Simba 2Match Day
Simba Vs Singida FT FC.
Time: 20:15.
View attachment 2860453
All the Best Mnyama
#nguvumoja#
Hii Match ni muhimu kwa Simba ila haina Pressure kabisa.
Simba wanahitaji point 3 ili kuingia robo fainali.
Nimejaribu kutengeneza Standing Table ya Kundi B.
Singida FG yeye ameshaingia Robo fainali, anakuja kukamilisha ratiba tu.
Tizama Msimamo wa Kundi B
View attachment 2860651
Simba anapaswa kushinda hii game ili game ya Mwisho na APR iwe rahisi zaidi.
Naitunza hii comment kwa matumizi ya baadae.Tutampasua yeyote kwenye michuano hii
Endelea kucheza kalibu na jumba la dondora tu.Wacheze wanavyoweza, sio wagongwe mje na kisingizio hakuna cha kupoteza.
Watake watafungwa, Wasitake watafungwa!!
Wewe ni mnyaturu?All the Best thingida
Wewe ni mnyaturu?
Ulazima upo kwenye kutengeneza jina..!!hakuna ulazima wowote wa Singida fg kushinda hii game.
kwanini utumie risasi kuua kitu kisichokuwa na manufaa? nawashauri washughulike na hatua ya robo fainali sasa. mpira ni mbinu
Kelele wataleta 5imba kwa kufungwa..!!Mnataka kuleta kelele mjini nyie.
Hata kama hatuna cha kupoteza, sisi Singida tunaweka full mkoko. Kama kukamia na nyinyi mtukamie tu halafu tukutane baada ya dk90Singida Fg hapa itabidi waingize kikosi B.
Hawana cha kupoteza na nitawashangaa sana endapo watakamia
kwamba mechi ya singida mnataka iwe ya majaribio? Benchikha ni mtu mwenye tamaa ya makombe na mapicha picha hawezi kufanya huo ujinga hao akina duchu wataozea benchi kama lilivyo jina la kocha wenuKocha aanze na kikosi kile kile ili tuone improvement na baadhi ya makosa kama yamefanyiwa kazi. Wachezaji 3 ambao wamelaumiwa sana - Jimmyson, Chilunda na Duchu mi naona hawa wanahitaji dakika zaidi uwanjani ili waonyeshe walichonacho kumbukeni wamekaa benchi sana na kama mnavyojua mchezaji asipocheza week in week out ni anakwisha. Miquisoone pia bado hajawa kwenye ubora wake ingawa alihusika kwenye magoli 2 kati ya yale 3. Generali vilevile bado kurudi kwenye ubora wake ingawa anatia moyo.
Otherwise naona Simba akimwadhibu vikali Singida.
Duchu akikaa benchi nani ataanza kwa mtazamo wako?kwamba mechi ya singida mnataka iwe ya majaribio? Benchikha ni mtu mwenye tamaa ya makombe na mapicha picha hawezi kufanya huo ujinga hao akina duchu wataozea benchi kama lilivyo jina la kocha wenu
ataanza mangunguDuchu akikaa benchi nani ataanza kwa mtazamo wako?
Anaeza cheza Israel, kwakuwa hatuna beki namba tatu zaidi ya Hussein, daah ila usajili wa simba ni pasua kichwa kwakweliDuchu akikaa benchi nani ataanza kwa mtazamo wako?
Naiona Yanga ikichukua ubingwa wa ligi ikiwa bado mechi 15 mkononiMatch Day
Simba Vs Singida FT FC.
Time: 20:15.
View attachment 2861011
All the Best Mnyama
#nguvumoja#
Hii Match ni muhimu kwa Simba ila haina Pressure kabisa.
Simba wanahitaji point 3 ili kuingia robo fainali.
Nimejaribu kutengeneza Standing Table ya Kundi B.
Singida FG yeye ameshaingia Robo fainali, anakuja kukamilisha ratiba tu.
Tizama Msimamo wa Kundi B
View attachment 2860651
Simba anapaswa kushinda hii game ili game ya Mwisho na APR iwe rahisi zaidi.