LOVE JUAKALI ALIVYOMLIPA WEMA MWANAMKE MWENZAKE ALIYEDAI HAMPENDI KWASABABU ANA SURA NA UMBO BAYA.
Unaweza kushangaa! unaweza usiamini lakini watu wema bado wapo! kama matukio yanavyojieleza pichani. Siku kadhaa zilizopita content creator mmoja wa hapa Dar es salaam aliongozana na Love Juakali...
MDOMO UNAUMBA, JINENEE MEMA.
Miaka mitatu nyuma kulitokea kutokuelewana kati ya Jay Melody na Nandy ambapo Jay Melody alisikika akilalamika kuwa wakati Nandy hajawa msanii mkubwa Jay Melody ni miongoni mwa waandishi waliokuwa wanamuandikia Nandy nyimbo na kwenye zile nyimbo za Nandy za mwanzoni...
Unajua muziki ni kama una laana. Bible inasema shetani alikuwa malaika wa kumsifu Mungu, Makerubi nadhani ambaye alikuwa na mbawa sita. Na kila bawa alilokuwa analifunua, vilikuwa vinasikika vinanda na sauti za kumsifu Mungu.
Wakristo wanaimba kanisani kumsifu Mungu, Mungu anapenda sana hii...
Michael Jordan ndiye mwanamichezo mwenye pesa kuliko wanamuziki wa Marekani.
Jamaa ana dola bilioni 3.2.
Jay Z ana dola ana dola bilioni 2.5.
P Didy ana dola milioni 800
Dr Dre ana dola milioni 500
Kanye ana dola milioni 400.
Floyd Mayweather ana dola milioni 400
Why Jordan ana pesa...
Ukifika pale Italia, kuna sehemu ndogo ya nchi, inaitwa Vatican. Hapo ndipo yalipo makao makuu ya Kanisa la Roman Catholic ambapo mkuu wa kanisani hilo ni Papa.
Pale Italia wana pesa yao, ila haitumiki ukiingia Vatican. Kule Vatican wana pesa yao na unaweza kuitumia hata Italia.
Rais wa...
Hapa ngoja nizungumze kitu kimoja, muone jinsi dunia ilivyo. Hii dunia ina watawala wake ambao kimsingi si wale wanaomuabudu Mungu, kuna mambo mengi wanataka kuyaficha, hawataki wewe uyajue hata kidogo. Yaani kuna taarifa hutakiwi kuwa nazo.
Hata hapa Tanzania hii ipo, yaani kuna taarifa ambazo...
Hakuna kipindi katika maisha yangu nilichokuwa karibu na Mungu kama hiki. Sometimes mpaka najiona nimechelewa sana kuyafanya yale anayotaka kila siku niyafanye.
Mimi nilishakuwaga na mashaka sana na Mungu kwenye kujibu maombi, thats true bro lakini baadaye nikakaa na kujifikiria kwa nini? Watu...
maisha ya mwanadamu ni kama maua huchanua na kusinyaa, wengi wetu tumezaliwa tukiwa na ndoto kibao za mafanikio katika maisha yetu , hakuna mtu asiye penda kuishi maisha mazuri, kila mtu anatamani awe na pesa, jumba, magari na miradi mbalimbali ya kutosha
Nadhani wengi wetu tulipo kuwa bado...
Habari wanaJF,
Siku zote UMASKINI haufurahishi, unatesa, unadhalilisha na unaumiza sana unamfanya mtu adharauliwe, achukiwe na wakati mwingine hata kutengwa maskini hana rafiki.
Na pia kutokana na hali ngumu ya maisha ya umaskini wetu kuna muda huwezi kuzuia machozi yasitoke kutokana na...
Wana JF mambo niaje,
Mimi nauliza eti katika haya maisha bila kuwa na SHOBO na watu hauwezi ukapata washikaji wala mademu? Au hata mchongo wowote ule?
Mimi binafsi sinaga Shobo na watu ila natumaini nitapataga watu au marafiki wa kuendana na nao.
Karibu ufunguke.
Sent using Jamii Forums...
Wadau wana JF mambo niaje,
Nilikutana na jamaa mmoja hivi wa Marekani akasema ataniunganisha na illuminati na nitakuwa tajiri mkubwa, sasa nikakubali na akaanza prosesi zote na ikachukua miezi miwili sasa hatua ya mwisho akasema eti ili niweze kupata hela eti ni lazima nilipe dola 389 sawa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.