Huu Mwenge usiwe unakimbizwa Dar es Salaam, unatuchosha na kutupotezea muda

uran

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
8,254
11,716
Mwenge wa Uhuru.jpg

Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.

In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!

Disappointment ya hali ya juu.

Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.

Bora ukapange foleni kwenye kivuko.

Its worse
 
Mwenge wa uhuru ni kielelezo cha uhuru wa Tanzania, ni taa yenye kumulika nchi na miradi yake.

Ni nyota inayotukumbusha kwamba uhuru ni jambo muhimu na la kipekee kwa binadamu aliye kamili.

Hivyo basi hata hapo kwenye foleni yakupasa uwe na fikra chanya ya kutafakuri uzuri na ubora wa Mwenge na siyo kwamba unapoteza muda.

Ni muhimu kila Mtanzania akaguswa na Mbio za Mwenge, ukiwemo wewe uliyeguswa ukiwa kwenye foleni.

Usijinunishe bali furahi na tafakari huu utamaduni wetu adhimu wa kuukimbiza Mwenge wa Uhuru.

Sema Mwenge oyeeeeee
 
Mwenge wa uhuru ni kielelezo cha uhuru wa Tanzania, ni taa yenye kumulika nchi na miradi yake.

Ni nyota inayotukumbusha kwamba uhuru ni jambo muhimu na la kipekee kwa binadamu aliye kamili.

Hivyo basi hata hapo kwenye foleni yakupasa uwe na fikra chanya ya kutafakuri uzuri na ubora wa Mwenge na siyo kwamba unapoteza muda.

Ni muhimu kila Mtanzania akaguswa na Mbio za Mwenge, ukiwemo wewe uliyeguswa ukiwa kwenye foleni.

Usijinunishe bali furahi na tafakari huu utamaduni wetu adhimu wa kuukimbiza Mwenge wa Uhuru.

Sema Mwenge oyeeeeee
Bado tumekwama barabarani
 
Back
Top Bottom