Nilikuwa naangalia hilo ongezeko la kutoka USD 2500 mpaka USD 6000 , hii ni dhahama kabisa ,maana hapo ni ongezeko la zaidi ya asilimia mia kwenye gharama za kusafirisha contena la bidhaa .
Hapo inflation inayokuja itakuwa ni mtafutano mithiri ya Zimbabwe , na ninashangaa kwanini hata watu...
Heeee hili jini linabaki au sio ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba linataka kufuta kabisa legacy ya Kibabu Fergie .
Epl ishakua ligi ya wakulima ,msimu ujao tukaze tako tuondoe hii aibu aisee .
Usikute Hamis Masingeli washatandika matanga huko Mkuranga tayari , maana hawa arsenane akili zao huwa zipo kwenye kitanzi na sumu ya panya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani huo muda wa miaka 20 ambao Arsenyetoz hawajabeba ubingwa wa Epl ,kuna jitu limezaliwa Lika pata barekhe na kuota vinyweleo na likaoa kabisa
Arsenyetoz ni mufilisi
Huyo Kanjibai wamminye mbupu mpaka aseme waliomtuma
Wahindi ni vibaraka wa mayahudi , ilikuwa ni mistake kuwatrust makanjibai wakati mko vitani na mazayuni
Kuna mechi zaidi ya tano tumepoteza kipumbavu kabisa msimu huu na tatizo lilikuwa ni upuuz wa pochetino kwenye kuusoma mchezo , substitution na mbinu , huu msimu tulitakiwa kushiriki UEFA
Poch anahusika kwa hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.