Ikitokea mwenzawako ametangulia (hatuombei) utaoa/kuolewa tena?

Naendesha gari speed kubwa sana hatakama hakuna ninako wahi, wameniambia masela niache kusoma inch zilizobaki mshale ulale nimeshindwa kuacha pia kuna mama mmoja na heshima zake usalama barabarani aliniambia ukiendelea hivi sijui kama barabarani utakaa nikacheka tuu na siku mjibu chochote , wakuu sijui huko tuendako itakuaje
Anza maombi na ubadilike

Ukute roho ya mauti inakuita
 
Back
Top Bottom