incredible mimi
Member
- Apr 14, 2024
- 16
- 5
Hivi huwa nnadanganya ili mpate Faida gani? Ww ushawahi fanya kazi TRA, uliza bac, na upunguze ujuajiDah dadeki watu wanakula maisha.
Hivi huwa nnadanganya ili mpate Faida gani? Ww ushawahi fanya kazi TRA, uliza bac, na upunguze ujuajiDah dadeki watu wanakula maisha.
We vipi aisee mimi nimesema wanakula maisha kutokana na evidence ya jamaa hapo juu sasa wewe umenivamia bila kujua aliyeandika nani na wewe punguza ulimbukeniHivi huwa nnadanganya ili mpate Faida gani? Ww ushawahi fanya kazi TRA, uliza bac, na upunguze ujuaji
Yes unahama na mshahara wako na haupungui... ila ukikuta wana mshahara mdogo wewe hutaweza ongezewa daraja jipya zaidi ya kupata annual increment ambayo ni haki kwa kila mtumishiUkitoka kwenye taasisi yenye mshahara mkubwa kwenda yenye mshahara mdogo, Ile mshahara Huwa haupungui..?
Vipi wanaotoka mshara mdogo kuhamia mshara mkubwa?Yes unahama na mshahara wako na haupungui... ila ukikuta wana mshahara mdogo wewe hutaweza ongezewa daraja jipya zaidi ya kupata annual increment ambayo ni haki kwa kila mtumishi
Hapo lazima upandishwe mshahara ufikie salary scale, let's una basic salary 100,000 umehamia sehemu ukakuta basic salary yao inaanzia 1,000,000 hapo lazima upandishwe ufikie hiyo scale...Vipi wanaotoka mshara mdogo kuhamia mshara mkubwa?
Nasikia huko ni asali ya kumwagikaKwa mwanasheria mkuu wa serikali je?
Njaa kama zoteNasikia huko ni asali ya kumwagika
Mbona nasikia wako vizurNjaa kama zote
Yes unahama na mshahara wako na haupungui... ila ukikuta wana mshahara mdogo wewe hutaweza ongezewa daraja jipya zaidi ya kupata annual increment ambayo ni haki kwa kila mtumishi
Yes kisheria za utumish ni kila mwaka... Japo ni hela ndogo sijui calculation zake ila ni kama ya kununulia tofali 50Hv annual increment inakuwa Kila mwaka kwa mtumishi..?
Na Huwa inakuwa ni asilimia
ngapi kwa mshahara wa mtumishi..?
Takukuru ndio mambo yote 😃 😀Tiss😋😋
Ni vile tu hujui mipunga inayovutwa huko na hakuna cha cag kukagua wala nn,omba Mungu uingie ufaidi national cake 🍰Takukuru ndio mambo yote 😃 😀
Aaaaa labda ila mwanangu yupo takukuru ananiambia kuna maisha sana.Ni vile tu hujui mipunga inayovutwa huko na hakuna cha cag kukagua wala nn,omba Mungu uingie ufaidi national cake 🍰
Maisha yapo kila sehem nchi hii,inategemea tu nyavu zako umetega wapiAaaaa labda ila mwanangu yupo takukuru ananiambia kuna maisha sana.