GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,115
- 110,509
Yaani kabisa uhusike katika Kulihujumu Taifa Teule na Mungu Israel halafu eti LAANA yake Mwenyezi Mungu isikupate?
mkuu somo la mwandiko ulipata ngapBONA KABA WAFAA KOBAZIII WANAKIBIA NYUZ DHAKOOO
Leo watanikoma hakika.BONA KABA WAFAA KOBAZIII WANAKIBIA NYUZ DHAKOOO
Mnamzika Saa ngapi Muinamaji kwa Mola Mwenzenu?Kuna wazayuni wa kibongo huku, nina swali, kwnn wakristo wengi mnashabikia waisrael na kuwatukuza kuwa ni Taifa la Mungu? Tuseme wakristo na jews mumeungana ama vipi? Au kwsbb yesu ni muisrael lkn kwnn israel hakuna makao makuu ya ukiristo bali ni majews tu? Na la mwisho, ni kwnn mnawashabikia na kuwapenda waisreal wakati wao wanampiga huyo yesu? Na nyinyi mnajifanya mnamfuata yesu!!mbona kama wakristo hamjielewi hiviiii
Wewe gentamycin jiheshimu . Ukiendelea mambo yako ya ajabu tutakuvalisha nepiMnamzika Saa ngapi Muinamaji kwa Mola Mwenzenu?
kuna wendawazimu wanabisha, na wanajitenga na baba la magaidi wakidai si ndugu yao katika imaani. Wanaona haina uchungu hata akifa poa tu. Waogope sana kuilaani israel na kuifanyia undava watapatwa na laanaYaani kabisa uhusike katika Kulihujumu Taifa Teule na Mungu Israel halafu eti LAANA yake Mwenyezi Mungu isikupate?
Anamshabikia mtu mwenye utu na sio gaidiGenta ndio mana watu hua wanakutukana kumbe akili yako ina walakini sana. Hivi wewe pale Israel unamshabikia nani? Myahudi au Mzayuni?
Watu wakija kukuteka na kujinasibu kwako ni kwao sisi tunaoelewa ukweli tusiseme hayo. Yawezekana wakaaji wa sasa wa Israel %kubwa ni wageni.Genta ndio mana watu hua wanakutukana kumbe akili yako ina walakini sana. Hivi wewe pale Israel unamshabikia nani? Myahudi au Mzayuni?
Labda Huna unalojuwa kuhusu dini zaidi ya ushabiki wa simba na yanga. Israel haina mpango na ukristo..halafu unajuwa Frauni aliishi miaka mingapi akiwa anawatesa wanaomuabudu Mungu..usizuzuke na uhai na uzima wa Netanyahu kwa Mungu ni mtihani tu na anamuacha afanye unyama zaidi kwani mwisho wa siku naamini unaufaham.kuna wendawazimu wanabisha, na wanajitenga na baba la magaidi wakidai si ndugu yao katika imaani. Wanaona haina uchungu hata akifa poa tu. Waogope sana kuilaani israel na kuifanyia undava watapatwa na laana
mkuu poleni kwa msiba lakini. sasa mnasafirisha au tunazika palepale tehran?Labda Huna unalojuwa kuhusu dini zaidi ya ushabiki wa simba na yanga. Israel haina mpango na ukristo..halafu unajuwa Frauni aliishi miaka mingapi akiwa anawatesa wanaomuabudu Mungu..usizuzuke na uhai na uzima wa Netanyahu kwa Mungu ni mtihani tu na anamuacha afanye unyama zaidi kwani mwisho wa siku naamini unaufaham.
wayahudi wana dini yao tangu kale ila hatuwachukii kwa kuwa haamini ukristo, netanyahu yuko sawa kuwaadhibu maadui wa israel. We ndio mdini acha udiniLabda Huna unalojuwa kuhusu dini zaidi ya ushabiki wa simba na yanga. Israel haina mpango na ukristo..halafu unajuwa Frauni aliishi miaka mingapi akiwa anawatesa wanaomuabudu Mungu..usizuzuke na uhai na uzima wa Netanyahu kwa Mungu ni mtihani tu na anamuacha afanye unyama zaidi kwani mwisho wa siku naamini unaufaham.
wafuasi wa mnyaazi mungu wamenuna na wanaanza kukataa ndugu zao hao eti ni sawa na wayahudi tumkuu poleni kwa msiba lakini. sasa mnasafirisha au tunazika palepale tehran?
Mnajipebdekeza wakristo wa Africa.. kwa wenye akili ni serikali zao tu wananchi woote hawana mpango na Israel...kama yupo sahihi poa ipo siku na yeye atarejea kwa aliemuumba kama ilivokuwa kwa Fraun alipata number of years aendeleze ushenzi wake na alikuwa na mashabiki pia.wayahudi wana dini yao tangu kale ila hatuwachukii kwa kuwa haamini ukristo, netanyahu yuko sawa kuwaadhibu maadui wa israel. We ndio mdini acha udini