Telecom market share ya Tanzania ya mwaka 2023 kutoka TCRA inaonesha wazawa tulivyo wavivu na wazembe kwenye kuongoza mashirika ya umma
Baada ya kuanzishwa October 2015 iliwachukua mwaka mmoja tu Halotel kufikisha wateja milioni tatu (3), yaani by mwaka 2016 October Halotel alikuwa tayari kashafikisha wateja milioni tatu tayari.
TTCL ambayo imeanzishwa mwaka 1993 mpaka leo haijafikisha wateja milioni 3. huku Halotel aliyekuja Tanzania mwaka 2015 leo hii ana wateja milioni 10
Baada ya kuanzishwa October 2015 iliwachukua mwaka mmoja tu Halotel kufikisha wateja milioni tatu (3), yaani by mwaka 2016 October Halotel alikuwa tayari kashafikisha wateja milioni tatu tayari.
TTCL ambayo imeanzishwa mwaka 1993 mpaka leo haijafikisha wateja milioni 3. huku Halotel aliyekuja Tanzania mwaka 2015 leo hii ana wateja milioni 10