juzi nilienda kariakoo nikakuta maduka ya vifaa vya umeme wapo wachina wanauza bidhaa zao,hao wachina wanapiga kiswahili kama wazaramo,ukiulizia kitu na ukataka kuondoka wanakuita na kukuuliza ulitaka kwa bei gani,ila nikajikuta nahitaji bulb 3 tu akaniuzia mwishowe akanishukuru sana kuja dukani...
ingekuwa miaka iyo uyo lecture muda huu hapo angebebwa kichwa chini miguu juu,ofisi ya makamu wa chuo Ffu washafika mlangoni wanamtoa kwa mlango wa dharura
Simba inatakiwa iwe na mtu mithili kama Marehemu Mzee mapama (Hans Pope) nje ya hapo Simba bado itatetereka sana,kidogo ambae namuona anaiyeweza kumfikia ni Kaburu nyange ama kidogo Magori,hawa nahisi wakiwepo pale simba itarudi kwenye ubora wake,Injiania Hersi iki anachokifanya ndicho...
Hii si kauli nzuri wala ya kiungwana usemayo,watanzania wote hatujafikia hatua hii ya kusemana ivyo,Palipo na kosa tunasemezana kiungwana kwa kuelimishana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.