Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 339
- 1,244
Kila mtu muongo nchi hii🤣🤣
Mwasibu😀😃😄😁😆Inasemwa ni channel ya vichekesho
Is it possible. Ni edit au?
Sitaki ukorofii🤸Wataacha za Boss Lukasi
Subiri active alog in atapita naoWatakua wanakosea, Uzi hauna ubaya wowote
Mwasibu atwambie kitaalam Hii Tunaitaje😂Mwasibu😀😃😄😁😆
We ni ME au KE?Hapa ndio utaelewa kwa nini siri nyingi zinamfikia Mange Kimambi Yani mtu kama huyu tusingepaswa tumuone tena sababu ni Jasusi na watu walishaanza kumtambua kitambo eti ooh na yy anatudanganya kwa Ayo Tv hakuamin kama mama na Ikulu wangempa mwaliko😂😂😂 Pyeee waanike masiri yao tu tuwajue na watu wao na kuna wengine tunakunywaga nao bia huko wanavimba wametoka geti Jeusi Pyeeee! Sasa Unyeti wa Idara Uko wapi Pyeeeee in Kimambi Voice
Nilitaka nami niulize ila nkasema hayanihusu maana,,ngoja niendelee na uzi wa deepondWe ni ME au KE?
Pyee ndiyo Nini? Be a manHapa ndio utaelewa kwa nini siri nyingi zinamfikia Mange Kimambi Yani mtu kama huyu tusingepaswa tumuone tena sababu ni Jasusi na watu walishaanza kumtambua kitambo eti ooh na yy anatudanganya kwa Ayo Tv hakuamin kama mama na Ikulu wangempa mwaliko😂😂😂 Pyeee waanike masiri yao tu tuwajue na watu wao na kuna wengine tunakunywaga nao bia huko wanavimba wametoka geti Jeusi Pyeeee! Sasa Unyeti wa Idara Uko wapi Pyeeeee in Kimambi Voice
Bora wangeniweka hata mimi kutoka huku Nyashishi nikauza madafuMwasibu😀😃😄😁😆
😂😂😂mkuu nikisema hivyo namkumbuka dada wa taifa hajaamka kukojoa kupambana na machawa wa mama km kina #EtwegePyee ndiyo Nini? Be a man
Bora wangeniweka hata mimi kutoka huku Nyashishi nikauze madafuMwasibu😀😃😄😁😆
Wafute umefanyajeMods watafuta muda si mrefuu
Hata hivyo Raia wanastuka mapema sana !Kila sehemu maigizo tu😃😃
Inanikumbusha ya KGB enzi hizoMuuza madafu katika Moja na mbili😊View attachment 2974816View attachment 2974817View attachment 2974818View attachment 2974819