BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,835
- 17,691
Kila la heri wananchi💚💛💪
Haha..!!
Usimsahau Bantu Lady
💚💚💚💚💚💚 Naunga mkono hoja mwananchi mwenzangu 💚💚💚💚Haha..!!
Mwananchi for Life Mr. Cassano..!!
Achana na mbumbumbu wewe chapa kazi..Nimekuwa sana kwenye hili jukwaa la soka.
Sasa kuna wadau wanaanzisha uzi mwisho wa siku hawatendi haki. Unakuta hakuna updates wanazotoa, content zinakuwa na error kibao.
cc Vincenzo Jr huyu mwamba anajua game yetu na Singida Fountain Gate ilivyokuwa
SafiiiiUsimsahau Bantu Lady
Hata huko Utopoloni kuna matatizo mbona, kila siku mnalalamika tu na kuijadili Simba timu kubwa.Matatizo unayo wewe na timu yenu mbovu timu inakandwa Kila wiki kolozidad fc
Acha kujishebedua, hao wote ni me, Watake radhi kwa kuwaita pisi kali.Mfano nani hapo? 🤣🤣🤣
Mkuu lini tumeijadili kolozidad kwani sisi ndio mashabiki wa hiyo timu sisi ni Yanga SC MkuuHata huko Utopoloni kuna matatizo mbona, kila siku mnalalamika tu na kuijadili Simba timu kubwa.
Leo ntapigwa
Acha kujishebedua, hao wote ni me, Watake radhi kwa kuwaita pisi kali.
Na Freddy huwa mnampondea nini?Mkuu lini tumeijadili kolozidad kwani sisi ndio mashabiki wa hiyo timu sisi ni Yanga SC Mkuu
Coastal anakula nyingi Leo.
Huyo alishasepa siku mingi sana yupo unyamani kwa sasa.Usimsahau Bantu Lady