Recent content by njumu za kosovo

  1. njumu za kosovo

    Ofisi ya VODACOM tawi la Moshi wana dharau

    Siku ukienda NIDA ndio utapata stroke kabisaaaa, ogopa mbongo akiwa kwenye nafasi yake we pishana nao tu bara barani wamevaa skafu zao na mashati ya kuchomekea ,hata konda kwenye dala dala anakuvimbia, ofisi ya kata wanakuvimbia,sijui Tanesco wanakuvimbia,sijui konda wa basi anakuvimbia, nesi...
  2. njumu za kosovo

    Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

    Mzee mpili huyo atakua
  3. njumu za kosovo

    Asome Fani gani VETA Kati ya hizi zifuatazo?

    We jamaa mpaka nimeshangaa nilipoona heading nikasema mbio niwahi kumwambia plumbing nashangaa ushasema basi mtoa uzi narudia akapige plumbing
  4. njumu za kosovo

    Je Taarifa zinazoenea Mitandaoni kuhusu Hoteli ya Ramada Resort kutambulika kama Kituo Kikuu Cha Mashoga Afrika ni za Kweli?

    Haya mambo kwenye mahotel makubwa nakubali kabisaa ,kuna jamaa yangu ni fundi aliwahi kwenda kufanya kazi ya kurekebisha Tanga beach resort na kuna chumba wateja walipiga simu kuna shida , Jamaa kufika alikua vidume viwili huku vimepakatana na tu havina wasi wasi vinampa maelekezo jamaa yani kwa...
  5. njumu za kosovo

    Kwanini Mbunge Job Ndugai huwa hachangii chochote bungeni?

    Bora huyo asiyeongea ,hao wanaoongea ndio" mheshimiwa sana spika naomba hizi mbuzi zikatwe hela kwenye line zao tujenge bara bara"
  6. njumu za kosovo

    Antony Mtaka: Hawa Ma DC Wanafanya Ziara za Kutatua Kero za Wananchi Kijiji Kwa Kijiji, Hawana TV tuu

    Hebu tuambie Ma Dc watatu na ma Rc watano tu wanaofanya kazi kama Bashite, acheni zenu nyie tumewachoka kila kitu siasa ,siasa tuu mpaka kuonekana kwa tv mshaona wivu
  7. njumu za kosovo

    Tanzania na Korea: Ziara ya Rais Samia kufungua fursa mpya kwa Watanzania

    Ila na sisi wabongo tumezidi hatujui tuna taka nini, angekodi ndege ungesikia bora angesafiri na uber haya kachukua ya Atc kila mtu kawa mchumi ,angeenda na meli aaaah atachelewa si angepanda ndege tu yani ili mradi blah blah
  8. njumu za kosovo

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    Gestures unaweza badili swali lako kuwa imani?
  9. njumu za kosovo

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    Kuna baadhi ya viongozi wa serikali ya msumbiji wanauza info kwa hao washenzi, kuanzia maafisa wa ngazi za juu hadi watu wanene katika maamuzi ya nchi , Hali hiyo ilisababisha hata Wagner kujitoa maana waliona unafki mtupu hapo kwa Wamakonde, Lakini pia mara nyingi hata mateka wao walipokuwa...
  10. njumu za kosovo

    Bajeti Wizara ya Ulinzi trilioni 3.3, Wizara ya Ujenzi trilioni 1.7, ni maboresho ya Jeshi letu au kuna kitu serikali imekiona?

    Hayo unayoongelea nadhani ni wizara ya mambo ya ndani na habari iliyoandikwa hapa ni ya wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga Taifa.
  11. njumu za kosovo

    Uchaguzi Mkuu Afrika Kusini: Upigaji Kura umeanza leo, 32% ya Wananchi hawana Ajira

    Idadi ya vifo itaongezeka huko mana hawa watoto wanajiita sijui 26 mara 45 mara 53 wanazamia kwa kasi huko
  12. njumu za kosovo

    Hata John Komba na Hadija Kopa hajawahi kurekodi Albam nzima ili kusifia CCM, Huyu Harmonize kavunja rekodi

    We mbibi hapo umenena so mchezo umpeleke mama kwa Raisi moja kwa moja
  13. njumu za kosovo

    Hamas warusha makombora Tel Aviv, Israel wapagawa

    Hapo tu umenivunja mbavu
Back
Top Bottom