Chadema inajipambanua kuwa chama mbadala wa ccm, Sasa wananchi wanapoona uozo na kuukemea usijifiche kwenye misemo na methali. Kwa kufanya hivyo mnaibagaza chadema. Jibu hoja, kwann mwenyekiti haondoki madarakani?
Mwanaume kwa asili ni polygamy. Ndiyo maana hata kwenye zizi huwezi kukuta majike mawili halafu mabeberu 20. Au majogoo 10 halafu mtetea mmoja.
Kwahiyo ndiyo maana ktk jamii zetu mwanaume anayechepuka anaitwa kidume, lkn mwanamke anayechepuka anaitwa malaya.
Ktk amri 10 za Mungu, mojawapo...
Lanlady kuwa mkweli ktk hoja zako. Kuna pahala unatuingiza chaka. Wasichana wanaolala na wanaume wengi (waliotolewa bikra) kabla ya ndoa ndiyo wanaochota mikosi . Waliojitunza huwa wanagombaniwa na waoaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.