SoC04 Fundi Cherehani (Tailor) na Fundi Mbao (Carpenter) ni mafundi wenye maajabu

Tanzania Tuitakayo competition threads

Kavimbe

Member
May 9, 2023
34
53
Fundi Cherehani (Tailor) na Fundi Mbao (Carpenter) ni mafundi wenye maajabu.

Wewe kama huamini haya maneno au hujawahi kuona maajabu yao basi mtafute ndungu yako au rafiki yako wa karibu amabaye ni fundi nguo au fundi mbao, halafu umuulize vipi bwana kazi zinakwendajee siku hizi. Moja kwa moja atakwambia.. siku hizi ni doro hakuna kabisa wateja wanaohitaji vitanda wala kabati. Watu wananunua fenicha cha China. Na fundi nguo na yeye atakujibu hivyo hivyo.. hakuna kazi kabisa siku hizi watu wananunua nguo special tu sisi hatuna kazi.

Baada ya majibu hayo.. kama ndugu yako au rafiki yako ni fundi mbao basi mwambie mimi ninahitaji kitanda, jee ni shilingi ngapi? Hapo hatakwambia bei yake moja kwa moja kwa vile ni jamaa yako wa karibu, ataanza na hesabu zake za kitaalamu. Atakwambia kitanda kinahitaji mbao 12 za ngapi kwa ngapi, pia kunatakiwa mbao ngapi za ngapi kwa ngapi. Halafu tuzipeleke mashine, halafu kuna msasa, misumari, vikomeo vya droo. Wewe utamwambia sawa piga tu hisabu ya vitu vyote. Basi atachorachora chini aridhini halafu ataibuka na kukupa jibu la thamani ya vitu vyote pamoja na ufundi wake. Atakwambia kama laki tatu na elfu sabini hivi. Kwa vile ni mtu wako wa karibu na hana kazi katika kazi zake basi utamwambia sio tatizo ninakupa pesa taslimu laki nne ili unifanyie kazi yangu.

Baada ya kumkabidhi pesa unamuuliza ni lini kitanda changu kitakuwa tayari. Hapo atakupa tena utaalamu wa kazi kazi yake. Kesho nitakwenda kununua mbao, halafu nitazipeleka mashine halafu zitakauka ndio nitaanza kazi ya kuzichonga. Jibu hapo atakwambia baada ya siku sita kitanda kitakuwa tayari. Wewe kwa vile ni rafiki yako unamwambia mimi ninakupa wiki mbili ili unifanuyie taratibu.

Sasa hapo ndio maajabu yao mafundi yanapoanza. Zile wiki mbili zitafika na utamuuliza vipi kitanda tayari. Atakwambia keshokutwa kitakuwa tayari. Na keshokutwa ikifika ukimuuliza vipi nije nichukuwe kitanda changu. Atakwambia nivumilie kidogo siku mbili tatu hivi. Kwa vile ni rafiki yako unampa tena wiki mbil. Baada ya wiki mbili ukienda atakwambia bado kidogo kwa sababu nilipata kazi ya kufunga milango kwa Mpemba Mbagala Chini.

Yaani hapo itapita miezi sita kama si miezi tisa bila kupata kitanda chako. Kumbuka mwanzoni alikwambia siku hizi hakuna kazi. Ni kwanini kama hakuna kazi kitanda tu kinachukua zaidi ya miezi sita kukitengeneza.

HAYO NDIO MAAJABU YA FUNDI MBAO NA FUNDI NGUO NI HIVYO HIVYO AMTAFUTE NA UMPE KAZI YAKO ILI UONE MAAJABU YAKE NA YEYE.

WASALAMU ni BabuAli Wa Baraka.. baba wawili.
 
Fundi Cherehani (Tailor) na Fundi Mbao (Carpenter) ni mafundi wenye maajabu.

Wewe kama huamini haya maneno au hujawahi kuona maajabu yao basi mtafute ndungu yako au rafiki yako wa karibu amabaye ni fundi nguo au fundi mbao, halafu umuulize vipi bwana kazi zinakwendajee siku hizi. Moja kwa moja atakwambia.. siku hizi ni doro hakuna kabisa wateja wanaohitaji vitanda wala kabati. Watu wananunua fenicha cha China. Na fundi nguo na yeye atakujibu hivyo hivyo.. hakuna kazi kabisa siku hizi watu wananunua nguo special tu sisi hatuna kazi.

Baada ya majibu hayo.. kama ndugu yako au rafiki yako ni fundi mbao basi mwambie mimi ninahitaji kitanda, jee ni shilingi ngapi? Hapo hatakwambia bei yake moja kwa moja kwa vile ni jamaa yako wa karibu, ataanza na hesabu zake za kitaalamu. Atakwambia kitanda kinahitaji mbao 12 za ngapi kwa ngapi, pia kunatakiwa mbao ngapi za ngapi kwa ngapi. Halafu tuzipeleke mashine, halafu kuna msasa, misumari, vikomeo vya droo. Wewe utamwambia sawa piga tu hisabu ya vitu vyote. Basi atachorachora chini aridhini halafu ataibuka na kukupa jibu la thamani ya vitu vyote pamoja na ufundi wake. Atakwambia kama laki tatu na elfu sabini hivi. Kwa vile ni mtu wako wa karibu na hana kazi katika kazi zake basi utamwambia sio tatizo ninakupa pesa taslimu laki nne ili unifanyie kazi yangu.

Baada ya kumkabidhi pesa unamuuliza ni lini kitanda changu kitakuwa tayari. Hapo atakupa tena utaalamu wa kazi kazi yake. Kesho nitakwenda kununua mbao, halafu nitazipeleka mashine halafu zitakauka ndio nitaanza kazi ya kuzichonga. Jibu hapo atakwambia baada ya siku sita kitanda kitakuwa tayari. Wewe kwa vile ni rafiki yako unamwambia mimi ninakupa wiki mbili ili unifanuyie taratibu.

Sasa hapo ndio maajabu yao mafundi yanapoanza. Zile wiki mbili zitafika na utamuuliza vipi kitanda tayari. Atakwambia keshokutwa kitakuwa tayari. Na keshokutwa ikifika ukimuuliza vipi nije nichukuwe kitanda changu. Atakwambia nivumilie kidogo siku mbili tatu hivi. Kwa vile ni rafiki yako unampa tena wiki mbil. Baada ya wiki mbili ukienda atakwambia bado kidogo kwa sababu nilipata kazi ya kufunga milango kwa Mpemba Mbagala Chini.

Yaani hapo itapita miezi sita kama si miezi tisa bila kupata kitanda chako. Kumbuka mwanzoni alikwambia siku hizi hakuna kazi. Ni kwanini kama hakuna kazi kitanda tu kinachukua zaidi ya miezi sita kukitengeneza.

HAYO NDIO MAAJABU YA FUNDI MBAO NA FUNDI NGUO NI HIVYO HIVYO AMTAFUTE NA UMPE KAZI YAKO ILI UONE MAAJABU YAKE NA YEYE.

WASALAMU ni BabuAli Wa Baraka.. baba wawili.
Kumbe tafasiri ya TAILOR ni fundi CHEREHANI.
mimi huwa ninajua kuwa TAILOR tafasiri yake ni FUNDI WA KUSHONA NGUO!
 
Fundi Cherehani (Tailor) na Fundi Mbao (Carpenter) ni mafundi wenye maajabu.

Wewe kama huamini haya maneno au hujawahi kuona maajabu yao basi mtafute ndungu yako au rafiki yako wa karibu amabaye ni fundi nguo au fundi mbao, halafu umuulize vipi bwana kazi zinakwendajee siku hizi. Moja kwa moja atakwambia.. siku hizi ni doro hakuna kabisa wateja wanaohitaji vitanda wala kabati. Watu wananunua fenicha cha China. Na fundi nguo na yeye atakujibu hivyo hivyo.. hakuna kazi kabisa siku hizi watu wananunua nguo special tu sisi hatuna kazi.

Baada ya majibu hayo.. kama ndugu yako au rafiki yako ni fundi mbao basi mwambie mimi ninahitaji kitanda, jee ni shilingi ngapi? Hapo hatakwambia bei yake moja kwa moja kwa vile ni jamaa yako wa karibu, ataanza na hesabu zake za kitaalamu. Atakwambia kitanda kinahitaji mbao 12 za ngapi kwa ngapi, pia kunatakiwa mbao ngapi za ngapi kwa ngapi. Halafu tuzipeleke mashine, halafu kuna msasa, misumari, vikomeo vya droo. Wewe utamwambia sawa piga tu hisabu ya vitu vyote. Basi atachorachora chini aridhini halafu ataibuka na kukupa jibu la thamani ya vitu vyote pamoja na ufundi wake. Atakwambia kama laki tatu na elfu sabini hivi. Kwa vile ni mtu wako wa karibu na hana kazi katika kazi zake basi utamwambia sio tatizo ninakupa pesa taslimu laki nne ili unifanyie kazi yangu.

Baada ya kumkabidhi pesa unamuuliza ni lini kitanda changu kitakuwa tayari. Hapo atakupa tena utaalamu wa kazi kazi yake. Kesho nitakwenda kununua mbao, halafu nitazipeleka mashine halafu zitakauka ndio nitaanza kazi ya kuzichonga. Jibu hapo atakwambia baada ya siku sita kitanda kitakuwa tayari. Wewe kwa vile ni rafiki yako unamwambia mimi ninakupa wiki mbili ili unifanuyie taratibu.

Sasa hapo ndio maajabu yao mafundi yanapoanza. Zile wiki mbili zitafika na utamuuliza vipi kitanda tayari. Atakwambia keshokutwa kitakuwa tayari. Na keshokutwa ikifika ukimuuliza vipi nije nichukuwe kitanda changu. Atakwambia nivumilie kidogo siku mbili tatu hivi. Kwa vile ni rafiki yako unampa tena wiki mbil. Baada ya wiki mbili ukienda atakwambia bado kidogo kwa sababu nilipata kazi ya kufunga milango kwa Mpemba Mbagala Chini.

Yaani hapo itapita miezi sita kama si miezi tisa bila kupata kitanda chako. Kumbuka mwanzoni alikwambia siku hizi hakuna kazi. Ni kwanini kama hakuna kazi kitanda tu kinachukua zaidi ya miezi sita kukitengeneza.

HAYO NDIO MAAJABU YA FUNDI MBAO NA FUNDI NGUO NI HIVYO HIVYO AMTAFUTE NA UMPE KAZI YAKO ILI UONE MAAJABU YAKE NA YEYE.

WASALAMU ni BabuAli Wa Baraka.. baba wawili.
Ndungu = ndugu. Umeandika majungu matupu. Kitanda kutotengenezwa kwa miezi 6 ni uongo uliotukuka. Pia mafundi wengi washaacha huo upuuzi wa kuchelewesha kazi. Kafanye upya huo utafiti wako.
 
Ndungu = ndugu. Umeandika majungu matupu. Kitanda kutotengenezwa kwa miezi 6 ni uongo uliotukuka. Pia mafundi wengi washaacha huo upuuzi wa kuchelewesha kazi. Kafanye upya huo utafiti wako.
Wewe ni mtoto wa Kishuwa. Hawa mafundi wa Uswahilini huwezi kuwajua. Tuachie sisi wazee wa ushwahilini. Vituko vyetu tunavijua sisis.
 
Wewe ni mtoto wa Kishuwa. Hawa mafundi wa Uswahilini huwezi kuwajua. Tuachie sisi wazee wa ushwahilini. Vituko vyetu tunavijua sisis.
kujisifu kuwa ni mtoto wa uswahilini ni akili za kimaskini. Mimi nimekulia maisha magumu ila sioni uhalali wowote wa kujisifu kuishi maisha magumu.
 
Hali ni ngumu sasa kama mafundi wanakuwa wongowaongo.

Lakini inategemea na Fundi na wewe mwenyewe.

Kama wewe pesa yake ni ya kumzungusha kuwa utampa kesho mara keshokutwa, na fundi naye hivyohivyo.

Binafsi nilishaweka kanuni fundi tunaelewana kwa hatua.

Hatua ya kwanza advansi hapa mimi ninajirisk kumpatia pesa na kazi.

Hatua ya pili inakwenda papohapo na hatua ya tatu: ya pili ni ananikabidhi kazi na ya tatu ni ninamkabidhi kiasi kilichobaki ova.

Fundi akiona unabargain naye hivyo naye anajiweka kisomi bhanaa.
 
Back
Top Bottom