Ebrahim Raisi, mchinjaji wa Tehran(The Butcher of Tehran) atakayekumbukwa kwa madhila mengi na makubwa

Mshenzi mkubwa ww
Huna unachojua ila matusi na chuki,umekua brain washed na western propaganda,husikii wala huoni.Kwan tatizo liko wapi
Ww subiria pepo yako atakayokupa Yesu na mm nisubirie mabira 72.otherwise shut ur bakuli and learn to be a great thinker

Pepo ya bikra 72 ina mhusu mtu wa
 
Mshenzi mkubwa ww
Huna unachojua ila matusi na chuki,umekua brain washed na western propaganda,husikii wala huoni.Kwan tatizo liko wapi
Ww subiria pepo yako atakayokupa Yesu na mm nisubirie mabira 72.otherwise shut ur bakuli and learn to be a great thinker
jamaa ana wivu kweli na raha zetu za milele
 
Wewe kama wewe unakubalije kuwa kisababishi cha ajali ni hali ya hewa kuwa mbaya ilhali kuna chopa zingine, zilipita na kutua pasipo matata?
Kwasababu taarifa tumeona na ukungu mkubwa Sana ulikuwepo pale ndio maana hata waokoaji wa mwanzo walisitisha zoezi mpaka walipopata msaada wa Uturuki ndio wakaweza kuona mabaki ya ile ndege, naweka kumbumbuku sawa mkiwa kwenye ugomvi sio kwamba kifo kitakuacha , muda ukifika ni kifo tu
 
Habari za awali za helicopter iliyoanguka ikiwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi maarafu kama "the butcher of Tehran"/mchinjaji wa Tehran huenda imepokewa kwa furaha kubwa na wahanga waliowahi kuguswa naye katika utumishi na uongozi wake mrefu ndani ya Iran.

Huyu bwana alianza kama mwendesha mashitaka na baadaye naibu mwanasheria mkuu katika wa serikali ya Iran, alikuwa mjumbe pia katika kamati za mauaji. Chini yake katika nafasi hizo mbalimbali akifanya kazi kwa ukaribu na mahakama ilishuhudiwa watu zaidi ya 8,000 wakinyongwa na maelfu wengine wakitupwa jela, kupotea au kupata adhabu za utesaji mkuu uliopitiliza kwa sababu za kisiasa na mambo mengine yanayoitwa ya kimaadili.

Wa-Iran wenye uraia wa nchi mbili hasa za magharibi walikumbana na mkono wake katili haswa, alibuni mpango wa kuwatumia kama chambo katika migogoro ya Iran na magharibi kwa kuwavizia na kuwakamata akiwasingiza uhaini kisha kuwatumia kama karata turufu kwenye majadiliano mbalimbali na West.

Huenda wahanga kutoka familia nyingi kwa maelfu ndani na nje ya Iran zilizoathiriwa naye wanaomba helicopter hiyo isipatikane kabisa na hawawezi kulaumiwa kwa hilo.
Ubinadamu kazi.
inasikitisha ila waliyataka wenyewe, hasa yule minster of foreign affair mwenye kiburi na jeuri. wakabidhiwe tu mabikira yao 72 huko waendelee, mtaji kiuno.
 
Mkuu hivi ile helicopter ilitengenezwa wapi na nchi Gani?
Helcopta ni Made in USA aina ya Bell. Made in 1979, spare kwa sababu ya Vikwazo vya USA walikuwa hawawezi pata. Huenda waliuziwa spear za Black market watu wakaweka "Stuxnet like Virus" , time imefika wakachomoa Betri
 
Hata Ebrahim alikatisha maisha ya wengi enzi zake, siku ya kufa ikifika hata bodyguard huwa hapingi.
alifanya kazi yake kwa maslahi mapana ya nchi bila kujali wengine watasemaji, na hata asingefanya bado angekufa tu kwa ajali hiyo hiyo ya ndege, hivyo hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya matendo yako na kifo chako
 
Habari za awali za helicopter iliyoanguka ikiwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi maarafu kama "the butcher of Tehran"/mchinjaji wa Tehran huenda imepokewa kwa furaha kubwa na wahanga waliowahi kuguswa naye katika utumishi na uongozi wake mrefu ndani ya Iran.

Huyu bwana alianza kama mwendesha mashitaka na baadaye naibu mwanasheria mkuu katika wa serikali ya Iran, alikuwa mjumbe pia katika kamati za mauaji. Chini yake katika nafasi hizo mbalimbali akifanya kazi kwa ukaribu na mahakama ilishuhudiwa watu zaidi ya 8,000 wakinyongwa na maelfu wengine wakitupwa jela, kupotea au kupata adhabu za utesaji mkuu uliopitiliza kwa sababu za kisiasa na mambo mengine yanayoitwa ya kimaadili.

Wa-Iran wenye uraia wa nchi mbili hasa za magharibi walikumbana na mkono wake katili haswa, alibuni mpango wa kuwatumia kama chambo katika migogoro ya Iran na magharibi kwa kuwavizia na kuwakamata akiwasingiza uhaini kisha kuwatumia kama karata turufu kwenye majadiliano mbalimbali na West.

Huenda wahanga kutoka familia nyingi kwa maelfu ndani na nje ya Iran zilizoathiriwa naye wanaomba helicopter hiyo isipatikane kabisa na hawawezi kulaumiwa kwa hilo.
Ubinadamu kazi.
So wameshangilia kifo chake??
 
Back
Top Bottom