Ishu ya Prince Dube na Fei Toto ni tofauti, huyu mwanasheria wa Yanga mbona sio muelewa?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,878
18,896
IMG_20240306_092742.jpg


Nimeona post ya mwanasheria wa Yanga nae anashadadia eti Azam kuwa walichokifanya kwa Fei ndio wanachofanyiwa hivyo wajifunze


Sasa kwa Prince Dube Azam wamesema hela ya kuvunja mkataba wake ni milioni 765, Dube alipe hiyo hela aondoke, hawajamzuia kuondoka kwenda popote

Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma

Mbona hii ishu nyepesi sana?? Mlipieni huyo Dube hela, milion 800 mumchukue...
 
Yanga naona wanashadadia eti Azam kuwa walichokifanya kwa Fei ndio wanachofanyiwa hivyo wajifunze


Sasa kwa Prince Dube Azam wamesema hela ya kuvunja mkataba wake ni milioni 765, Dube alipe hiyo hela aondoke, hawajamzuia kuondoka kwenda popote

Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma

Mbona hii ishu nyepesi sana?? Mlipieni huyo Dube hela, milion 800 mumchukue...
1. Hio 800millions kwa PRINCE DUBE amepanga nani ? DUBE au AZAM ?
Maana hata YANGA walitaka B2.1 kwa FEI kama ambavyo AZAM wanataka M800 kwa DUBE.

2. Mkataba wa DUBE upo wapi, tuuone kwanza? na Mkataba wa FEI tuuone pia ili tulinganishe ?

3. Huenda klabu zote ziko sahihi , wenge lipo kwa wachezaji au wachezaji wapo sahihi wenge lipo kwa klabu . Hata pia huenda ikawa ni nadharia mbili tofauti.


ZINGATIA: MIKATABA TUIONE
 
View attachment 2925784

Nimeona post ya mwanasheria wa Yanga nae anashadadia eti Azam kuwa walichokifanya kwa Fei ndio wanachofanyiwa hivyo wajifunze


Sasa kwa Prince Dube Azam wamesema hela ya kuvunja mkataba wake ni milioni 765, Dube alipe hiyo hela aondoke, hawajamzuia kuondoka kwenda popote

Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma

Mbona hii ishu nyepesi sana?? Mlipieni huyo Dube hela, milion 800 mumchukue...
Wewe na wewe ni walewale, Yanga walisema anayemhitaji Feisal aende wakazungumze wakubaliane. Ajabu hakuna aliyejitokeza. Ulitaka Yanga wafanye nini?
 
View attachment 2925784

Nimeona post ya mwanasheria wa Yanga nae anashadadia eti Azam kuwa walichokifanya kwa Fei ndio wanachofanyiwa hivyo wajifunze


Sasa kwa Prince Dube Azam wamesema hela ya kuvunja mkataba wake ni milioni 765, Dube alipe hiyo hela aondoke, hawajamzuia kuondoka kwenda popote

Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma

Mbona hii ishu nyepesi sana?? Mlipieni huyo Dube hela, milion 800 mumchukue...
Usiwe na papara. Fikiria Kwanza KABLA ya kubwabwaja
 
Wenye akili ni wawili, ishu ya Feisal iliendeshwa na mawakili uchwara wa tff na Feisal alifara taratibu zote za kuvunja mkataba Ila Feisal alikosea akachukua wakili wa hapa ingekuwa mchezaji wa kigeni lile swala lisingeingiliwa na rais Bali lingemalizwa na vyombo vya michezo vya kimataifa.
Azam wamemwambia Dube aweke pesa ya kuvunja mkataba.
 
View attachment 2925784

Nimeona post ya mwanasheria wa Yanga nae anashadadia eti Azam kuwa walichokifanya kwa Fei ndio wanachofanyiwa hivyo wajifunze


Sasa kwa Prince Dube Azam wamesema hela ya kuvunja mkataba wake ni milioni 765, Dube alipe hiyo hela aondoke, hawajamzuia kuondoka kwenda popote

Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma

Mbona hii ishu nyepesi sana?? Mlipieni huyo Dube hela, milion 800 mumchukue...
Ikiwa hana furaha si arudi kwao akapate furaha, wanaharakati tunaangaika na maisha ya watanzania kupambania vitita vipya vya NHIF
 
View attachment 2925784

Nimeona post ya mwanasheria wa Yanga nae anashadadia eti Azam kuwa walichokifanya kwa Fei ndio wanachofanyiwa hivyo wajifunze


Sasa kwa Prince Dube Azam wamesema hela ya kuvunja mkataba wake ni milioni 765, Dube alipe hiyo hela aondoke, hawajamzuia kuondoka kwenda popote

Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma

Mbona hii ishu nyepesi sana?? Mlipieni huyo Dube hela, milion 800 mumchukue...
mshaanza miwasho,ngonjera,kutia huruma...injinia kamatia hapo mpaka makolouzdad wanye mavi ya njano na kijani,HIYO NDO HASARA YA KUSHADADIA YASIYOWAHUSU,MKIFUNDISHWA VITU MUELEWE MSILETEGE UJUAJI mwishowe mnaanza kutia tia huruma humu
 
Kwani mchezaji akiamua kuvunja mkataba ni kati yake na timu yake au ni ni kati ya timu nyingine ambayo hata haikuwepo wakati wanaingia huo mkataba
Kama kuvunja mkataba mbona alishindwa? Na bado akaambiwa aende FIFA Akashindwa. Sawa ni ishu ya mchezaji na timu pale wanapokubaliana.
 
View attachment 2925784

Nimeona post ya mwanasheria wa Yanga nae anashadadia eti Azam kuwa walichokifanya kwa Fei ndio wanachofanyiwa hivyo wajifunze


Sasa kwa Prince Dube Azam wamesema hela ya kuvunja mkataba wake ni milioni 765, Dube alipe hiyo hela aondoke, hawajamzuia kuondoka kwenda popote

Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma

Mbona hii ishu nyepesi sana?? Mlipieni huyo Dube hela, milion 800 mumchukue...
"Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma"

Umeona wapi mkataba unavunjwa na upande mmoja.......? Hamna mchezaji anakurupuka tu anaweka hela kwenye acc ya club inayo mmiliki kesho anasema anaondoka hamna kitu kama hiko.

Halafu approach ya Dube na ya Fei tofauti, Fei approach yake ilikuwa ya kihuni na mpira wetu umebariki huu uhuni.

Yanga hawa kugoma kumuachia Fei,bali walikuwa wanataka taratibu zifuatwe kwenye kumsainisha Fei. Yanga tulilalamika huu uhuni mkatuona wajinga,leo Azam kesho mjiandae 5imba ni swala la muda.
 
Wenye akili ni wawili, ishu ya Feisal iliendeshwa na mawakili uchwara wa tff na Feisal alifara taratibu zote za kuvunja mkataba Ila Feisal alikosea akachukua wakili wa hapa ingekuwa mchezaji wa kigeni lile swala lisingeingiliwa na rais Bali lingemalizwa na vyombo vya michezo vya kimataifa.
Azam wamemwambia Dube aweke pesa ya kuvunja mkataba.
Hakuna mkataba unavunjwa kama njiti ya kiberiti.
 
Kwani mchezaji akiamua kuvunja mkataba ni kati yake na timu yake au ni ni kati ya timu nyingine ambayo hata haikuwepo wakati wanaingia huo mkataba
Hivi washabiki wa Simba huwa mnawaza kutumia nini? Wewe kabisa unaona tofauti kati ya ishu ya Fei na hii ya Dube?

Acheni kutanguliza mahaba mnajivua nguo
 
Kiswahili chetu, lugha ya taifa ninaona ni changamoto kwenye uandishi hadi kwa wataalamu wetu! 😄
 
Na inakuwaje mchezaji aombe kuvunja mkataba katikati ya msimu, tena wiki moja kabla ya Azam kucheza na Yanga?.

Kwa nini asisubiri ligi imalizike ndio aombe kusepa?
Hapa kuna mchezo unafanyika ili Dube asicheze game na Yanga na msimu ujao aende utopoloni.
 
1. Hio 800millions kwa PRINCE DUBE amepanga nani ? DUBE au AZAM ?
Maana hata YANGA walitaka B2.1 kwa FEI kama ambavyo AZAM wanataka M800 kwa DUBE.
Hiyo 800M walipanga pande zote mbili Azam FC na Dube kupitia mkataba, na Azam hawajaongeza lolote nje ya mkataba. Ile 2.1B ya Yanga haikuwa katika mkataba wa Yanga na Feisal, ilitamkwa tu nje ya maandishi ili kumzuia. Kwa Yanga na Feisal mkataba ulikuwa ni sh. 112M, yaani hela ya usajili 100M na mishahara ya miezi mitatu 12M. Hizo zote 112M kijana alikuwa ameshadeposit kwenye akaunti ya Yanga, lakini Yanga wakakataa na kuzirudisha kwenye akaunti ya Feisal
 
"Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma"

Umeona wapi mkataba unavunjwa na upande mmoja.......? Hamna mchezaji anakurupuka tu anaweka hela kwenye acc ya club inayo mmiliki kesho anasema anaondoka hamna kitu kama hiko.

Halafu approach ya Dube na ya Fei tofauti, Fei approach yake ilikuwa ya kihuni na mpira wetu umebariki huu uhuni.

Yanga hawa kugoma kumuachia Fei,bali walikuwa wanataka taratibu zifuatwe kwenye kumsainisha Fei. Yanga tulilalamika huu uhuni mkatuona wajinga,leo Azam kesho mjiandae 5imba ni swala la muda.
Kuvunja mkataba ingekuwa rahisi wachezaji wa Ulaya wangekuwa wana vunja mikataba kila kukicha, mfano mbappe yeye kwanini haja weka pesa kwenye Account ya Psg ili kuvunja mkataba

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom