hiyo ilikuwa karne ya 19. Hapa tunaongelea karne ya 21.. iweje mbunge ajuwe tu kusoma na kuandika? That's ridiculous..
 
Unapozungumzia Mbunge anabidi kuwa na sifa tofauti na hizi zilizopo za kujua kusoma na kuandika tu. Ubunge ni Kazi ya muhimu sana haiwezekani mtu mwenye Elimu ya kuunga unga apewe ubunge?

Vigezo viwe:
~ Mtu msomi aliye na Degree Safi kutoka katika chuo kizuri na sio lasaba au form four au Diploma sijui six na mambo kama hayo

Tangia tupate uhuru Tanzania hatujapata Bunge mathubuti la kukaa na kusikiliza hoja zilizo Shiba. Eti mtu la saba au diploma form four ya mchongo anataka ubunge? Hii haifai kabisa.
Kwahiyokwako diploma ni elimu ndogo. Wewe ni mpuuzi tuu
 
Back
Top Bottom