Helcopta ni Made in USA aina ya Bell. Made in 1979, spare kwa sababu ya Vikwazo vya USA walikuwa hawawezi pata. Huenda waliuziwa spear za Black market watu wakaweka "Stuxnet like Virus" , time imefika wakachomoa Betri
Uzalendo ndiyo nini? Ule wa Magu siyo uzalendo bali hakutaka Mtanzania mwingine awe na fedha kumzidi.
Alichgua kakikundi ka ndugu na marafiki zake ndiyo walikuwa wanapora fedha za matajiri wa Tanzania.
We mpumbavu mimi siyo mdogo wako. Naweza kuwa baba yako sema tu mama yako alikulia sweken huko Nangurukuru
Niko humu JF toka inaanza, wewe kenge unejiunga 2020 halafu unaniita mdogo wako. Nyambaff
DRC wanamdekeza huyu mtu mrefu mwembamba wa Rwanda.
Haya majitu ya DRC yanajuwa kukata viuno, kujichubua na kulelewa na mijimama ndiyo maana Paul Kagame atawasumbua sana.
Hii ni another scheme za kuwakamua wanachama wenu bila kujijua. Mlianza na Join The Chain na sasa hivi mumetumia kisingizio cha Makamu Mwenyekiti wenu. Anyway usimuamshe aliyelala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.