Hamas wamesema wataweka silaha chini na kuachia mateka wote pindi taifa la Palestina likiundwa. Israel inataka nini tena zaidi ya hapo?

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,472
11,455
Kumekuwepo na nukta ambazo zimekwamisha makubaliano ya kusitisha vita kwa muda mrefu kati ya Israel na Hamas.

Israel imeshikilia haitaki kuona Hamas ikiendelea kuitawala Gaza na la plli ni kupata mateka wote wanaoendelea kushikiliwa na Hamas.

Kulikuwa na baadha ya nukta pia viongozi wa Hamas na makundi mengine yanayopigana ndani ya Gaza hawakuweza kuyaweka sawa kwa wenzao walioko nje.

Ismail Haniye amekuwa akipendelea kusitishwa kwa vita kwa muda na kuachia baadhi ya mateka na baada ya hapo mazungumzo yaendelee.Hata hivyo viongozi wenzake waliopo Gaza walipendelea kuendelea na vita wakiona mipasuko ya ndani ya Israel inafanya ushindi uwe karibu yao.

Yawezekana kujitokeza kwa Yahya Sinwar na kupata muda wa mazungumzo na wenzake kumesawazisha mambo hayo.

Kwa sasa ni rasmi kwamba Hamas imekubali kufa na kuachia mateka wote inaowashikilia ili kukamilisha ajenda ya Israel.

Hata hivyo wapiganaji hao wametoa sharti la kuundwa kwa taifa la Palestina kwanza ambapo na wao watajiunga na mamlaka nyengine ya Palestina itakayotawala Gaza na ukingo wa magharibi kwa mujibu wa mipaka ya mwaka 1967.
 
Kumekuwepo na nukta ambazo zimekwamisha makubaliano ya kusitisha vita kwa muda mrefu kati ya Israel na Hamas.

Israel imeshikilia haitaki kuona Hamas ikiendelea kuitawala Gaza na la plli ni kupata mateka wote wanaoendelea kushikiliwa na Hamas.

Kulikuwa na baadha ya nukta pia viongozi wa Hamas na makundi mengine yanayopigana ndani ya Gaza hawakuweza kuyaweka sawa kwa wenzao walioko nje.

Ismail Haniye amekuwa akipendelea kusitishwa kwa vita kwa muda na kuachia baadhi ya mateka na baada ya hapo mazungumzo yaendelee.Hata hivyo viongozi wenzake waliopo Gaza walipendelea kuendelea na vita wakiona mipasuko ya ndani ya Israel inafanya ushindi uwe karibu yao.

Yawezekana kujitokeza kwa Yahya Sinwar na kupata muda wa mazungumzo na wenzake kumesawazisha mambo hayo.

Kwa sasa ni rasmi kwamba Hamas imekubali kufa na kuachia mateka wote inaowashikilia ili kukamilisha ajenda ya Israel.

Hata hivyo wapiganaji hao wametoa sharti la kuundwa kwa taifa la Palestina kwanza ambapo na wao watajiunga na mamlaka nyengine ya Palestina itakayotawala Gaza na ukingo wa magharibi kwa mujibu wa mipaka ya mwaka 1967.
Hao jamaa hata wakipewa hilo Taifa, bado agenda yao ni kuangamiza wayahudi wote ktk Taifa la Israel. Unajua kilichoandikwa kwenye Hamas Charter of 1988? Wanazuga tu hao inabidi Israel wawaingilie huko Rafah na kuwamaliza kabisa. Watakuwa kama ISIS au Alqaida hawana nchi maalumu ya kukaa
 
Kumekuwepo na nukta ambazo zimekwamisha makubaliano ya kusitisha vita kwa muda mrefu kati ya Israel na Hamas.

Israel imeshikilia haitaki kuona Hamas ikiendelea kuitawala Gaza na la plli ni kupata mateka wote wanaoendelea kushikiliwa na Hamas.

Kulikuwa na baadha ya nukta pia viongozi wa Hamas na makundi mengine yanayopigana ndani ya Gaza hawakuweza kuyaweka sawa kwa wenzao walioko nje.

Ismail Haniye amekuwa akipendelea kusitishwa kwa vita kwa muda na kuachia baadhi ya mateka na baada ya hapo mazungumzo yaendelee.Hata hivyo viongozi wenzake waliopo Gaza walipendelea kuendelea na vita wakiona mipasuko ya ndani ya Israel inafanya ushindi uwe karibu yao.

Yawezekana kujitokeza kwa Yahya Sinwar na kupata muda wa mazungumzo na wenzake kumesawazisha mambo hayo.

Kwa sasa ni rasmi kwamba Hamas imekubali kufa na kuachia mateka wote inaowashikilia ili kukamilisha ajenda ya Israel.

Hata hivyo wapiganaji hao wametoa sharti la kuundwa kwa taifa la Palestina kwanza ambapo na wao watajiunga na mamlaka nyengine ya Palestina itakayotawala Gaza na ukingo wa magharibi kwa mujibu wa mipaka ya mwaka 1967.
Dini ya Hamas inaruhusu uongo, Israel hawawezi kuwaamini hata kidogo
 
Hii siyo sawa, HAMAS walituahidi vita ya muda mrefu, na walisema walipo vamia Israel ile October,2023 walisema walijiandaa kwa vita ya muda mrefu, sasa kumetokea nini wanaanza kubadirika?

Piganane, ushindi wa mezani haunogi. Vita huleta amani ya kweli.
 
Kumekuwepo na nukta ambazo zimekwamisha makubaliano ya kusitisha vita kwa muda mrefu kati ya Israel na Hamas.

Israel imeshikilia haitaki kuona Hamas ikiendelea kuitawala Gaza na la plli ni kupata mateka wote wanaoendelea kushikiliwa na Hamas.

Kulikuwa na baadha ya nukta pia viongozi wa Hamas na makundi mengine yanayopigana ndani ya Gaza hawakuweza kuyaweka sawa kwa wenzao walioko nje.

Ismail Haniye amekuwa akipendelea kusitishwa kwa vita kwa muda na kuachia baadhi ya mateka na baada ya hapo mazungumzo yaendelee.Hata hivyo viongozi wenzake waliopo Gaza walipendelea kuendelea na vita wakiona mipasuko ya ndani ya Israel inafanya ushindi uwe karibu yao.

Yawezekana kujitokeza kwa Yahya Sinwar na kupata muda wa mazungumzo na wenzake kumesawazisha mambo hayo.

Kwa sasa ni rasmi kwamba Hamas imekubali kufa na kuachia mateka wote inaowashikilia ili kukamilisha ajenda ya Israel.

Hata hivyo wapiganaji hao wametoa sharti la kuundwa kwa taifa la Palestina kwanza ambapo na wao watajiunga na mamlaka nyengine ya Palestina itakayotawala Gaza na ukingo wa magharibi kwa mujibu wa mipaka ya mwaka 1967.
Israel haiwezi kuingia mkataba na magaidi
 
Hilo linajulikana hata Palestina wapate nchi yao amani haiwezi kupatikana mashariki ya kati, wataanza kugombania mji wa Jerusalem na sehemu ya kuabudia.Kama biblia inavyosema vita ya Filist na jews haiwezi kuisha kwa njia ya UN.
 
Wakaze tu lolote linawezekana.

Inanikumbusha hadithi ya Long march ya wakomunisti ilifyeka wakomunisti wengi balaah ila leo China ni Superpower maisha haya bwana yanabadilika sana leo etii Republic of China wanawaogopa wakomunisti😎
 
Hii siyo sawa, HAMAS walituahidi vita ya muda mrefu, na walisema walipo vamia Israel ile October,2023 walisema walijiandaa kwa vita ya muda mrefu, sasa kumetokea nini wanaanza kubadirika?

Piganane, ushindi wa mezani haunogi. Vita huleta amani ya kweli.
Wacha kuwafanyie kejeli Hamas ambao unajua hawana HIMARS wala ndege hata 1 ya kivita.
Hapo walipofika na bila kusalimu amri ni sehemu ya kutimiza ahadi yao.
 
Hao jamaa hata wakipewa hilo Taifa, bado agenda yao ni kuangamiza wayahudi wote ktk Taifa la Israel. Unajua kilichoandikwa kwenye Hamas Charter of 1988? Wanazuga tu hao inabidi Israel wawaingilie huko Rafah na kuwamaliza kabisa. Watakuwa kama ISIS au Alqaida hawana nchi maalumu ya kukaa
Na wewe unajua kuwa ajenda ya kuwamaliza Hamas imeshatangazwa na kuna mawaziri wanataka Gaza ipigwe bomu la nyuklia kabisa.
Sasa Hamas watapata faida gani kwa kusimamisha vita halafu wauliwe wote.
Kama hawataki hata suluhisha la mataifa mawili baada ya kupora ardhi basi vita viendelee tu mpaka tuone Israel imeshinda kupata mateka wake au imeshindwa.
 
Na wewe unajua kuwa ajenda ya kuwamaliza Hamas imeshatangazwa na kuna mawaziri wanataka Gaza ipigwe bomu la nyuklia kabisa.
Sasa Hamas watapata faida gani kwa kusimamisha vita halafu wauliwe wote.
Kama hawataki hata suluhisha la mataifa mawili baada ya kupora ardhi basi vita viendelee tu mpaka tuone Israel imeshinda kupata mateka wake au imeshindwa.
Wauwaji kabisa nyinyi Waislam, na Wala hamtaki jamii nyingine yeyote ifanikiwe maishani; wabaguzi wakubwa ona hapa mnavyowafanyia wamisri wenzenu ATI kwa sababu tu ni Wakiristo hamtaki wajenge kanisa hapo chini mnahatibu kisima wanachopatia maji yao ya kunywa na baadae mnavhoma nyumba moto

View: https://x.com/IhabHassane/status/1783983943680733472
 
Wauwaji kabisa nyinyi Waislam, na Wala hamtaki jamii nyingine yeyote ifanikiwe maishani; wabaguzi wakubwa ona hapa mnavyowafanyia wamisri wenzenu ATI kwa sababu tu ni Wakiristo hamtaki wajenge kanisa hapo chini mnahatibu kisima wanachopatia maji yao ya kunywa na baadae mnavhoma nyumba moto

View: https://x.com/IhabHassane/status/1783983943680733472

Takwimu za nani ni wauwaji zaidi kuliko wengine kati ya waislamu na dini nyengine hazikubaliani na mawazo yako.
Angalia waislamu wangapi wameuliwa miaka ya karibuni huko Afghanistan,Iraq,Syria,India,Myamar na kote kwengine.
Wasiopendelea maendeleo ya wenzao pia ni wakristo na mayahudi ambao wanauwa wataalamu wa kiislamu katika teknolojia za kila aina.
 
Hebu ona kaeneo mnakowabugdhi wana wa Israel kwenye urithi wao, ilhali nyie mna maeneo makubwa kote huko...
Wafia haya mavitu brazaj ifike mpate aibu kila mkitazama hii picha...

F9G_aKyXgAArexq.jpg:large
 
Takwimu za nani ni wauwaji zaidi kuliko wengine kati ya waislamu na dini nyengine hazikubaliani na mawazo yako.
Angalia waislamu wangapi wameuliwa miaka ya karibuni huko Afghanistan,Iraq,Syria,India,Myamar na kote kwengine.
Wasiopendelea maendeleo ya wenzao pia ni wakristo na mayahudi ambao wanauwa wataalamu wa kiislamu katika teknolojia za kila aina.
Wewe kweli mbumbumbu; unajizima data hujui kuwa vita ya Syria, imekuwa kati ya Asad akisaidiwa na Iran na Russia (jamii ya washia) na ISIS wasunni!! US aliingia kuwalinda Wakurdi ambao pia ipo jamii ya Yazeedi ambao nyinyi sunni mnawabagua!!?? Iraq imekuwa vita ya sunni na shia. Afghanistan imekuwa vita ya Talaban (sunni) na serikali ya kiraia. Kule Myanmar Serikali ambao ya kijeshi na ni Wabudha wanapigana Rohingya (majority Muslims) hapo Wakiristo wako wapi. Halafu ni kwambie miongoni mwa Rohingya wako Wakiristo ambao Bado nyinyi waabudu SHETAN ALLAH mnawauwa.
 
Wewe kweli mbumbumbu; unajizima data hujui kuwa vita ya Syria, imekuwa kati ya Asad akisaidiwa na Iran na Russia (jamii ya washia) na ISIS wasunni!! US aliingia kuwalinda Wakurdi ambao pia ipo jamii ya Yazeedi ambao nyinyi sunni mnawabagua!!?? Iraq imekuwa vita ya sunni na shia. Afghanistan imekuwa vita ya Talaban (sunni) na serikali ya kiraia. Kule Myanmar Serikali ambao ya kijeshi na ni Wabudha wanapigana Rohingya (majority Muslims) hapo Wakiristo wako wapi. Halafu ni kwambie miongoni mwa Rohingya wako Wakiristo ambao Bado nyinyi waabudu SHETAN ALLAH mnawauwa.
Uligusia jamii nyengine ndio maana pale juu utaona katika jibu langu nimeanza na wakristo.mayahudi,mabaniani.mabuda na kadhalika.
Nyote kwa pamoja mna shida sana na waislamu.
 
Kwahiyo mipango ha Allah wanataka kuipiga chini.. kuwa all jews wauliwe..
 
Back
Top Bottom