Hollywood wameishiwa content kwenye muvi za kivita na kijeshi?

KENGE 01

JF-Expert Member
Mar 12, 2021
1,597
3,860
Anaandika KENGE,

Kama wewe ni mfatiliaji mzuri wa movies hasa izi genre za Action,war based au millitary.Utakubaliana na kenge kwamba zinafanana sana content.Yani storyline inakua hivi...Unakuta U.S Army limeenda Afghanistan kupigana na Taliban.Kama sio Taliban basi ni nchi yoyote ya kiarabu Iraq,Iran au vikundi kama Al qaida na magaidi wa kiarabu.
Screenshot_20230715-175648_1.jpg

Nimekua mfatiliaji mzuri sana wa movie lakini hii content sasa ni wazi sasa inachosha japo wao hawajui ilo wanachojua ni kwenda na trend kwahiyo kampuni linalodirect muvi izi ni ngumu sana kukwepa hii storyline ya waarabu.

Hata Millitary movie zilizopewa rate kubwa nyingi kama sio zote zinacontent moja tu mfano 13 hours,Secret soldiers of baghzaz hii yahusu kikosi maalumu kilichoenda Afghanistan kulinda governer wao.
20230715_202722.jpg

Movie kama Lone Survivor nayo imechezea rate nyingi sana lakini content ni ileile Navy seal walienda kupigana na Taliban..12 Strong haichezi mbali.NATO walipelekwa Afghanistan kupambana na Taliban
Screenshot_20230715-114511.png

Kama haitoshi American sniper nayo inachezea kwenye storyline ileile sema wao ni Iraq ila ni vita na waarabu.
20230715_202711.jpg

Ni muvi chache sana zenye rate kubwa ambazo storyline haigusi waarabu.Muvi kama Patoon.Metal jacket,Fury,Dunkirt, na Saving private ryan ni movies nzuri sana za kivita zisizo usisha waarabu.
20230715_202731.jpg

Kama iyo haitoshi.,Movies mpya zilizotoka hivi karibuni storyline ni ileile mfano THE COVENANT ni movie nzuri sana ila storyline ni ileile.Nyingine KANDAHAR hii ni CIA Gerald wa U.S alieweka kifaa cha udukuzi kwenye mitambo ya mawasiliano ya wataliban yani Storyline ni ileile.kidogo blood & Gold ambayo nayo ni wajerumani

WARHOURSE nayo inachezea mulemulee ndege ililipuliwa jamaa akaanguka msituni kaanza kupigana na waarabu.

Zipo nyingi sana sana sana.Sasa ni kwamba Hollywood wamechekecha akili kabisa wakaona hii ndo storyline inayobamba au wameishiwa content??Licha ya kwamba movie hizi ni nzuri zinareflect ukweli kwa wanajeshi wao waliopigana vita hivyo na kukutana na mikiki iyo.

Inanikumbusha movies za kivita za China.Nao content ni ileile unakuta vita ni China wanapigana na Japan.Vilevile kwa wakorea kama ni series ya Vita kaa ukijua ni vita kati ya North korea na South korea.

BAADHI YA MAJIBU

Millitary movies ni ngumu yahitaji uwekezaji mkubwa na character wakutosha pia character wanatakiwa wawe fit na wajifunze millitary science ikiwemo lugha za vitani.Hii ni kwa mujibu wa director mmoja wa movie izo anasema character kuvaa uhusika kisawasawa kama script inavyotaka ni ngumu sanaa.


Aidha,Ripoti nyingine ilitolewa ikielezea kwanini millitary movies nyingi ni vita dhidi ya waarabu,walijaribu kuelezea tukio la 9/11 lililotokea mwaka 2007 na apo ndo balaa lilianzia licha ya kwamba Taliban ilikuwepo toka enzi na sababu nyingine nyingi.
Screenshot_20230715-175506_1.jpg

Swali ni JE
Makampuni ya kudirect movie kama SONY yamekosa kabisa storyline tofauti zaidi ya Taliban?Au wanaenda na Trend kwakua movie izo zinabamba sana kwenye Soko?


NAWASILISHA
WAKO MTIIFU,JINI GENIOUS
KENGE MMOJA.
.
 
Hamna namna bora kuangalia movies/series za kivita za zamani. Mimi nimeganda na Tom Clancy kwa muda huu japo ina ujinga kwenye episodes kadhaa nacheza na Fast forward (⏩)
 
Anaandika KENGE,

Kama wewe ni mfatiliaji mzuri wa movies hasa izi genre za Action,war based au millitary.Utakubaliana na kenge kwamba zinafanana sana content.Yani storyline inakua hivi...Unakuta U.S Army limeenda Afghanistan kupigana na Taliban.Kama sio Taliban basi ni nchi yoyote ya kiarabu Iraq,Iran au vikundi kama Al qaida na magaidi wa kiarabu.
View attachment 2689280
Nimekua mfatiliaji mzuri sana wa movie lakini hii content sasa ni wazi sasa inachosha japo wao hawajui ilo wanachojua ni kwenda na trend kwahiyo kampuni linalodirect muvi izi ni ngumu sana kukwepa hii storyline ya waarabu.

Hata Millitary movie zilizopewa rate kubwa nyingi kama sio zote zinacontent moja tu mfano 13 hours,Secret soldiers of baghzaz hii yahusu kikosi maalumu kilichoenda Afghanistan kulinda governer wao.
View attachment 2689291
Movie kama Lone Survivor nayo imechezea rate nyingi sana lakini content ni ileile Navy seal walienda kupigana na Taliban..12 Strong haichezi mbali.NATO walipelekwa Afghanistan kupambana na Taliban
View attachment 2689281
Kama haitoshi American sniper nayo inachezea kwenye storyline ileile sema wao ni Iraq ila ni vita na waarabu.
View attachment 2689292
Ni muvi chache sana zenye rate kubwa ambazo storyline haigusi waarabu.Muvi kama Patoon.Metal jacket,Fury,Dunkirt, na Saving private ryan ni movies nzuri sana za kivita zisizo usisha waarabu.
View attachment 2689293
Kama iyo haitoshi.,Movies mpya zilizotoka hivi karibuni storyline ni ileile mfano THE COVENANT ni movie nzuri sana ila storyline ni ileile.Nyingine KANDAHAR hii ni CIA Gerald wa U.S alieweka kifaa cha udukuzi kwenye mitambo ya mawasiliano ya wataliban yani Storyline ni ileile.kidogo blood & Gold ambayo nayo ni wajerumani

WARHOURSE nayo inachezea mulemulee ndege ililipuliwa jamaa akaanguka msituni kaanza kupigana na waarabu.

Zipo nyingi sana sana sana.Sasa ni kwamba Hollywood wamechekecha akili kabisa wakaona hii ndo storyline inayobamba au wameishiwa content??Licha ya kwamba movie hizi ni nzuri zinareflect ukweli kwa wanajeshi wao waliopigana vita hivyo na kukutana na mikiki iyo.

Inanikumbusha movies za kivita za China.Nao content ni ileile unakuta vita ni China wanapigana na Japan.Vilevile kwa wakorea kama ni series ya Vita kaa ukijua ni vita kati ya North korea na South korea.

BAADHI YA MAJIBU

Millitary movies ni ngumu yahitaji uwekezaji mkubwa na character wakutosha pia character wanatakiwa wawe fit na wajifunze millitary science ikiwemo lugha za vitani.Hii ni kwa mujibu wa director mmoja wa movie izo anasema character kuvaa uhusika kisawasawa kama script inavyotaka ni ngumu sanaa.


Aidha,Ripoti nyingine ilitolewa ikielezea kwanini millitary movies nyingi ni vita dhidi ya waarabu,walijaribu kuelezea tukio la 9/11 lililotokea mwaka 2007 na apo ndo balaa lilianzia licha ya kwamba Taliban ilikuwepo toka enzi na sababu nyingine nyingi.
View attachment 2689285
Swali ni JE
Makampuni ya kudirect movie kama SONY yamekosa kabisa storyline tofauti zaidi ya Taliban?Au wanaenda na Trend kwakua movie izo zinabamba sana kwenye Soko?


NAWASILISHA
WAKO MTIIFU,JINI GENIOUS
KENGE MMOJA.
.
Wewe ndiyo hujawaelewa vyema, wako sawa sana, wanafanya movie nyingi za namna hiyo kuaminisha na kuchukia ugaidi, uislamu wenye vinasaba vya sheria kali, wanafanya movie ambazo Dunia nzima inapaswa kuona Kwa wingi na kukaa mbali na magaidi, wao wanatemgeneza kitu kinachoonyesha wanakwenda kupambana na waarabu/waislamu magaidi wa mapangoni kuifanya nchi husika waliopo hao magaidi na Dunia nzima kua salama, wanatumia akili kubwa na kuwekeza ktk hilo na sababu kuu ni hiyo, rejea movie za nyuma walizicheza kuaminisha Dunia kua baada ya vita ya Vietnam wao walishinda japo kwa mbinde.

Ni akili tu mtu wangu
 
Wewe ndiyo hujawaelewa vyema, wako sawa sana, wanafanya movie nyingi za namna hiyo kuaminisha na kuchukia ugaidi, uislamu wenye vinasaba vya sheria kali, wanafanya movie ambazo Dunia nzima inapaswa kuona Kwa wingi na kukaa mbali na magaidi, wao wanatemgeneza kitu kinachoonyesha wanakwenda kupambana na waarabu/waislamu magaidi wa mapangoni kuifanya nchi husika waliopo hao magaidi na Dunia nzima kua salama, wanatumia akili kubwa na kuwekeza ktk hilo na sababu kuu ni hiyo, rejea movie za nyuma walizicheza kuaminisha Dunia kua baada ya vita ya Vietnam wao walishinda japo kwa mbinde.

Ni akili tu mtu wangu
Kama lengo ni ilo basi mchongo umetiki kwa 80%
 
Mimi nimehamia Kwa wakorea.

At least wanakupa content zenye kusisimua.

Wazungu wameishiwa

Saivi huwezi kosa movie ya mzungu Haina ishu za RAINBOW. Piga Ua lazima waziweke.

Niko zangu SEOUL/HANANG
Hii ni kweli
 
Mtoa uzi Kuna point unaikosa hapa. Muvi za vita karibia zote zinabase kwenye true stories/events na chache sana za kutunga hivyo contents lazima itoke kwenye vita zote na mission mbalimbali zilizowahi kutokea hapa duniani kuanzia vita ya kwanza ya Dunia Hadi vita ya Ukraine iliyopo sasa.
Waandishi wa hizi movies wanacho tofautisha ni kwenye lengo tu la hiyo vita, huyu content ni kulinda ubalozi, yule kulinda miradi ya nchi, huyu kumuokoa mateka, yule kumkamata kiongozi Fulani, huyu kukamata nyuklia, yule kulinda amani, huyu kuua key targets, huyu uvamizi, huyu kupambana na aliens nk
Hapa mfanano hauepukiki sabab vita hazitofautiani pia.
Maoni yangu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nimehamia Kwa wakorea.

At least wanakupa content zenye kusisimua.

Wazungu wameishiwa

Saivi huwezi kosa movie ya mzungu Haina ishu za RAINBOW. Piga Ua lazima waziweke.

Niko zangu SEOUL/HANANG
Mwanaume unaangalia Korean movies na wewe soon Tako lako litakuwa kwenye Hati Hati ya kuwekewa vilainishi.


Mwanaume lazima uwe mpenzi wa Documentary za kigaidi, smuggling, biashara , magendo, tafiti.


Sasa unabanana na dada yako wa kazi mnaangalia Korean movies jinga wewe
 
Back
Top Bottom