Idara ya simba nayo imekufa, team imeishiwa.

Its Pancho

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
14,307
22,808
Wakuu

Hii team ya walevi na wanywa wanzuki yaani inatia huruma

Mitandaoni mashabiki hawana Furaha kabisa yaani kila post admin atakayotoa basi wanampopoa tu jamani ..!


Kilichobaki ni admin kuigeuza page imekuwa ya kuwish watu happy birthday tu ...

Yaani simba ya kumuwish Happy birthday yusuph mlipili?

Wakati walikuwa wanampiga benchi?

Kwa kweli tukiita team ya walevi na wahuni tutakosea?

Nawasihi azam muwaonee huruma hawa ndugu angalau muwaachie hilo kombe la muungano angalau wananyanyue kwapa nao maana hali yao inatia simanzi!
Screenshot_2024-04-22-21-44-06~2.jpg

Screenshot_2024-04-22-21-43-32~3.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2024-04-22-21-44-06~2.jpg
    Screenshot_2024-04-22-21-44-06~2.jpg
    112.4 KB · Views: 1
Simba iko mikononi mwa viongozi ambao ni kama walipanga kuididimiza angalia wachezaji tegemeo wa yanga simba ndio ilikuwa ya kwanza kutaka kuwasajili kilichotokea ni kama wao ndio kilikuwa kizingiti hadi kuhakikisha hawaji simba badala yake wakasajili wachezaji vituko.Je ni kweli Mo kashindwa kudhibiti huu uhuni?nasita kukuamini..
 
Simba iko mikononi mwa viongozi ambao ni kama walipanga kuididimiza angalia wachezaji tegemeo wa yanga simba ndio ilikuwa ya kwanza kutaka kuwasajili kilichotokea ni kama wao ndio kilikuwa kizingiti hadi kuhakikisha hawaji simba badala yake wakasajili wachezaji vituko.Je ni kweli Mo kashindwa kudhibiti huu uhuni?nasita kukuamini..
Kwanini mo mwenyewe asifanikishe kuleta wachezaji na kuwasaini mwenyewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom