Xinjiang , officially the Xinjiang Uygur Autonomous Region (XUAR), is an autonomous region of the People's Republic of China (PRC), located in the northwest of the country close to Central Asia. Being the largest province-level division of China and the 8th-largest country subdivision in the world, Xinjiang spans over 1.6 million square kilometres (620,000 sq mi) and has about 25 million inhabitants. Xinjiang borders the countries of Mongolia, Russia, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Tajikistan, Afghanistan, Pakistan and India. The rugged Karakoram, Kunlun and Tian Shan mountain ranges occupy much of Xinjiang's borders, as well as its western and southern regions. The Aksai Chin and Trans-Karakoram Tract regions, both administered by China, is claimed by India. Xinjiang also borders the Tibet Autonomous Region and the provinces of Gansu and Qinghai. The most well-known route of the historic Silk Road ran through the territory from the east to its northwestern border.
It is home to a number of ethnic groups, including the Turkic Uyghur, Kazakhs and Kyrgyz, the Han, Tibetans, Hui, Tajiks, Mongols, Russians and Sibe. There are more than a dozen autonomous prefectures and counties for minorities in Xinjiang. Older English-language reference works often refer to the area as Chinese Turkestan, East Turkestan and East Turkistan. Xinjiang is divided into the Dzungarian Basin in the north and the Tarim Basin in the south by a mountain range. Only about 9.7% of Xinjiang's land area is fit for human habitation.With a documented history of at least 2,500 years, a succession of people and empires have vied for control over all or parts of this territory. The territory came under the rule of the Qing dynasty in the 18th century, later replaced by the Republic of China government. Since 1949 and the Chinese Civil War, it has been part of the People's Republic of China. In 1954, the Xinjiang Bingtuan (XPCC) was set up to strengthen border defense against the Soviet Union and also promote the local economy by settling soldiers into the region. In 1955, Xinjiang was administratively changed from a province into an autonomous region. In recent decades, abundant oil and mineral reserves have been found in Xinjiang and it is currently China's largest natural gas-producing region.
From the 1990s to the 2010s, the East Turkestan independence movement, separatist conflict and the influence of radical Islam have resulted in unrest in the region with occasional terrorist attacks and clashes between separatist and government forces. These conflicts have prompted the Chinese government to set up internment camps in the region, attempting to force its Muslim population to abandon the faith through thought reform. These measures have been collectively categorized as Uyghur genocide by some observers.
Hivi karibuni, Shirika la Habari la CBS la nchini Marekani lilichapisha waraka kuhusu safari ya ujumbe wake mkoani Xinjiang. Tofauti na habari zisizo za kweli zinazotangazwa na vyombo vingine vya habari vya nchi za Magharibi, waandishi wa habari wa CBS walieleza kile walichokiona na kukisikia...
Katika siku za hivi karibuni baadhi ya nchi za magharibi zimekuwa zikitumia majukwaa ya siasa za kimataifa, kutoa kauli na maazimio yanayoikosoa China kuhusu Xinjiang. Ukosoaji huo umekuwa ukitumia maneno yaleyale licha ya kuwa wanaotoa maneno hayo wanatambua kuwa hayana mantiki na yanaendelea...
Katika mji wa Karamay mkoani Xinjiang Uighur, China kuna soko moja la usiku ambalo ni maarufu sana. Soko hili linajulikana kwa jina la 'Farasi Wanane'. Baada ya matembezi ya siku nzima wenyeji wetu walitupeleka ili nasi tujionee yanayojiri kwenye soko hilo.
Kawaida soko la 'Farasi Wanane' licha...
Mji wa Karamay uliopo mkoani Xinjiang, China, ni mojawapo ya maeneo yenye maajabu makubwa ya kiikolojia duniani. Tangu enzi na dahari mji huu ulihifadhi hazina iliyokuwa tuli kwa mamilioni ya miaka na baadaye kugeuka kuwa ardhi inayotema mafuta. ‘Mlima wa Mafuta Meusi’, unajulikana sana kama...
Wahenga wanasema tembea ujionee. Ikiwa hii ni mara ya pili kutembelea mkoa wa Xinjiang Uygur, nimebaini kwamba hata utembee mara ngapi katika sehemu mbalimbali za mkoa huu, basi hakika hamu haitakwisha na kizuri zaidi ni kwamba utagundua mambo mengine mengi mapya. Nasema hivi kwasababu huu ni...
Wiki iliyopita Waislamu zaidi ya bilioni moja kote duniani walianza kutekeleza nguzo ya nne ya Uislamu ambayo ni kufunga mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Katika nchi mbalimbali duniani ikiwemo China, ndani ya kipindi hiki Waislamu hutekeleza imani yao kwa uhuru bila kubanwa. Kwa hivyo kwa wale ambao...
Chuo Kikuu cha Stanford cha Marekani hivi karibuni kilitoa ripoti iliyofichua kuwa Marekani inatumia mitandao ya kijamii kupotosha maoni ya umma duniani kuhusu Xinjiang.
Ripoti hiyo iliyotolewa kwa pamoja na Chuo Kikuu cha Stanford na Kampuni ya Uchambuzi wa Majukwaa ya Kijamii Graphika...
Wanakijiji wa wilaya ya Hejing mkoani Xinjiang, China walifanya sherehe ya Nadam kwa kusherehekea ufugaji bora ya mwaka huu. “Nadam” ni sikukuu ya kijadi ya kabila ya Wamongolia, maana yake kwa Kimongolia ni burudani au michezo.
Mandhari ya Barabara ya Yuqie jangwani katika mkoa wa Xinjiang inavutia katika upigaji picha wa kutoka angani baada ya mvua.
Barabara hiyo inayounganisha wilaya ya Yuli na wilaya ya Qiemo inatarajiwa kufunguliwa rasmi hivi karibuni.
Kadiri siku zinavyosonga mbele, uhuru wa watu kuabudu dini nchini China unazidi kuwa mkubwa. Na hii inatokana na sera nzuri za China katika masuala ya dini, kwani katiba ya China katika kifungu chake cha 36 inaeleza waziwazi kuwa “wananchi wana uhuru wa kuamini dini watakazo”. Serikali ya China...
Xinjiang ni mkoa mkubwa zaidi unaojiendesha wa makabila madogo madogo nchini China, na una wakazi zaidi ya milioni 25 wa makabila karibu 50, wakiwemo Wauyghur. Katika miaka ya hivi karibuni, suala la Xinjiang limechukuliwa na baadhi ya nchi za magharibi kama njia ya kupaka matope China. Ili...
Na Pili Mwinyi
China Jumapili ilitoa waraka mweupe ukilenga mahsusi kuonesha mwenendo wa idadi ya watu wa mkoa wa Xinjiang, ambapo kwa mujibu wa takwimu za sensa ya saba ya taifa, idadi ya watu wa makabila madogo mkoani humo imeongezeka haraka sana kwa wingi pamoja na watu wake kuwa na maisha...
Nimeishi nchini China kwa miaka 13 sasa. China ni nyumbani kwetu kwa pili na ni nchi ambayo naipenda sana, nchi ambayo naishi, nafanya kazi na hata kumsomesha mwanangu. Kusema kweli najihisi mwenye bahati kuwepo hapa na kushuhudia mabadiliko ya kiwango kikubwa cha maendeleo ya kasi ya Wachina...
Lavender ni mmea ambao una matumizi makubwa sana na unaosaidia duniani. Harufu ya mmea huu ambao ni rahisi sana kuota inajulikana kwa kutuliza akili, na ndio maana imekuwa rahisi kutumika kwenye mishumaa au hata mafuta.
Maua ya Lavender ni mazuri na yamekuwa yakisifiwa sana, sifa hizi...
Siku ya leo ni nzuri sana, kwasababu sehemu nyingi nilizotembelea zilinishangaza na kunifanya nikodoe macho hadi kukaribia kutoka. Mvuto wa sehemu hizo utaendelea kubaki mawazoni mwangu kwa muda mrefu sana. Kama kawaida ikiwa ni siku nyingine katika mfululizo wa matembezi yangu katika Mkoa...
Wasanii na wabunifu wa mambo ni watu muhimu katika jamii yoyote ile. Kwani sanaa hutambulisha vitu na mambo mbalimbali ya watu wa kabila au jamii fulani. Katika matembezi yangu kwenye mkoa unaojiendesha wa Xinjiang Uygur nimefika hadi kwenye kituo cha ubunifu wa sanaa za mikono cha Qifang mjini...
Katika safari yangu ya mkoa unaojiendesha wa Xinjiang Uygur, nimebahatika kutembelea kwenye vivutio kadhaa, ila cha kwanza ambacho nina hamu sana ya kukielezea na ambacho kiliniwacha kinywa wazi kwa kushangaa ni mlima maarufu sana wa Tianshan.
Ilituchukua takriban mwendo wa saa mbili hivi hadi...
Ikiwa ni mara yangu ya kwanza kufika katika Mkoa unaojiendesha wa Xinjiang Uygur, hasa mji wa Urumqi ambao nimekuwa nikisifiwa na marafiki zangu wengi ambao tayari walishawahi kuja kwenye mkoa huu, nilishangazwa na kuvutiwa sana kuona hali ya maendeleo na kushuhudia alama zinazoonekana waziwazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.