Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,085
- 3,729
Hapo vip!!
Awali ya yote nadeclare yakwamba ni lazima nitalipiza kisasi cha milele dhidi shetani na lazima nitalipa kisasi juu yake.
Nije kwenye mada husika yakwamba ninaposema hii vita kati ya mwanadamu na shetani sio sawa na haki ni kwasababu zifuatazo.
1. Vita hii mwanadamu ni kiumbe ambayo kwa namna alivyoumbwa anauwezo wa kumbambana na kiumbee kwa umahiri, ubora, kiustadi na uwezo umkubwa kwa adui wake katika hali ya nyama na damu na sio katika ulimwengu wa roho, ndio maana ameweza kubuni na kutengeneza silaha kama, mishale, mikuki, mabomu, mabomu ya nyuklia nakadhalika.
Hivyo basi kujificha kwa shetani na kupewa uwezo wa kumuingia na kumshambulia na kumtesa mwanadamu katika ulimwengu wa roho pasipo mwanadamu kujua tayari ni vita isiyokuwa ya haki na usawa.
Nadhani ingekuwa shetani ni kiumbe chenye kutumia mwili na nyama katika vita hii ni wazi asinge mweza mwanadamu ndio maana akajificha na kupewa uwezo wa kumuingia, kumtumia, kumtesa na kushambulia mwanadamu pasipo mwanadamu kujua ila anakuja kujua baadaye akiwa amesha umizwa na kuteswa na shetani kwa kutumia mapepo, majini, mizimu na wachawi.
Hii vita hata mdhaifu wa kwanza na wa mwisho angesimama upande wa shetani angeonekana mwenye nguvu, wakutisha na mwenye uwezo sana.
2. Hii vita ilikuwa kati ya Mungu na shetani kwa mujibu wa vitabu vyote vya dini Biblia na kuruani lakini anashambulia ni mwanadamu tena kwa mazingira yasiyokuwa ya haki na usawa ni mwanadamu. Shetani ameshindwa huko mbinguni kwenye vita kati yake na jeshi la Mungu ambaye ni malaika, halafu anakuja kufanya vita ambayo sio ya haki na usawa.. ndio maana nasema lazima nitalipiza kisasi huko kwenye ulimwengu wa roho milele juu yake.
NB.kama kweli shetani anauwezo na anamuweza mwanadamu avae mwili na nyama kama Bwana Yesu alivyofanya then aje Duniani kupambana na mwanadamu. Tunamsubiri na dhahiri anaonekana ni kiumbe dhaifu mno hataweza kufanya hivyo kwasababu ya udhaifu wake
Awali ya yote nadeclare yakwamba ni lazima nitalipiza kisasi cha milele dhidi shetani na lazima nitalipa kisasi juu yake.
Nije kwenye mada husika yakwamba ninaposema hii vita kati ya mwanadamu na shetani sio sawa na haki ni kwasababu zifuatazo.
1. Vita hii mwanadamu ni kiumbe ambayo kwa namna alivyoumbwa anauwezo wa kumbambana na kiumbee kwa umahiri, ubora, kiustadi na uwezo umkubwa kwa adui wake katika hali ya nyama na damu na sio katika ulimwengu wa roho, ndio maana ameweza kubuni na kutengeneza silaha kama, mishale, mikuki, mabomu, mabomu ya nyuklia nakadhalika.
Hivyo basi kujificha kwa shetani na kupewa uwezo wa kumuingia na kumshambulia na kumtesa mwanadamu katika ulimwengu wa roho pasipo mwanadamu kujua tayari ni vita isiyokuwa ya haki na usawa.
Nadhani ingekuwa shetani ni kiumbe chenye kutumia mwili na nyama katika vita hii ni wazi asinge mweza mwanadamu ndio maana akajificha na kupewa uwezo wa kumuingia, kumtumia, kumtesa na kushambulia mwanadamu pasipo mwanadamu kujua ila anakuja kujua baadaye akiwa amesha umizwa na kuteswa na shetani kwa kutumia mapepo, majini, mizimu na wachawi.
Hii vita hata mdhaifu wa kwanza na wa mwisho angesimama upande wa shetani angeonekana mwenye nguvu, wakutisha na mwenye uwezo sana.
2. Hii vita ilikuwa kati ya Mungu na shetani kwa mujibu wa vitabu vyote vya dini Biblia na kuruani lakini anashambulia ni mwanadamu tena kwa mazingira yasiyokuwa ya haki na usawa ni mwanadamu. Shetani ameshindwa huko mbinguni kwenye vita kati yake na jeshi la Mungu ambaye ni malaika, halafu anakuja kufanya vita ambayo sio ya haki na usawa.. ndio maana nasema lazima nitalipiza kisasi huko kwenye ulimwengu wa roho milele juu yake.
NB.kama kweli shetani anauwezo na anamuweza mwanadamu avae mwili na nyama kama Bwana Yesu alivyofanya then aje Duniani kupambana na mwanadamu. Tunamsubiri na dhahiri anaonekana ni kiumbe dhaifu mno hataweza kufanya hivyo kwasababu ya udhaifu wake