Bashe: Rais Samia ametupa Idhini kuyarejesha Serikalini Mashamba ya MO Dewji ikithibitika hana Nia ya kuyaendeleza kwa mujibu wa Mkataba!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,071
143,874
Waziri wa Kilimo mh Bashe ameliambia Bunge timu ya wizara yake itamwita Mwekezaji MO Dewji Ili kujua matazamio yake kwenye mashamba aliyouziwa na Serikali kwa Masharti maalumu huko Korogwe Tanga na Rungwe Mbeya

Bashe amesema Rais Samia ameshatoa Idhini kwa wizara yake kuyarejesha serikalini Mashamba hayo endapo MO Dewji hana Nia ya kuyaendeleza kama ilivyokuwa kwenye makubaliano ya Mauzo

Source: Mwanahalisi Digital
 
Tena sisi wana simba tuna hasira naye, tunaunga mkono uamuzi huo, tunataka Samia pia akubali hisa za simba zirudi.

Ila nasikia amekopea hayo mashamba benki, yako bondi, yaani sio yake, kwa sasa ni ya benki. Serikali ikiyachukua, inachukua na deni la benki.

Huyo ndiye muhindi tapeli kwa sasa hapa nchini.

Anyway, sijui ni sehemu ya shinikizo ili asifunge viwanda vya majani chai.
 
Tena sisi wana simba tuna hasira naye, tunaunga mkono uamuzi huo, tunataka Samia pia akubali hisa za simba zirudi.

Ila nasikia amekopea hayo mashamba benki, yako bondi, yaani sio yake, kwa sasa ni ya benki. Serikali ikiyachukua, inachukua na deni la benki.

Huyo ndiye muhindi tapeli kwa sasa hapa nchini.

Anyway, sijui ni sehemu ya shinikizo ili asifunge viwanda vya majani chai.
Alimnyima Kigwangala Tukutuku 😂
 
Waziri wa Kilimo mh Bashe ameliambia Bunge timu ya wizara yake itamwita Mwekezaji MO Dewji Ili kujua matazamio yake kwenye mashamba aliyouziwa na Serikali kwa Masharti maalumu huko Korogwe Tanga na Rungwe Mbeya

Bashe amesema Rais Samia ameshatoa Idhini kwa wizara yake kuyarejesha serikalini Mashamba hayo endapo MO Dewji hana Nia ya kuyaendeleza kama ilivyokuwa kwenye makubaliano ya Mauzo

Source: Mwanahalisi Digital
Endapo tena? Ni kunyang'anywa tu hamna kusema endapo.
 
Waziri wa Kilimo mh Bashe ameliambia Bunge timu ya wizara yake itamwita Mwekezaji MO Dewji Ili kujua matazamio yake kwenye mashamba aliyouziwa na Serikali kwa Masharti maalumu huko Korogwe Tanga na Rungwe Mbeya

Bashe amesema Rais Samia ameshatoa Idhini kwa wizara yake kuyarejesha serikalini Mashamba hayo endapo MO Dewji hana Nia ya kuyaendeleza kama ilivyokuwa kwenye makubaliano ya Mauzo

Source: Mwanahalisi Digital
Mo si kishawaambia chukueni, mnamung'unya maneno ya nini?
 
Mo ana mambo mengi sana, mashamba yalishamshinda sasa naona na Simba inakaribia kumshinda.

Hajui ashike lipi, kila fursa anayoiona anairukia matokeo yake hasogei popote, alikimbilia ngumi kaona hazina maana, sasa naskia yupo kwenye mikopo mitandaoni.
 
Mo ana mambo mengi sana, mashamba yalishamshinda sasa naona na Simba inakaribia kumshinda.

Hajui ashike lipi, kila fursa anayoiona anairukia matokeo yake hasogei popote, alikimbilia ngumi kaona hazina maana, sasa naskia yupo kwenye mikopo mitandaoni.
Anashindana na SS Naniliu 🐼
 
Back
Top Bottom