Recent content by Lord Delamere in Kenya

  1. L

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Lubega lilikuwa vazi la heshima nyakati zile. Hivyo na yeye avae mavazi ya heshima ya nyakati hizi.
  2. L

    Vilio vya Wastaafu wa majeshi vitatuliwe haraka, kinachoendelea ipo siku kitatengeneza ‘matunda yasiyofaa’

    Halafu kuna kenge wanakaa wanatukana Walimu kuwa wao pekee ndo wana maisha magumu.
  3. L

    Ikija kugundulika Israel wamehusika hiiiiii

    Ni aibu kwa Rais kupandishwa kwenye ndege mkweche kama ule. Rais wetu SSH wa nchi yetu masikini hatuwezi kumpandisha kwenye scraper kama lile. Wavaa kobazi hawajawahi kuwa na akili.😆🤣
  4. L

    Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

    Si watengeneze zao? Ujeuri na ubishoo mwingi kumbe wanavaa nguo za kuazima? 😆🤣
  5. L

    Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

    Ukiwalipa na wao wanakulipa kwa kitu kizito zaidi. Wameshaangusha chini Majenerali kadhaa wa Iran, alikuwa amebaki Amri Jeshi Mkuu wao tu.
  6. L

    Kwanini Miamba ya Kiarabu Saddam Hussein, Osama bin Laden na sasa Ebrahim Raisi wamekufa kama hawana Ulinzi?!

    Kwamba Rais wa taifa kubwa kama Iran amekufa kwa ukungu? Siamini kabisa. Nadhani mamlaka za Iran kuna kitu zinaficha. 1.Ndege zilikuwa 3 ila ukungu umeiathiri ndege iliyombeba Rais pekee. Hizo zingine ni weather proof kuzidi ndege ya Rais? 2.Ikawaje kikosi Cha usalama wa Rais kikaruhusu ndege...
  7. L

    Kwanini Miamba ya Kiarabu Saddam Hussein, Osama bin Laden na sasa Ebrahim Raisi wamekufa kama hawana Ulinzi?!

    Hamas wameua 1200, Israel imeshaua wangapi hadi sasa? Na ndo maana mayowe wanapiga Wapalestina kwa sasa. Iran is overrated. Ila haina kitu.
  8. L

    Kwanini Miamba ya Kiarabu Saddam Hussein, Osama bin Laden na sasa Ebrahim Raisi wamekufa kama hawana Ulinzi?!

    Nilistaajabishwa sana na kitendo cha Israel kuamua kukaa kimya baada ya Iran kurusha vikombora vyake dhidi ya Israel (vilivyoishia kuzimwa angani). Ila baadae likanijia wazo. Kuna kitu kizito Israel inaandaa dhidi ya Iran, maana si rahisi uishambulie vile Israel halafu isijibu mapigo kwa...
  9. L

    RC Chalamila kumtaja Rais wananchi wanazomea ni dalili ya nini?

    Huyo jamaa mwenye uso mrefu kama mende, hapo aliongea point sana.
  10. L

    Watanzania wapendekeza Gari la Tundu Lissu lipelekwe Makumbusho ya Taifa, Mwenyewe amshukuru Mungu kuwa hai hadi leo

    Huo Utopolo danganyaneni wenyewe kwa wenyewe huko Fisiem. Hususani CCM Bara ambako ndo hamnaga akili, CCM Zanzibar kidogo wanajitambua.
  11. L

    Watanzania wapendekeza Gari la Tundu Lissu lipelekwe Makumbusho ya Taifa, Mwenyewe amshukuru Mungu kuwa hai hadi leo

    We popoma, alishawahi kufika. Sema we muuaji bado unaumia kuona jamaa hakufa kwenye lile shambulizi.
  12. L

    Aliyenunua mdoli na kuuweka bungeni ashikwe afunguliwe mashtaka ya uhujumu uchumi

    Kuna ndugu yangu ni Mbunge kutoka mkoani Mara hapo kwenu Tanzania, anasema ilikuwa kidogo tu alipige ngwara hilo dubwasha kwa hasira.
  13. L

    Nani alikwenda shule kuchukua cheti chake akakuta amewekewa Deni ambalo halifahamu?

    We jamaa sema huu uzi umeuandika kwa lengo lile lile, ambalo limekuwa common mitandaoni, la kuwadhalilisha Walimu. Nimesoma na kuhitimisha kuwa wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine tu, kwasababu zifuatazo; 1.Ni ofisi ipi hapa nchini ambayo Umewahi kupewa huduma (hasa wakigundua una uhitaji...
  14. L

    Mbunge Mohammed Issa aliyesema yeye si Mtanzania, kwanini bado yupo Bungeni?

    Mzanzibari mwenzake kupewa makavu imekuwa nongwa kwa Mbunge kutoka Konde. Ila sisi Wasukuma tumetukanwa sana wa watu mitandaoni hadi wamechoka wenyewe na hatujalia lia. Kumbe sisi Wasukuma ni wavumilivu na tumekomaa sana kiakili. Na hii nchi imshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa na kabila kubwa...
Back
Top Bottom