Recent content by grand millenial

  1. grand millenial

    Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

    Watu wasio amini? Lakini waisalamu wanaamini mbona
  2. grand millenial

    Serikali imchukulie hatua Baba Levo kwa Kuwadhalilisha Walimu

    Simuungi mkono ila hoja hupingwa na hoja vipi? Unaweza kumpinga kwa hoja na mifano hai?
  3. grand millenial

    Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

    Ukiandika kama mkristo sishangai maana bible na tanakh vinawaamrisha kuuwa watoto ambao hawana hatia what peaceful religions anyway let me back up with some verses. 2 wafalme 2:23-24 (23)Elisha aliondoka Yeriko, akaenda Betheli. Alipokuwa njiani, wavulana fulani walitoka mjini wakaanza...
  4. grand millenial

    Video: Mpenzi pokea zawadi

    Hii kenya ila kabila sijui
  5. grand millenial

    Watanzania tunaomba mjifunze tofauti ya ‘Meter’ na ‘Square meter’, mnatutesa sana wafanyabiashara kufundishana mambo ya darasa la pili

    Kuna watu wazima hata orodha tu hawajaishika kichwani na aana degree hawa unawachukuliaje?
  6. grand millenial

    Msaada: Mtoto wangu wa kiume wa miezi saba haoneshi dalili ya kusimamisha uume

    Duh! Hebu tupe scientific explantion umbilical cord ina nini ambacho kinaathiri uume kusimama? Na mama kuji lingiza huo uime SCIENTIFICALLY ina reaction gani inayoufanya urudi kusimama? N.b MEDICALLY/SCIENTIFIC EXPLANATIONS ONLY .
  7. grand millenial

    DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

    Hii hatari aisee na hao madogo wamefanana na jamaa vibaya mno 😂😂
  8. grand millenial

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Nikubali kwanza sikuwahi kulifuatilia hili kiundani hivyo meengi uliyoandika hapo nilikuwa siyafahamu ila nimejifunza kitu na nimekuwa interested kujifunza zaidi inshaallah nitachimba zaidi ili niwezw kuwa familiar na sheria hizi hasa kwenye nchi ambazo ni za ki demokrasia kama ya kwetu na...
  9. grand millenial

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Kulikuwa hakuna ulazima wa kutumia lugha kali mkuu ungemjibu kwa ustaarabu ingetosha tu.
  10. grand millenial

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Nikiandika kama muislamu mwanaume na niliyepitia mafunzo ya jkt kwa mujibu miaka kadhaa nyuma . 1. Niseme tu jkt/jeshi/ polisi ni kazi ambazo hazifai kwa muislamu awe wa kike au wa kiume na hii ni kiimani zaidi maana hata wanaume tulivaa pitshort kibukta ambacho hakifuniki magoti hivyo kuacha...
  11. grand millenial

    Natafuta mpenzi, awe anaishi Dar

    1. Muislamu 2. Unatafuta mpenzi Mkuu huwa unakunywa pombe na kula nguruwe pia?
  12. grand millenial

    Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

    Anyway kwa mara ya tatu nitarudia maswali yangu tena . maswali yangu haujajibu nitayarudia hapa chini 1. Unaposema ndugu zangu mapepo sijui unaweza kuthibitisha hili? 2. Unaelewa nini kuhusu neno jinn? 3. Labda nikuulize kuna tofauti gani kati ya pepo, shaitani, jinn , iblis ??
  13. grand millenial

    Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

    Jitahidi kwa kila claim unayoitoa uweke na backuo evidence bila ya hivyo hakuna ambaye atachukulia maanani kile unachokiandika kwa asilimia kubwa sana umeandika mambo ambayo hayaeleki na hayapo kwenye uislamu. Hebu kwa kila ulichoandika weka na evidence mkuu ili watu wajifunze kupitia wewe .
Back
Top Bottom