Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,381
- 33,230
Serikali hili jambo imelifumbia macho halishughulikiwi kabisa Serikali ya CCM imelala usingizi mnono.............................
DaslamNi wapi huko?
Toka enzi...hiyo ni njia ya maji...watu wameifuata wenyewe....pia bonde la mpunga msasani....pia jirani kwa warioba uelekeo kawe....baadhi ya maeneo mwananyamala watu wamejenga juu ya ziwa....jangwani wote mwapafahamu....baadhi ya maeneo ya tegeta uelekeo Kibo complex kwa mbele ule ni mto....maeneo ya vingunguti uelekeo TAZARA pia watu wamejenge juu ya mto....any way......View attachment 2972028View attachment 2972022
Serikali hili jambo imelifumbia macho halishughulikiwi kabisa Serikali ya CCM imelala usingizi mnono.............................
eneo la Msimbazi lote tangu enzi ya mkoloni lilikuwa limeainishwa kama ni 'hazardous area', lakini sisi binadamu tulidhani tunaweza kuidanganya mvua.Wapumbavu waliojenga barabara bonde la Mkwajuni bila daraja kama pale Msimbazi kidaraja kidogo.
Tuna viongozi wa hovyo sana.
Una mimba ya Chadema ?pitia huku lingusenguse nikupatie ulanzi ,hii sio rocket science,mafuriko ya bonde la mkwajuni limesababishwa na serikali ya ccm kuruhusu royal families kujenga kule mikokoni ni kuingilia uasili wa mkondo wa maji kwa mto wa msimbaziKwamba CHADEMA ndio wanauwezo wa kukabuliana na Nature?
Hatahivyo wapo wanaohitajika kuwajibishwa.
Walakin,ni CCM?
Matatizo ya watanzania ndiyo mtaji wa wanasiasaView attachment 2972028View attachment 2972022
Serikali hili jambo imelifumbia macho halishughulikiwi kabisa Serikali ya CCM imelala usingizi mnono.............................
Ifike mahali maeneo hatarishi yote yazuiwe kufanya shughuli za kibinadamuJamaa kuku wote wamekufa na vifaa vimeharibika
Inaonekana alikuwa anauza sana ama alikuwa anawalea tu
Kuku 4000 wote