Swali ni je, hivyo vyakula vinaliwa Tanzania au vinaliwa katika nchi ya kigeni pekee yake?
Na kama ni kweli unakula vyakula hivyo kila siku au kila mara (hata kama asili yake si katika nchi yako) mfano wali/pilau/viazi mviringo/tambi n.k
je haitoshi kusema kuwa vyakula vya namna hiyo vimekuwa...
Karibia vyote ulivyotaja nishavipost humu hivyo siyo kazi yangu kukutafutia, nina post zinaelekea kufika 2k na picha ambazo sijui idadi yake hivyo ni juu yako mwenyewe kuenjoy kuperuzi na utajua sikufungi kamba bali kila unacho-assume hakipo kipo humu kuna kimoro,kichuri, vyakula vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.